Kwenye kuandika ni tatizo la shule. Kile kiswahili tunasoma shuleni ndiyo hutatua mambo hayo. Kwenye kuongea sina hakika sana maana wanaweza kutumia herufi hizo zote. Labda wanakuwa hawako familiar na hayo maneno hivyo hawajui ni herufi gani inahitajika.Kote, kwenye kutamka na kuandika.
Wewe shida yako siyo kushindwa kutamka au kutofautisha herufi ^ARA^ na ^ELO,^ bali tu unashindwa kutambua na kutofautisha maneno maneno yanayokaribiana kimuundo.Kuna wale wa "H" & "U"
Hilo la R & l hata mimi kuna baadhi ya maeneo linanitatiza, sio mother tongue(matamshi) ila kuna baadhi ya sehemu nashindwa kujua hapa inayotumika ni R au L..
Mfano wa sehemu ambazo nachanganyaga ipi itumike ni Neno Mahari na Mahali,
Haya yote ni maneno sahihi ila inategemea umelenga nini.
Kuna wengine shida inaazia kwenye kutamka.
Kutamka na kuandika, vyote hivi ni kutofanya mazoezi ya kutosha ili kurekebisha, utotoni ama ukubwani.Kwenye kuandika ni tatizo la shule. Kile kiswahili tunasoma shuleni ndiyo hutatua mambo hayo. Kwenye kuongea sina hakika sana maana wanaweza kutumia herufi hizo zote. Labda wanakuwa hawako familiar na hayo maneno hivyo hawajui ni herufi gani inahitajika.
Nadhani nilimwelewa. Soma paragraphy yake ya mwisho, anasema linatokana na nini?Hujaelewa wazo la msingi na swali la mleta-mada.
Upo sahihi kabisa, nimejaribu kuvuta picha ya maneno mengine ninayochanganya,Wewe shida yako siyo kushindwa kutamka au kutofautisha herufi ^ARA^ na ^ELO,^ bali tu unashindwa kutambua na kutofautisha maneno maneno yanayokaribiana kimuundo.
Inawezekana kurekebisha lakini kujitahidi kurekebisha ukubwani unaweza geuka kituko. Kuna redio Mbeya inaitwa Dream Fm. Nafikiri wameambiwa watamke R inapotakiwa, ni kituko jinsi wanavyojitahidi waitamke. Mwisho wa siku hawavutii kuwasikiliza. Au msikilize Bahati Bukuku akijitahidi kutamka RSwali hapa si geographical upbringing, bali makuzi. Je alifundishwa kutamka na kutofautisha hizo herufi!??? HIli ni suala litokanalo na kukosa mafunzo sahihi utotoni ama kutoweka juhudi za kurekebisha ukubwani.
Kutamka na kuandika, vyote hivi ni kutofanya mazoezi ya kutosha ili kurekebisha, utotoni ama ukubwani.
Inawezekana kurekebisha lakini kujitahidi kurekebisha ukubwani unaweza geuka kituko. Kuna redio Mbeya inaitwa Dream Fm. Nafikiri wameambiwa watamke R inapotakiwa, ni kituko jinsi wanavyojitahidi waitamke. Mwisho wa siku hawavutii kuwasikiliza. Au msikilize Bahati Bukuku akijitahidi kutamka R
Mbaya zaidi huwezi fanya mazoezi kama jamii inayokuzunguka/unaoongea nao kila siku hawana hiyo R au L. Labda upate kocha.
Bado matatizo yanakuwa ya kabila ambalo linaathiri pia makuzi ndani ya familia. Twajifunza lugha kupitia wazazi, jamii zinazotuzunguka na elimu darasani. Wapo ambao ni wepesi wa kujifunza mambo mapya na kufuta ya zamani.Kwa nini kuna wanyakyusa wameishi maisha yao yote Dar es Salaam wanachanganya R na L halafu kuna Wanyakyusa wameishi maisha yao yote Mbeya na wanaweza kutofautisha hizo herufi?
Bado matatizo yanakuwa ya kabila ambalo linaathiri pia makuzi ndani ya familia. Twajifunza lugha kupitia wazazi, jamii zinazotuzunguka na elimu darasani. Wapo ambao ni wepesi wa kujifunza mambo mapya na kufuta ya zamani.
Lakini si ajabu ukienda Nyanda za juu ukawakuta watu wanaoweza kutofautisha R na L. Hawatakuwa wengi sana kama wale wasioweza kutofautisha. Mimi kabila nalichukulia kama pombe. Pombe ina madhara, lakini sio wote wanyao pombe watapata madhara. Lakini wengi wanaokunywa pombe wanaweza pata matatizo fulani ambayo yanaweza yakatokea hata usipokunywa pombe.
Kwenye uandishi unaweza kusema tatizo ni elimu na uwezo.
Ila kwenye mazungumzo hali ni tofauti kwasababu mara nyingi lugha huwa zinaathiriwa na lugha mama.
Mfano, Mkurya kutamka L utamuonea tu au Jaluo kutamka R ni ngumu.
Mara ya kwanza nimeenda Bukoba nilikuwa nashangaa, maana Wahaya huwa ni ngumu sana kutamaka NG' hata Ng'ombe wanaweza kusema Ngombe.
Sentenzi za Kiingereza zinazoishia na ......ing mfano She is going, wanatamka 'She is goingi.
Na hii iko dunia nzima, tafuta Mhindi aongee Kiingereza au Mzungu aongee Kiswahili utaiona athari ya lugha mama kwenya matamshi.
Wewe ndiyo umeongea ukweli,unajua kuna watu wanaojifanya walienda shule kusoma wanadhani wanajua kila kitu, mtu aweke R au L bado kama anaongea na mswahili mwenzie atamuelewa tu,sasa shida inakua wapiHapana. Sioni kama kuna lugha ambayo ni sahihi kuliko nyingine. Ukiona hivyo kiswahili si lugha yao ya asili. Wanaotumia R au L wako sahihi tu....hiyo ni free style
Wewe utakua ni kijana mdogo sana mwenye kudhani kwenda chuo kikuu ni kumaliza yote,swala ni unamuelewa aliyeweka R au L katika sentensi au huelewi,jibu ni unaelewa sana,sasa tatizo ni niniMfano Malaria anatamkaje vile? Honestly nikisoma maandishi yalivochanyanywa R ilipokuwa itumike L huwa naishia hapo. Inaudhi sasa ukute ndo anaandika kwa lugha ya malkia ndo itabidi urudie rudie. Sijaelewa hata kama ni accent ndo ifikie hatua mpaka maandishi?
Ukija kwetu tunasema abali za saa izi si utakufa kabisa😀😀Juzi kuna mtu kajirecord anaimba "I lani lani lani to you, i lani to youuuuu", aliniharibia siku yangu walai, nilihisi kichefu chefu, pumzi ilibana nadhani nilipatwa na Panic attack, [emoji1][emoji1]
Kuna msanii mmoja mkubwa tu, ameshirikishwa wimbo naupenda sana lakini ikifika verse yake hua natamani nipeleke mbele, anasema "...wala Hakuniulumia..."
Tena mie naona bora anayeandika kuliko anayeongea, inachefua sana.
UDUNI WA ELIMU na KUIGA VISIVYOFAA.
Juzi kuna mtu kajirecord anaimba "I lani lani lani to you, i lani to youuuuu", aliniharibia siku yangu walai, nilihisi kichefu chefu, pumzi ilibana nadhani nilipatwa na Panic attack, [emoji1][emoji1]
Kuna msanii mmoja mkubwa tu, ameshirikishwa wimbo naupenda sana lakini ikifika verse yake hua natamani nipeleke mbele, anasema "...wala Hakuniulumia..."
Tena mie naona bora anayeandika kuliko anayeongea, inachefua sana.
UDUNI WA ELIMU na KUIGA VISIVYOFAA.
Moja ya sababu ni makabila tunayotokea. Kwa mfano, kwa Wasukuma "R" hakuna. Kuna Wasukuma wengi tu ambao wanatamka maneno yenye "R" kwa kuweka "L" ambapo hiyo "R" ipo. Sasa hiyo inaweza kupelekea hilo kosa hata kwenye uandishi.
Sababu nyingine nadhani ni kutokujua vizuri misamiati ya Kiswahili na tahajia zake. Unakuta mtu hana uhakika wa kama atumie "R" au "L" na hivyo anakuwa anabahatisha tu kwa kuchagua kutumia herufi mojawapo na kwa vile wengi wetu tunakuwa tumejua alichomaanisha basi wala hatutamkosoa.
Pia wapo ambao huacha kuandika herufi "H" mbele ya maneno yaanziayo na hiyo herufi na wengine ambao huiweka pasipotakiwa. Kwa mfano unakuta mtu anaandika "alafu" badala ya "halafu" au unakuta anaandika "hovyo" badala ya "ovyo".
Kwa ujumla Watanzania hatujui vizuri lugha.
Kama umeenda shule walau ya upili halafu uwe umeandaa insha kwa lugha ya malkia hizo R na L uwe unazibadilisha ndo utajua madhara ya unachokitetea. Mkienda shule na kupata zero ndo mnakuja kulalama mtaani. Ushawahi hata kuandika barua ya maombi ya kazi ukazibadikisha R na L ukaona matokeo yake? Usitetee ujinga hakuna mwalimu anaweza kukufundisha hivyo! Matamshi na kuandika ni vitu viwili tofauti. By the way umri wangu unahusianaje na hizo R na L? Assuption kwamba unapoandika huo upuuzi kwamba utaeleweka ni ujinga mwingine ambao unahitaji kwenda elimu ya watu wazima.Wewe utakua ni kijana mdogo sana mwenye kudhani kwenda chuo kikuu ni kumaliza yote,swala ni unamuelewa aliyeweka R au L katika sentensi au huelewi,jibu ni unaelewa sana,sasa tatizo ni nini