MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Hivi ni KUJAMPA au KUJAMBA?, MPAKA au MBAKA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika kuwa hakuna matumizi rasmi ya neno Dharula? Mimi siyo tu nilizaliwa Pwani lakini pia nimekiishi kile kiswahili kisichobebwa na maneno lukuki ya kutoholewa au ya kukopa. Kwa mfano wewe badala ya kusema kuwa "ulipasi vizuri" ulipaswa useme "ulifaulu vizuri" au sivyo mswahili mwenzangu?Asante SaaMbovu.
Bwa Allen Kilewella mimi ni mzaliwa wa pwani ambaye nimekulia pwani, kiswahili ni lugha yangu na sina nyengine kabisa, na nimesoma kiswahili na kupasi vizuri mpaka form six.
Sijawahi hata siku moja kusikia mswahili akiita dharula.
Zaabu= Dhahabu
Samani=Thamani
Ngombe=Ng`ombe
Au
hipo......ipo
Huniletee........uniletee.......
hawa ndio huwa wananifanya nijisikie kukabwa kabisa........sipumui......
Una hakika kuwa hakuna matumizi rasmi ya neno Dharula? Mimi siyo tu nilizaliwa Pwani lakini pia nimekiishi kile kiswahili kisichobebwa na maneno lukuki ya kutoholewa au ya kukopa. Kwa mfano wewe badala ya kusema kuwa "ulipasi vizuri" ulipaswa useme "ulifaulu vizuri" au sivyo mswahili mwenzangu?
Bora ww, Mi nahc kupasuka.......
Mimi mtu alinitumia message kuwa yupo "teali" Nilihairisha na hiyo safari kabisa.
Sawa PletaAu
hipo......ipo
Huniletee........uniletee.......
hawa ndio huwa wananifanya nijisikie kukabwa kabisa........sipumui......
Mimi mtu alinitumia message kuwa yupo "teali" Nilihairisha na hiyo safari kabisa.
Sawa Pleta
Hivi ni........Nilihairisha au Niliahirisha..........nimeshachanganyikiwa tayari.......
Ni ngeri za kialifaNi nini kinatukumba kwenye lugha yetu ya kiswahili!?? Huu mchanganyiko wa L na R unakuwa kasi saana. Tunaelekea wapi!?
Shuklani,, gurio
Ni nini kinatukumba kwenye lugha yetu ya kiswahili!?? Huu mchanganyiko wa L na R unakuwa kasi saana. Tunaelekea wapi!?
Shuklani,, gurio