Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kesho mtandao utakuwepo? Kila mara ninapoenda TRA kulipa lugha iliyozoeleka huko ni mtandao unasumbua! Wahusika wameamua kutumia njia ya kuwavuruga watu kiasaikolojia tu ili wahudhuriaji wapungue mmoja baada ya mwingine.
 
Kama na wewe upo hapo kisutu naomba nisahihishe idadi. Watakua 18 🤣🤣🤣
Mimi nilikuwa Chadema ila naichukia kwa vile wanamwendekeza mpuuzi Tundu Lissu ambaye ni mbinafsi ajabu
 
Kuna watu wanasema hapo watu wameandamana [emoji23][emoji23][emoji23] wafuasi wa chadema Kusimama na vijibango ety ndo kuandamana [emoji23][emoji23][emoji23] Watu wenyewe hata hawajai kwenye difenda ya police.
Acha umbeya mpikie mumeo chakula
 
Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Kama maneno ya kejeli huwezi yavumilia achia ngazi kaa pembenj hulazimishwi kuwa kiongozi na uongozi ni hiari sio utumwa.
 
Fungua bichwa lako weyee!
Wangejua umuhimu wa amani, haki za binaadamu na utawala wa sheria, wasingekuwa wanawabagua, kuwaua na kuwadharirisha Wamarekani weusi kule kwao!
 
Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Unajivua sidiria yako ya mtumba. ! Mdude kaachiwa na SSH au na mahakama?
Unataka awe loyal baada ya kuteswa na asiseme tena?
Kajambe mbele huko...!
Nyie ndio watu ambao baba zenu waliungana na wakoloni tusipate uhuru mapema.
 
Nngefurahi sana nyie wafuasi uchwara mlioandamana mngekula kipigo heavy weight
 
Nngefurahi sana nyie wafuasi uchwara mlioandamana mngekula kipigo heavy weight
Ndio ungeongeza kipato?Hizi chuki zitatufikisha pabaya!Tutarudi kulekule kwenye kusherehekea misiba ya jirani!
 
Kmmmk
 
Ndio ungeongeza kipato?Hizi chuki zitatufikisha pabaya!Tutarudi kulekule kwenye kusherehekea misiba ya jirani!
Mbona nyie mlisheherekea msiba wa Magufuli.? Mnavoandamana mnapata faida gani zaidi ya kufaidisha matumbo ya wanasiasa.? Kwenye hayo maandamano umemuona kiongozi yupi ambaye hua anawahamasisha kuandamana.?
Tumia akili za kiutu uzima mzee
 
Mbona nyie mlisheherekea msiba wa Magufuli.? Mnavoandamana mnapata faida gani zaidi ya kufaidisha matumbo ya wanasiasa.? Kwenye hayo maandamano umemuona kiongozi yupi ambaye hua anawahamasisha kuandamana.?
Tumia akili za kiutu uzima mzee
Narudia,chuki haziwezi kukusogeza hatua moja mbele kwenye maisha yako!Sanasana itakutesa tu!
Nimemuona Sugu na Mnyika wakiingia Kisutu!Hao wengine hawajaruhusiwa labda kutokana na ufinyu wa eneo!So naona viongozi wa CDM hawako nyuma!
Maandamano na kukusanyika ni haki ya kikatiba,kama hayana maana basi badilisheni katiba muyaondoe!
 
Wenzetu Kenya na Uganda wanajiweka kwenye ramani ya dunia kwenye Olympics na kujiletea sifa kedekede sisi tunaendelea kujiharibia huko CNN BBC na ALJAZEERA kwa kesi za kitoto.
Why do we devote most of our time on petty issues???
Shule hazina madarasa, wengine wanashea darasa kwa wakati mmoja sisi tunahangaika na Mbowe.
Watu wanatumia v8 lkn hofu yao kubwa Ni Mbowe.
Believe me CCM wanamuogopa Mbowe kuliko uviko
 
Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Ukiona kiongozi anaongoza kwa kutumia mihemko, basi huyo hafai kuwa kiongozi.

Uongozi ni kupakwa matoke
 
Mm sina ushabiki wa chama chochote hapa Tz, lakini chadema msipobadili aina ya mapambano yenu kwenye kudai hiyo demokrasia mnayoitaka bc mtaendelea kulia-lia milele na hamtofanikiwa. Endelea kupambana kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa ashibe na mkipata shida hakuna atakayewajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…