Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Mzigo mwingine upi ww bibie?.funguka..nikipanda boda yyt namwambia sitaki anikimbize hilo ni la kwanza kabisa kabla sijapanda..mm ndo natoa nauli...shida nyie mkipandishwa mnaona raha anavyochomekea mbele ya magari na vigauni vyenu vinapepea..
Hata mimi huwa nafanya hivyo mara nyingi huwa nakataa kupanda boda hata kama akiwa zamu yake kupakia kama hana kofia mbili,boda yake haina vigezo vya Kunifikisha salama.
 
Ikiwa unataka kupanda bodaboda chagua boda ambaye ni mtu mzima. Unajua ni kwa nini?

Mtu mzima tayari ana majukumu. Anajua kuna watu wanamtegemea. Ameoa ana familia na familia inamtegemea na bodaboda ndiyo kazi yake.

Hivyo wakiwa barabarani wanakuwa wapo makini zaidi kwa sababu anajua nikivunjika mguu miezi mitatu au minne familia yangu itaishi vipi? Watoto wanahitajika kwenda shule na nyumbani kila siku wale na mahitaji mengineyo muhimu. Wanakuwa makini sana.

Au ukimuona kijana ambaye anaendesha kiustaarabu kuna mawili. Mosi, alipata ajali na kunusurika. Pili, hiyo ndiyo kazi inayomwezesha aendesha familia. Hivyo tutarudi palepale kwenye majukumu.

Ila kwa hawa mayanki habari ni tofauti. Yeye anajiona yupo peke yake hivyo inamjengea kujiona yupo huru kwani hana hatia kuona kuna watu wanamtegemea.
Nimeipenda hii
 
Wangefuata utaratibu kusingekuwa na foleni.
Kila mtu akiwa na haraka ndio foleni inaanza.
Kila mtu akiwa na kimgora wasio nachoi wanakesha barabarani.
Ukiwa na haraka wahi kabla ya muda.
nilichokuwa nataka kumaanisha hapo sio kwamba sheria zilizowekwa sio sahihi, nilitaka watu wajue kuwa, ukiwa barabarani, kuwa mpole na vumilia wengine, hata kama wamekosea sheria. tukiishi hivyo hata hiyo ajali isingetokea.
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


Screen Shot 2024-03-30 at 12.12.18.png

WAo bodaboda wamezoea kugonga gari ndogo na kuwatukana madereva kuwa ni gari za mkopo, nafikir waendelee tu!
 
Nimeipenda hii
Mimi nilikuwa sipo makini na vyombo vya moto. Mimi napenda kuchezea pikipiki kama sehemu ya burudani. Nilishawahi kuanguka na pikipiki kama mara tatu. Na siyo pikipiki hata baadhi ya vitu nilikuwa siyo mtu wa kujali.

Ila baada ya kupewa majukumu automatically nikabadilika. Familia imekuteua wewe ndiye unakuwa msimamizi wa biashara. Mnakutana familia mnafurahi yaani una enjoy matunda ya biashara inavyokwenda vizuri na family inazidi kujijenga mnakuwa vizuri zaidi.

Kuna feelings fulani hivi unazipata na kuona kweli nahitajika, na maisha mazuri ni matamu; kwa nini nisipambane yawe matamu zaidi?

Kwa hiyo nikajiona nina dhima! Nina majukumu. Nategemewa kuyafanya mambo yawe mazuri zaidi. Huwezi amini mambo ya kipuuzi na ya hatari niliyaacha. Sijui kukimbiza pikipiki sitaki kabisa kuyafanya. Nikitumia usafiri wa boda sitaki mtu anikimbize. Nikiona mwendo fulani tu namwambia ndugu, ninapoelekea mimi nimeshawahi, usinikimbize.
 
Mimi nilikuwa sipo makini na vyombo vya moto. Mimi napenda kuchezea pikipiki kama sehemu ya burudani. Nilishawahi kuanguka na pikipiki kama mara tatu. Na siyo pikipiki hata baadhi ya vitu nilikuwa siyo mtu wa kujali.

Ila baada ya kupewa majukumu automatically nikabadilika. Familia imekuteua wewe ndiye unakuwa msimamizi wa biashara. Mnakutana familia mnafurahi yaani una enjoy matunda ya biashara inavyokwenda vizuri na family inazidi kujijenga mnakuwa vizuri zaidi.

Kuna feelings fulani hivi unazipata na kuona kweli nahitajika, na maisha mazuri ni matamu; kwa nini nisipambane yawe matamu zaidi?

Kwa hiyo nikajiona nina dhima! Nina majukumu. Nategemewa kuyafanya mambo yawe mazuri zaidi. Huwezi amini mambo ya kipuuzi na ya hatari niliyaacha. Sijui kukimbiza pikipiki sitaki kabisa kuyafanya. Nikitumia usafiri wa boda sitaki mtu anikimbize. Nikiona mwendo fulani tu namwambia ndugu, ninapoelekea mimi nimeshawahi, usinikimbize.
kuna mtu mwingine anashindwa kuvumilia bodaboda na bajaji wasiojielewa, bila kujua mle ndani kuna mke wake au watoto wake. anawagonga kuangalia ndani kaua ndugu zake. vipi hapo? ni kweli bodaboda kakosea, ila wewe usiyekosea umetumia hekima kiasi gani?
 
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Kisutu majira ya saa nne usiku jana 29/3/2024, ambapo Mwendokasi kutoka Kivukoni ikielekea Ubungo iligongana bodaboda iliyokuwa inakatisha kuelekea njia ya Kisutu.

Katika ajali hiyo kumetokea vifo viwili; dereva wa bodaboda na pamoja na abiria wake.


15mb alafu view mbovu Bora ungeandika maelezo tu bila ya hiyo video.
 
boda amekosea hapo, ila wakati mwingine najiuliza, kwani hayo mabasi ya mwendo kasi nayo hayana break?
Swali zuri sana. Udereva wa kujihami nimuhimu. Mabasi yana barabara zake, hayajawahi kufuata mtu nje ya barabara zaje kama vile treni inapita kwenye reli, ukiingia huko wewe ndio umeigonga treni na siyo treni kukugonga wewe.

KUJIHAMI.
Huwezi piga breki ndani una abiria 600 , kukwepa "afisa usafirshaji mmoja-kishandu" utajikuta basi linapinduka unaua watu 300 na kishandu anakimbia zake.
Hata mabasi ya mkoani huwa wanaambiwa hivyo, wanakugonga kuliko kupindua na kuua watu wengi.
 
Swali zuri sana. Udereva wa kujihami nimuhimu. Mabasi yana barabara zake, hayajawahi kufuata mtu nje ya barabara zaje kama vile treni inapita kwenye reli, ukiingia huko wewe ndio umeigonga treni na siyo treni kukugonga wewe.

KUJIHAMI.
Huwezi piga breki ndani una abiria 600 , kukwepa "afisa usafirshaji mmoja-kishandu" utajikuta basi linapinduka unaua watu 300 na kishandu anakimbia zake.
Hata mabasi ya mkoani huwa wanaambiwa hivyo, wanakugonga kuliko kupindua na kuua watu wengi.
ni kitu kile kile tu kwasababu hata anapoenda kugonga boda aliyepita njia ya mwendo kasi, haimaanishi kwamba ile boda ndio inaisimamisha gari, kuna breki zipo, anafungia break baada ya kumgonga, la sivo angemburuza hadi mbali sana. na ile speed sidhani kama inazidi60 au 70kmh, la sivyo hat akwenye vituo vya mwendo kasi asingeweza kusimama. pia, kama kupinduka ni kule kule tu akigonga mara nyingi huwa anaacha hadi njia. Boda wanakosea kweli, ila sasa na mabasi ambao wapo kwenye njia ya usahihi naamini wana wajibu wao fulani hata kama wapo katika mazingira magumu.
 
ni kitu kile kile tu kwasababu hata anapoenda kugonga boda aliyepita njia ya mwendo kasi, haimaanishi kwamba ile boda ndio inaisimamisha gari, kuna breki zipo, anafungia break baada ya kumgonga, la sivo angemburuza hadi mbali sana. na ile speed sidhani kama inazidi60 au 70kmh, la sivyo hat akwenye vituo vya mwendo kasi asingeweza kusimama. pia, kama kupinduka ni kule kule tu akigonga mara nyingi huwa anaacha hadi njia. Boda wanakosea kweli, ila sasa na mabasi ambao wapo kwenye njia ya usahihi naamini wana wajibu wao fulani hata kama wapo katika mazingira magumu.
We, utakua unaishi USHETU, hujui mwendokasi [DART ] ni magari gani, unafananisha na matreka ya kulimia huko kijijini.
 
kuna mtu mwingine anashindwa kuvumilia bodaboda na bajaji wasiojielewa, bila kujua mle ndani kuna mke wake au watoto wake. anawagonga kuangalia ndani kaua ndugu zake. vipi hapo? ni kweli bodaboda kakosea, ila wewe usiyekosea umetumia hekima kiasi gani?
Ni Jambo muhimu umeligusia.

Nafikiri muhimu ni elimu ya usalama wa barabarani kutolewa zaidi. Unajua siku hizi kuna wimbi kubwa la madereva wa magari ambao mafunzo yao ni ya kimtaani. Hawapati kutoka kwenye vyanzo husika.

Kwa hiyo matukio mengine maamuzi yanakuja kutokana na hekima ya mtu. Ikiwa kama amekosa hekima basi angalau elimu itamsaidia.

Ikiwa kama amekosa vyote viwili kwa pamoja, matokeo yake atafanya maamuzi ambayo kwake hayatamjengea picha kwamba ule ni uhai wa mtu.

Nukta uliyoizungumzia wewe inaingia kwenye kipengele cha udereva wa kujihami. Na kwa nini udereva wa kujihami? Kuna sababu zake utapatiwa. Katika kunyambuliwa zaidi utapatiwa na mifano ambayo kama wewe uliyoutoa.

Kwa upande wangu, mimi nimeonelea hivyo! Ni elimu. Elimu ya usalama wa barabrani ni muhimu kwa watu wote na itatusaidia kuwa makini na kupunguza maamuzi ambayo siyo makini barabarani.
 
Back
Top Bottom