Kiswahili fasaha kinatoweka

Yaani wewe ndio umenikoroga kabisa 🤯 Nlikuwaga simpendi mwalimu wangu wa kiswahili alikua anaitwa Sekule kwasababu ya kufinya. Yule mwalimu hapana jamani 🙌🏾 Hadi nimesikia maumivu ya vifinyo vyake upya. Basi na somo nkalichukia completely hata sikumbuki tena kiambishi ndio ki nini 😏
 
Yaani wewe ndio umenikoroga kabisa 🤯 Nlikuwaga simpendi mwalimu wangu wa kiswahili alikua anaitwa Sekule kwasababu ya kufinya. Yule mwalimu hapana jamani 🙌🏾 Hadi nimesikia maumivu ya vifinyo vyake upya. Basi na somo nkalichukia completely hata sikumbuki tena kiambishi ndio ki nini 😏
 
Unataka kuhalalisha makosa.
Wimbo wangu kuita nyimbo yangu ni kosa kubwa iwe katika kuongea au kuandika.
 
Wapemba nyanya huita tungule,kitambo nikatumwa na mama wa kipemba nikamnunulie tungule gengeni,nilizurura,nikarudi na jibu la hakuna tungule,bomba wanaita mfereji
 
Kitakusaidia nini hicho kiswahili fasaha ?

Lengo la lugha ni watu kuweza kuwasiliana na kuelewana hapo inatosha kabisa .
 
haya kumekucha wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…