haki za msingi ndio zipi zinazolindwa ukiwa jela?
hata kuzaa ni haki ya msingi
Kabendera aachiwe akazae kisha arudi?
Huyu mwandishi kafanyiwa dhulma, na hayuko peke yake, lakini kuachiwa kwenda kuzika huwa hakuna anaepewa fursa hiyo
mimi natetea usawa hata kwenye kuonewa, tuonewe kwa usawa
unamuachia Kabendera kwani Rugemarila hajafiwa? Namtumia Rugemarila kama mfano wa prominent detainee, na sijui kama kafiwa lakini tunajuaje hajafiwa na mama, mke, mtoto, kaka, kipindi chote hiki ????
yani mahabusu woooote waliotiwa kizuizini awamu hii kwa kesi za dhulma hakuna aliyefiwa na mamaake?
hivi nyinyi hamna ndugu walioko humu majela ya Tanzania, hamuwaulizi? hamuwatembelei wakawaambia?