Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Ila hawa jamaa kama ni pesa walitupiga sana maana walikuwa wanalipwa capacity charge milioni 400 kila siku mitambo ifanye kazi au isifanye kazi pesa inaingia, ila wao kulipa faini kidogo tu waachiwe hawataki.
 
DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.

Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.

Source: Darmpya Blog
Yapo wapi!
 
Watafungua kesi,

Watashinda ,

Watalipwa na Richmond nyingine ipo mbioni.
 
Nani kuilipa Standard chartered Malaysia, ni Harbinder au awamu ya serekali zinazo kuja na interest kuongezeka.
 
Tukishamuachia ule mpunga wote alioupiga unarudi?maana kuna kesi standard charted walishinda kwenye mahakama ya kimataifa kuhusu haya ma mitambo ya IPTL au tuna muacha ende then tunawakamua wanaichi wakalipe deni?
Maana tusijekua tunafurahia jamaa kuachiwa then madeni tunakamuliwa sisi.
 
We unadhani waliemuachia Ni wajinga Kama wewe??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…