Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

INAHUZUNISHA, hata hao bodaboda hapo alikuwa kwenye utafutaji, ana watoto, na pengine alimbeba mtu asiye bodaboda (abiria) aliyekuwa na haraka sana kukimbilia kipato au interest fulani. hakujua kama anaenda kufa siku hiyo, hakuna ajuaye siku wala saa ndo maana tunatakiwa kukesha, tujiweke tayari kwa kutengeneza mambo yetu na Mungu ili tukifa tufe katika Bwana twende mbinguni na kama tukiishi basi tuishi hapahapa duniani tukiwa na Mungu.

UFUNUO 14: 13 INASEMA: Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, andika, heri wafu wafao katika Bwana tangu sana. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.

wengi wa wanaosoma hata huu ujumbe hapa, aidha mtaishi au mtakufa muda wowote, leo, kesho, mwakani, au siku msiyoijua, siombei mfe, ila ukweli mchungu ndio huo, cha muhimu ni kwamba mkiishi, andaeni maisha yenu ili muishi na Mungu, ama la mkifa basi muwe mmekufa mkiwa mikononi mwa Mungu (mkiwa mmeokoka) ili mwenda mbinguni badala ya kuzimu. mwenye dhambi akifa anaenda motoni, kwasababu alishupaza shingo yake kwa mahubiri kama hayahaya ya kawaida tu haya, akagoma kuokoka. kwa sasaivi dunia yote labda kasoro North Korea tu ambako hata internet haipo, watu wachache sana hawaelewi kitu kinachoitwa "KUOKOKA" hapa Tanzania ukitaja kuokoka tu mtu anaelewa nini anatakiwa kufanya, ila anafanya shingo yake kuwa ngumu, na anakufa na dhambi zake, na anaenda motoni.

hii ndio maana unapoishi, unapofanya chochote, hata unapozini, unapoonea watu, unapoiba, unapodhurumu, jua kuwa upo dhambini na ukifa kabla hujatengeneza na Mungu uanenda motoni. fikiria, where are you going to spend your eternity? wapi utaishi maisha yako baada ya kifo au kiama? motoni au uzimani? hayo yatategemea ulivyofanya uchaguzi ukiwa mzima, nafasi hiyo unayo sasa, sio baada ya kufa ambako hujui utakufa lini. usifanye bahati nasibu, pengine hautafika jioni ya leo au kesho, umejiandaa?

msidanganyike na mapadre na viongozi wengine wa dini wanaowadanganya na kuwaweka mateka kwamba mkifa wao watawaombea maiti zenu na mtasamehewa dhambi hukuhuko maitini. mstari nimeweka hapo juu unasema ukifa matendo yako yatafuatana nawe. utaenda na matendo yako. nafasi ya kutubu ni hii ukiwa mzima, tubo acha dhambi, okoka kwa lugha nyingine yaani, ishi, ili ukifa ufe katika Bwana, ukiishi uishi katika Bwana.

haya sasa, unajua utaishi hadi lini? kama upo kazini, utasafiri hadi kufika nyumbani bila kugongwa na gari? nani anakulinda? huyuhuyo unayemkataa? anayekuelekeza uokoke lakini unashupaza shingo yako? wengine wanakufa kwa kupiga chafya tu baada yakunywa maji. Michael jackson aliweka hadi watu watakaojitolea viongo akipata shida ili aishi miaka mingi ila alikufa kama panya tu. Nakushauri okoka. OMBA SALA HII PAMOJA NA MIMI ILI UOKOKE.

sema: BWANA YESU, MIMI NI MWENYE DHAMBI, NAAMINI YESU KRISTO ALIKUFA KUWA KAFARA LA WOKOVU WANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE (ZITAJE KAMA UNAZIJUA), NAOMBA UNISAMEHE, KUANZIA SASA NIWE MALI YAKO, KWA JINA LA YESU KRISTO NINAOMBA, AMEN.

kirahisi tu hivi, kama utakuwa umeomba sala hiyo kwa kumaanisha moyoni, umeshaokoka, Mungu amekusamehe, sasa ili uukulie wokovu, jiunge na wale wanaoamini wokovu kama wewe. simaanishi hao wauza mafuta au maji au keki, namaanisha walokole wa kweli. kuolokoka/kuokoka ni lazima ili umwone Mungu wala usione aibu kuamua au kuonekana umeokoka. Mungu akusaidie.
Maneno meeeeengi kumbe ujinga tu
 
Duuh inaumiza kwa kweli.
Inasikitisha,..ni kijana mdogo sana wa 2002...alipoambiwa kuwa huu mguu unakusumbua dawa ni kuukata,..basis kijana akaona isiwe kesi muda wa saa mbili usiku akazunguka nyuma ya wodi akiwa na magongo yke ,..akajitundika
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Siku nyingine usiseme bodaboda sema afsabusafirishaji
 
IMEKAA VIZURI SANA,
ILI MAMBO YAKAE SAWA NI LAZIMA ANGALAU KILA SIKU TUWE TUNAZIKA BODABODA KUMI HIVI KWA KUGONGWA.
 
IMEKAA VIZURI SANA,
ILI MAMBO YAKAE SAWA NI LAZIMA ANGALAU KILA SIKU TUWE TUNAZIKA BODABODA KUMI HIVI KWA KUGONGWA.
labda kama ndugu zako wote wanamiliki magari hawatapanda bodaboda, ila jua bodaboda huwa wanabeba abiria wanaoweza kuwa shangazi zako, dada zako, kaka zako, ndugu zako au wowote wale, hata wewe mwenyewe. wengi tunamiliki magari, ila ukitembelea mkoa ambao sio kwenu, huwezi kupanda taxi muda wote, na nje ya dar hakuna bolt wala ubber. utapanda tu boda na yanaweza kukukuta hata wewe.
 
labda kama ndugu zako wote wanamiliki magari hawatapanda bodaboda, ila jua bodaboda huwa wanabeba abiria wanaoweza kuwa shangazi zako, dada zako, kaka zako, ndugu zako au wowote wale, hata wewe mwenyewe. wengi tunamiliki magari, ila ukitembelea mkoa ambao sio kwenu, huwezi kupanda taxi muda wote, na nje ya dar hakuna bolt wala ubber. utapanda tu boda na yanaweza kukukuta hata wewe.
HATA KAMA UNAMILIKI GARI BILA KUFUTA TARATIBU ZA BARABARANI, TUTAKUZIKA FASTA.
KWAMBA KWA SBB WATU HAWANA MAGARI BASI RUKSA KUPANDA PIKIPIKI ZENYE KUVUNJA SHERIA?

UKIPATA NAFASI FUATILIA HII HABARI:

ASILIMIA 70 YA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI WANAOPOKELEWA MOI WANATOKANA NA AJALI ZA BODABODA​

 
HATA KAMA UNAMILIKI GARI BILA KUFUTA TARATIBU ZA BARABARANI, TUTAKUZIKA FASTA.
KWAMBA KWA SBB WATU HAWANA MAGARI BASI RUKSA KUPANDA PIKIPIKI ZENYE KUVUNJA SHERIA?

UKIPATA NAFASI FUATILIA HII HABARI:

ASILIMIA 70 YA MAJERUHI WA AJALI ZA BARABARANI WANAOPOKELEWA MOI WANATOKANA NA AJALI ZA BODABODA​

kwa taarifa yako mimi sizikwi leo wala kesho, nina Yesu Kristo moyoni, yeye ndiye uzima wangu. ila wewe nakushauri rudi kwa Mungu, okoka na acha kuwaza mabaya juu ya wenzako. nakuombea kwa Mungu usife, usijekufa katika dhambi ukaenda motoni kabla hujaokoka.
 
kwa taarifa yako mimi sizikwi leo wala kesho, nina Yesu Kristo moyoni, yeye ndiye uzima wangu. ila wewe nakushauri rudi kwa Mungu, okoka na acha kuwaza mabaya juu ya wenzako. nakuombea kwa Mungu usife, usijekufa katika dhambi ukaenda motoni kabla hujaokoka.
 

Attachments

  • VID-20240401-WA0003.mp4
    1.6 MB
Bodaboda haikupaswa kuwa usafiri wa umma...

Kosa lilianza kwa kuhalalisha hili...
Wanajali basi.
Huko south Africa, Botswana, Namibia no usafiri wa bodaboda

Sisi huku tuliondoa hiace mjini kisa foleni bila kujipanga vzr cha ajabu mji umerudi nyuma kwa vibajaji na bodaboda tena zisizofata Sheria.
Mimi nashauri Bodaboda wasirihusiwe kutumia Barabara kuu. Na kuingia mjini unless ni dereva bolt au Uber registered na mwenye Kila kitu including leseni na helmet mbili.
Bodaboda na bajaji vituo vyake viwe mwisho wa daladala. Mfano pale kimara mwisho boda na bajaji ndo zipeleke watu huko mitaani.

Waache kusajili bodaboda
 
Back
Top Bottom