Kisutu: Mwendokasi na bodaboda zagongana, wawili wafariki

Wagongwe tu, tutafanyaje sasa!
 

Bodaboda haikupaswa kuwa usafiri wa umma...

Kosa lilianza kwa kuhalalisha hili...
 
Boda ndio imeigonga mwendokasi!
 
Bangeeee na visungura..
 
Sijui tunakosea wapi!!
 
Afisa usafirishaji na abiria wameishia hapo. Inauma sana

Hivi mabasi ya Mwendokasi ya exclusive immunity kwenye vivuko vya zebra na road intersections? Maana wanapita kasi mno kama treni katikati ya mji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…