Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoa mfano
Jr[emoji769]
Hii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
Sorry kwenye mwimbo nadhani sahihi ni wimbo.... Kwa mfano wimbo wa taifa, wimbo ulio bora nknkHii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
BAKITA wapo kimya tuNi ngeri za kialifa
Jr[emoji769]
Watangazaji wanazingua mnoHii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
Neno mwimbo wangu linamaanisha mtindo wako wa kuimba.Sorry kwenye mwimbo nadhani sahihi ni wimbo.... Kwa mfano wimbo wa taifa, wimbo ulio bora nknk
Jr[emoji769]
Asante kwa ufafanuzi pia... Kiswahili kama lugha nyingine yoyote kimeathiriwa pia na tamaduni, mila na desturi... Kwa mfano baadhi ya makabila watoto hawawezi kabisa kusema WIMBO bali husema MWIMBONeno mwimbo wangu linamaanisha mtindo wako wa kuimba.
Wimbo ni nomino lakini mwimbo ni kielezi. Kinaelezea namna unavyo imba.
Utanisamehe sio mtaalamu wa lugha mimi ni mtu wa sayansi toka sekondari hadi elimu ya juu. Naweza kuwa nimekosea.
Hili jambo huwa linanikera mnoo! Lugha inazidi kuharibiwa kila siku.Hii 'nyimbo' ni nzuri.
Huu 'mwimbo' mzuri.
Badala kusema huu wimbo ni mzuri.
Watangazaji wengi vijana wasio somea mambo ya uandishi wa habari au utangazaji hasa wa redio East Africa, Clouds FM, Magic FM, E-FM, na nyingine za mtindo huo zote pamoja na wasanii wengi wa bongo flava au gospel wanatumia lugha hiyo ya wimbo mmoja kuita 'nyimbo ile', 'nyimbo yangu' badala ya wimbo wangu au 'mwimbo wangu' badala ya wimbo wangu.
Ni kweli.Asante kwa ufafanuzi pia... Kiswahili kama lugha nyingine yoyote kimeathiriwa pia na tamaduni, mila na desturi... Kwa mfano baadhi ya makabila watoto hawawezi kabisa kusema WIMBO bali husema MWIMBO
Jr[emoji769]
Inasikitisha... tena utakuta hata wasomi na viongozi wa ngazi za juu hutumia Lafudhi na lahaja hizi bila kuzingatia L au RBAKITA wapo kimya tu