Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Akikujibu huyo dada nitag
 
Wanavunja Amani ni chadema au polisi na ccm
 
Magaidi yana umoja mno .

Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
 
Siasa za chadema naziona mitandaoni sana.

Makamu mwenyekiti anatoa statement mtandaoni kuwataka wananchi waandamane, jibu akalipata.

Haya mambo haya.
Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
 
Hawaandamani.? Au nilielewa vibaya maelekezo ya katibu.!

Au sijui maana ya maaandamano.?
Mambo yanaanzaga hivi hivi mdogo mdogo mwishowe inashindikana kuzuia yanatokea kama tunavyoshuhudia kwingineko.

Usidharau nguvu ya umma kabisa mkuu.
 
Chadema huijui wewe! Wamesema wanaandamana na wasipoandamana lakini Polisi wameacha kazi zingine na kuandamana wao wakiongozwa na Muliro.
Huoni huo ni ushindi?
Wewe mpuuzi kweli, polisi ndiyo kazi yao. Kuzuia, kukamata na kushitaki. Hapo wanakuwa wanazuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…