Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Wagongwe tu, tutafanyaje sasa!
 
Madereva wengi wa boda boda vichwa vyao viko spidi sana, labda ndio sababu ya kuiita hiyo kazi ni laana, lakini kama boda boda wangekuwa wanafuata sheria za usalama barabarani, na kuchukua tahadhari naamini wangeepuka vifo na ajali nyingi sana.

Hiyo kazi sio ya laana, laana wanaisababisha wao wenyewe kwa matendo yao bila kufikiria.

Bodaboda haikupaswa kuwa usafiri wa umma...

Kosa lilianza kwa kuhalalisha hili...
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Boda ndio imeigonga mwendokasi!
 
Madereva wengi wa boda boda vichwa vyao viko spidi sana, labda ndio sababu ya kuiita hiyo kazi ni laana, lakini kama boda boda wangekuwa wanafuata sheria za usalama barabarani, na kuchukua tahadhari naamini wangeepuka vifo na ajali nyingi sana.

Hiyo kazi sio ya laana, laana wanaisababisha wao wenyewe kwa matendo yao bila kufikiria.
Bangeeee na visungura..
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Sijui tunakosea wapi!!
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Afisa usafirishaji na abiria wameishia hapo. Inauma sana

Hivi mabasi ya Mwendokasi ya exclusive immunity kwenye vivuko vya zebra na road intersections? Maana wanapita kasi mno kama treni katikati ya mji
 
Back
Top Bottom