masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Nipo katikatiKwahiyo uko upande wa kabendera au DCI jitanabaishe kabla hatujakutakatisha
Inawezekana MkuuKabendera in his good time, used to throw arrows to others. Now his victims are hitting back; throwing arrows back to him... He should not be afraid to eat the fruit he picked from a tree. Even if they are poisonous fruits...
Mkuki kwa nguruwe. Kwa binadamu mchungu...
Sasa nsishadadie vitu wakati kesi yake inajulikana halafu Mkuu mbona umekuja spidi sanaUsishadadie vitu usivyo vijua, Kabendera anapata misukosuko kwasababu ya nyaraka alizopewa na marehemu Lwajabe kabla ya umauti haujamkuta
Mwambie huyo anaongea tu bila kufikiriaLwajabe alikuwa anafanya kazi wizara ya fedha sasa nyaraka zake na kabendera ni nini!
Wewe unafananisha mtu mzima na maiti!? Aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] omba radhi mkuuungerudi shule ukajifunza kuandika. aibu tupu kwako na kwa jf bila ya kutaja gt. roho mbaya inakupelekesha na kukuguna. heri maiti kuliko wewe na mawazo yako na uandishi wako. kichefuchefu balaa!
Mkuu sio roho mbaya bali amejaribu kuonesha kile ambacho wanasiasa wetu wanachokifnya.ungerudi shule ukajifunza kuandika. aibu tupu kwako na kwa jf bila ya kutaja gt. roho mbaya inakupelekesha na kukuguna. heri maiti kuliko wewe na mawazo yako na uandishi wako. kichefuchefu balaa!
Yani Mkuu bora kubeba zege kuliko Kutumika na wanasiasa uchwara wa bongoNaona vimada wamekula Kona anahangaika pekeyake
Kutumika Mkuu ndo kubaya..kwani Kabendera alikuwa akiwabambikia watu keso za uhujumu uchumi, kiasi kwamba leo iwe halali kulipiziwa na aliopata kuwatesa?
..Kabendera ni muandishi, anatumia kalamu. Kwa msingi huo yeyote anayetatizwa au kuchukizwa na anayoandika Kabendera anapaswa kumjibu au kumpinga kwa kalamu.
Sasa Mkuu kama ni tata unasemaje tena kama kabambikiwa?Suala la Kabendera ni tata sababu ata mashtaka ya utakatishaji ni ya kubambikiwa.
Tuhuma za utakatishaji zimetumika kuonea watu wenye mitizamo tofaouti mfano Magoti.
Usishadadie vitu usivyo vijua, Kabendera anapata misukosuko kwasababu ya nyaraka alizopewa na marehemu Lwajabe kabla ya umauti haujamkuta
If what you people are saying is true na ameuza nyaraka za serikali, kitu smbacho ni kibaya kwann usimshtaki kwa kosa LA treason? Sababu sheria ipo, kwann uende kwenye uhujumu uchumi? Nani angelalamika kama MTU anauza siri za serikali? Na kweli ziwe siri, sio ufisadi unafanyika then hizo taarifa zinakuwa classified as TOP secret, sababu akili za MTU mweusi tunazijua, anaiba then anataka hizo taarifa ziwe siri.Usishadadie vitu usivyo vijua, Kabendera anapata misukosuko kwasababu ya nyaraka alizopewa na marehemu Lwajabe kabla ya umauti haujamkuta