Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

okonkwo jr miye siyo kilaza wa Lugha hii adhimu. Dharula ndiyo neno sahihi na wala siyo "dharura". Nikwambie tu wengine tulishiriki kwenye vita kati ya siye tuliokuwa tunadhani matumizi sahihi ya neno linalotakiwa kuashiria uelekeo ni "onyesha" na siyo "onesha" na wale waliokuwa wanaamini kinyume chake, bahati mbaya sana tulishindwa vita ile baada ya mapambano mengi sana. Kama una ushahidi kuwa neno sahihi ni DHARURA na siyo DHARULA basi uuweke hapa Jamvini.

Preta, bitimkongwe 42_007 nziriye Manyunchwi Zamaulid SaaMbovu Kaboom hii lugha ya Kiswahili tunaitumia kwa mazoea lakini wakati mwingine huwa tunaipotoa!! Nimeona brawn shao kaathiriwa labda na lugha yake ya asili badala ya kuandika "thamani" akaandika "dhamani" Tujifunze wote kwa pamoja!!
Neno dharura ni Kiarabu 100%
 
Kiswahili kweli kimechafukwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ✓
 
Habari wakuu?

Unakuta mtu anafuma uzi wake anatuchunganya yeye na wachangiajiaji wake


Unakuta kwenye kuandika l anaandika R na R anaandika L najiuliza Hawa watu Wana misabiati yao au?
 
'Anatuchunganya' ni nini?

'wachangiajiaji' ??

'anaandika' ??

'Misabiati' ??
 
Habari wakuu?
Unakuta mtu anafuma uzi wake anatuchunganya yeye na wachangiajiaji wake


Unakuta kwenye kuandika l anaandika R na R anaandika L najiuliza Hawa watu Wana misabiati yao au?
Hi - Hii
Anatuchunganya - Anatuchanganya
Wachangiajiaji - Wachangiaji
Misabiati - Misamiati


Kasoro zenye kasoro.
 
Wazee wa L kuwa R na R kuwa L naona mmekuja walimu wa shule za kiswahili za kata!

Mmenichambua haswa
 
Habari wakuu?
Unakuta mtu anafuma uzi wake anatuchunganya yeye na wachangiajiaji wake


Unakuta kwenye kuandika l anaandika R na R anaandika L najiuliza Hawa watu Wana misabiati yao au?
Hili sasa hivi ni tatizo la kitaifa,zamani ilikuwa inafuatiliwa hasa level ya primary na secondary lakini sasa hivi naona hakuna ufuatiliaji ni free range...
 
Wee mwenyewe umechapia khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom