Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Hizo ni ideology za miaka ya 70 enzi za ujamaa.
Matatizo ya mwafrika yamesababishwa na mwafrika mwenyewe.Na yeye mwenyewe ndo mwenye uwezo wa kutatua.
Endelea kukataa ukweli eti ideology za miaka 70.
Nakubali kuna matatizo ya KiAfrika imesababisha Africa yenyewe ila Gaddafi hajafa miaka ya 70 ni juzi tu 2011.
Kuna mengi ila mie naona niishie hapo.
 
Hiyo kesi inakwenda kufutwa. Kitendo cha hao wadau wa maendeleo kwenda mahakamani leo ilikuwa sawa na kutuma ujumbe Serikalini kwamba hawapo na Serikali bali wapo na Mbowe.

Mwenye akili yeyote atajitafakari. Na ikitokea hii kesi ikafutwa, itakuwa aibu kubwa kwa Mkuu wa Nchi. Ingebaki kuwa aibu kwa IGP na Polisi wake, lkn yale mahojiano ya BBC yamehamishia fedheha hii upande wa juu zaidi.

Lkn ni heri nusu shari kuliko shari kamili. Kesi itafutwa, IGP ataondoka. Maisha yanaweza kuanza upya.

Uwezekano wa Warioba kuitwa kazini upo wazi.. ikishindikana, itakuja kuwezekana tukiwa tumechelewa.

Nashauri Chama changu kitumie HEKIMA YA MWALIMU NYERERE MIAKA ILE YA 90!
Nchi za kijamaa haziogopagi mabeberu ujue,,jifunze kwa venezuela,cuba,china,,,
Statu quo itabaki palepale..
 
Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani, ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea, Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo .

Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao , maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi

View attachment 1890840View attachment 1890841View attachment 1890842

Hii habari mbaya sana kwa ile mburumundu. Sasa hivi nyuso zao ziko hapa:

IMG_20210812_203533_044.jpg


Na uzi huu hapa:


Halali yao.
 
Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani, ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea, Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo .

Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao , maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi

View attachment 1890840View attachment 1890841View attachment 1890842
Huu ujumbe umesikika mbali mno
 
Hivyo ndivyo ilivyokuwa leo Mahakamani, ambapo Wadau wa Maendeleo wa Tanzania kutoka kwenye Taasisi za Kimataifa wameshiriki kesi hiyo ya Ugaidi kwa lengo la kujua kinachoendelea, Maofisa hao wengi wao wamefika ili kujiridhisha na mwenendo wa kesi hiyo .

Ugaidi katika nchi ni jambo baya linaloweza kuwatisha wawekezaji , hivyo ilikuwa ni lazima wadau wa maendeleo kuhudhuria kesi hiyo ili kupima kiwango cha ugaidi kwa lengo la kulinda wawekezaji kutoka kwenye nchi zao , maana ni hatari kuwekeza kwenye nchi yenye Ugaidi

View attachment 1890840View attachment 1890841View attachment 1890842
Hiki kibibi kilipandisha heshima yake kwa kasi sana,ila sasa heshima inashuka kwa speed ya 220km/hr.

2025 atafika kweli!? I doubt
 
Hiyo kesi inakwenda kufutwa. Kitendo cha hao wadau wa maendeleo kwenda mahakamani leo ilikuwa sawa na kutuma ujumbe Serikalini kwamba hawapo na Serikali bali wapo na Mbowe.

Mwenye akili yeyote atajitafakari. Na ikitokea hii kesi ikafutwa, itakuwa aibu kubwa kwa Mkuu wa Nchi. Ingebaki kuwa aibu kwa IGP na Polisi wake, lkn yale mahojiano ya BBC yamehamishia fedheha hii upande wa juu zaidi.

Lkn ni heri nusu shari kuliko shari kamili. Kesi itafutwa, IGP ataondoka. Maisha yanaweza kuanza upya.

Uwezekano wa Warioba kuitwa kazini upo wazi.. ikishindikana, itakuja kuwezekana tukiwa tumechelewa.

Nashauri Chama changu kitumie HEKIMA YA MWALIMU NYERERE MIAKA ILE YA 90!
"GREAT THINKER".

Nakusoma hapa JF kwa mara ya kwanza!
 
Endelea kukataa ukweli eti ideology za miaka 70.
Nakubali kuna matatizo ya KiAfrika imesababisha Africa yenyewe ila Gaddafi hajafa miaka ya 70 ni juzi tu 2011.
Kuna mengi ila mie naona niishie hapo.
Gadafi alikoroga mwenyewe angeunganisha watu wake asingeuliwa.
Mbona china na Irani imeshindikana kuzisambaratisha.Jibu ni wamoja ukiwaunganisha watu wako watakulinda dhidi ya adui.
Je waafrika ni wamoja?
 
Hao uliowataja kumbe ndo waliomtuma?
Mahakama inaweza tishiwa na watu?
 
Failed state, wakati mwingine hizi movie za kutengeneza mpunguze serikali inaenda utafikiri haina watu makini wa kushauri na kuiona kesho yetu na bado usalama wa taifa upo Kwa ajili ya rais na serikali yake na si nchi yetu kwanza
 
Je walisemaje walipoambiwa haletwi Leo mahakamani kwa sababu magari ni mabovu?
Mkuu hii ni aibu kubwa, mpaka mmachinga zaidi 60 toka tupate UHURU magari ya magereza (Taasisi Kubwa) shida, mabovu; (magereza ya DAR) sasa huko Tandahimba na Nakapanya ect si ndio hakuna kabisa. Wakati huo watawla/Viongozi wana ma V8 ya zaidi ya milion 400.
 
Back
Top Bottom