Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Tatizo hili naona limekuwa kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na wakati mwingine hadi kwenye matumizi Rasmi ya Lugha yetu ya Kiswahili. Inanonesha kwamba watu wengi labda kutokana na Lugha zao za asili wanashindwa kabisa kutofautisha matumizi ya her " L " na " R " wakati wanafanya uandishi wa maandiko yao.
Mtu badala ya kuandika "Jaribu" yeye ataandika "Jalibu", au wengi wetu hatuwezi kuandika "Dharula" badala yake tunaandika "Dharura" na mengine mengi yanayohusisha matumizi ya herufi hizo mbili.
Mtu badala ya kuandika "Jaribu" yeye ataandika "Jalibu", au wengi wetu hatuwezi kuandika "Dharula" badala yake tunaandika "Dharura" na mengine mengi yanayohusisha matumizi ya herufi hizo mbili.