Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Watu wengine wanaotarajiwa kufurika Kisutu ni Wawakilishi kutoka Jumuiya ya Ulaya, Marekani na balozi kadhaa nchini huku vyombo vikubwa vya Habari Duniani BBC, VOA, DW na Aljazeera vikitarajiwa kuwa live mahakamani.
hii si habari njema kwa wana CCM, walitaka kesi hii iwe SIRI na ahukumiwe ikiwezekana bila kufika mahakamani kwa uharaka zaidi, ili kabla hajapata hata nakala ya hukumu yake - Msajili wa vyama na yeye afanye yake ndani ya muda mfupi saana.

Wacha tuone - maajabu ya nchini yetu
 
Halafu huyo Mbowe wao alipokuwa Mwanza akamtukana DC wa Ilemela kwamba ni mjinga mjinga tu, halafu mtu huyo unayemtukana unatarajia akupe ulinzi, akunyenyekee, wewe nani?
Kwani Gwajima katukana wangapi juzi tu kasema mkuu wa nchi kahongwa madola ili apokee chanjo kuwaua raia wake , fikiri tu kauli hii angesema mpinzani nini kengetokea.
 
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.

Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya Ugaidi.

Kesi hii inavuta kila mpenda haki na mwanademokrasia kutokana na ukweli Mbowe amebambikizwa kesi hii ili kumnyamazisha kutokana na Kampeni aliyoasisi ya Kudai Katiba Mpya

Mahakama hii inatarajiwa kufurika umati mkubwa wa watu kulaani unyama na uonevu wa vyombo vya dola.Ikumbukwe ni juzi tu bila Aibu alijitokeza IGP Simon Sirro na kuingilia mhimili wa Mahakama kwa kumhukumu Mbowe huku akijua kesi iko mahakamani.

Watu wengine wanaotarajiwa kufurika Kisutu ni Wawakilishi kutoka Jumuiya ya Ulaya, Marekani na balozi kadhaa nchini huku vyombo vikubwa vya Habari Duniani BBC, VOA, DW na Aljazeera vikitarajiwa kuwa live mahakamani.

Molemo media tayari iko kwenye viwanja vya Mahakama hii kuwaletea kila kinachojiri.
1628146274871.png
 
Hivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
Sasa mdude ni nani mbele ya Rais.......kwa upumbavu huu ...nchi ina safari ndefu sana
 
Mbowe angeanza na katiba ya chama chake wakati wanahangaika na katiba ya nchi wakati katiba yake haiko sawa
Hajaanza na katiba ya CCM pamoja na ubovu wake wala hajawahi kuwa na mpango nayo,tumia akili japo kiduchu
 
Back
Top Bottom