masluphill
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 540
- 259
Wyatt Mathewson,
Wamezoea vya KUNYONGA.....vya kuchinja kamwe hawaviwezi. kama alivyowahi sema Mwenyekheri ,Baba wa taifa Hayati,Mwl JK 1, Ukila nyama ya Bin-Adam huwezi kuacha . hawa CCM hawatoacha mchezo huu mchafu.Ni wa achafu kuliko Uchafu wenyewe.
Wamezoea vya KUNYONGA.....vya kuchinja kamwe hawaviwezi. kama alivyowahi sema Mwenyekheri ,Baba wa taifa Hayati,Mwl JK 1, Ukila nyama ya Bin-Adam huwezi kuacha . hawa CCM hawatoacha mchezo huu mchafu.Ni wa achafu kuliko Uchafu wenyewe.