okonkwo jr miye siyo kilaza wa Lugha hii adhimu. Dharula ndiyo neno sahihi na wala siyo "dharura". Nikwambie tu wengine tulishiriki kwenye vita kati ya siye tuliokuwa tunadhani matumizi sahihi ya neno linalotakiwa kuashiria uelekeo ni "onyesha" na siyo "onesha" na wale waliokuwa wanaamini kinyume chake, bahati mbaya sana tulishindwa vita ile baada ya mapambano mengi sana. Kama una ushahidi kuwa neno sahihi ni DHARURA na siyo DHARULA basi uuweke hapa Jamvini.
Preta,
bitimkongwe 42_007 nziriye Manyunchwi Zamaulid SaaMbovu Kaboom hii lugha ya Kiswahili tunaitumia kwa mazoea lakini wakati mwingine huwa tunaipotoa!! Nimeona
brawn shao kaathiriwa labda na lugha yake ya asili badala ya kuandika "thamani" akaandika "dhamani" Tujifunze wote kwa pamoja!!