Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,123
- 4,023
Kaka mimi sijakususa nipo nimejaa tele sema tu kuonekana humu ni siku moja moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mimi sijakususa nipo nimejaa tele sema tu kuonekana humu ni siku moja moja
Imeandikwa wap kuwa lazima tuonane humu dada ake??Kwenye vile viti virefu je!!!Kaka mimi sijakususa nipo nimejaa tele sema tu kuonekana humu ni siku moja moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kaka huko kwenye viti virefu huwa siendiImeandikwa wap kuwa lazima tuonane humu dada ake??Kwenye vile viti virefu je!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watangazaji na wasanii ni waharibifu wa kwanzaHii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakweri,shelia ipitishwe kukomesha hawa wanaohalibu rughaInakela sana watu wanahalibu luga makusudi kabisa!!
Siku hizi hata ledioni unakuta wanahalibu!!
Ipitishwe shelia kukomesha iko kitu!!
Makubwa[emoji1552]♂️[emoji1552]♂️[emoji1552]♂️[emoji1552]♂️
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unavijua viti virefu kwanza? ??Au umesema tu hauendiSasa kaka huko kwenye viti virefu huwa siendi
Si inabidi tuwe tunaonana tu humu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ulivionea wap Dada ake na wakati huendagi huko!!!Au umepewa uwezo wa kinabii??
Kilaza anaelevusha waelevu,DHARULA=DHARURA
Kaka nilikuwa naendaga zamani sahivi nimeachaHahah ulivionea wap Dada ake na wakati huendagi huko!!!Au umepewa uwezo wa kinabii??
Sent using Jamii Forums mobile app
anaelevusha= anaerevusha.
welevu= werevu
Hongera sana kwa kuchagua njia njema!!!Mpaka muda huu ungeshavunjika miguu kwa ajili ya viti virefu!!!
..na mwimbaji ipo sahihi?Hii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
Aahahahahahah ahsante kaka...mimi niliona hamna faida ninayoipata nikaamua kuacha kabisa kuhudhuria kwenye viti virefu.Hongera sana kwa kuchagua njia njema!!!Mpaka muda huu ungeshavunjika miguu kwa ajili ya viti virefu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app