Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Ukishajua kuandika vizuri vitu vikasomeka,urudi tena
 
Kikundi cha watu 50 wanataka kuleta vurugu, peleka ndani wakalale na kunguni wakitoka j3 waende kuwasimulia wenzao vizuri Clubhouse na Maria Space.
Nashangaa police wananipita Kama hawanioni au sionekani? Nawapiga picha hawanioni, au niwasogelee niwaguse SHATI,
 
Hapo wakubwa wameamua kupima upepo ili kuona nini Wanachadema wangefanya leo. Mwisho wameamua wawalete tu watuhumiwa physically mahakamani.
 
Polisi leo kila kona wanazurura na magari ya washa washa kwelii chdm pamoja na kubanwa kote lakini bado ni tishio kwa ccm maana ccm ni jeshi LA polisi.
Si leo
 
Uzee dawa.

Mzee Mgaya jana aliwashauri wafuasi wa Chadema wasiende mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam kwa sababu kesi za Ugaidi huendeshwa kwa njia ya mtandao.

Johnthebaptist nilileta uzi hapa nikimnukuu mzee Mgaya lakini ukafutwa.

Muda huu Mgaya kanipigia simu anasema uzee dawa na siasa siyo uadui.

Mungu ni mwema wakati wote!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwaondolea lile jitu ovu bila damu kumwagika na sasa mambo ni safi! Mama yuko vizuri hadi magaidi sasa yanakamatwa!

Kumbe lile takataka lilikuwa linalea magaidi!

Makofi kwa mama
 
Ok. Wewe Mama D Kama Mama D mtazamo wako kuhusu katiba Ni upi?

Je ni (a)unaunga mkono kuwa tunaihitaji katiba mpya au ni (b) Hauungi mkono uhitaji wa katiba mpya.

Jibu fupi fupi tu.(a) au (b).

Mabadiliko ya katiba ni muhimu sana kadri ya uhitaji na maboresho ya nchi

Tunahitaji katiba mpya kadri ya mahitaji ya taifa letu kwa vizazi vya sasa na vijavyo na sio katiba kwa maslahi ya kikundi cha watu wala chama flani
 


Kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, imeahirishwa hadi kesho Agosti 6, 2021, kutokana na muonekano hafifu wa video conference, kesi hiyo ilikuwa inaendeshwa kwa mfumo huo, ambapo kesho atafikishwa mahakamani majira ya saa 3:00 asubuhi.

Kesi hiyo ya ugaidi ilikuwa itajwe leo Agosti 5, 2021, ambapo Mbowe na wenzake walikuwa katika Gereza la Ukonga Dar es Salaam lakini kutokana na matatizo ya mtandao ilishindwa kuendeshwa vizuri.

Akizungumza hii leo mara baada ya kesi hiyo kuahirishwa Wakili wa upande wa utetezi Peter Kibatala, amesema kuwa, "Teknolojia imefeli hivyo tumeshindwa kufanikisha mchakato huo kwa sababu kumekuwa na mawasiliano hafifu kati ya video conference facility za hapa katika Mahakama ya Kisutu na Gereza la Ukonga na tumekubaliana kwamba kesho washtakiwa waletwe mahakamani," ameeleza Wakili Kibatala

SOURCE; MPEKUZI
 
Mabadiliko ya katiba ni muhimu sana kadri ya uhitaji na maboresho ya nchi

Tunahitaji katiba mpya kadri ya mahitaji ya taifa letu kwa vizazi vya sasa na vijavyo na sio katiba kwa maslahi ya kikundi cha watu wala chama flani
Nimeomba jibu liwe fupi fupi . Je jibu ni (a) au (b) ??
Maelezo mengi hayatakiwa.
 
kwa hiyo kesi inaendelea huko kwa njia ya mtandao sasa hivi?
 
Nimeomba jibu liwe fupi fupi . Je jibu ni (a) au (b) ??
Maelezo mengi hayatakiwa.

Mimi sio kilaza nikupe jibu kwa kujaribisha

Nimekupa jibu na sababu pia

Sawa eeeeh
 
Km kweli amewahi kuuza madawa club akatuharibia mamia ya vijana basi yote kheri wakuadhibu waadhibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…