Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Kiswahili: Matumizi ya Herufi “L” na “R”

Maisha~mahisha
Abel~Habel
Hamna~amna
Huna~una
Kingine kutokutumia alama ya kuuliza (?) wakati unaliza swali kwa maandishi k.m umekula?~umekula.
Kwa ujumla Watanzania hatujui kiswahili hata kidogo kwa sababu matamshi tuna F spelling ndo usisema.
WATAALAM WETU WA LUGHA BORESHENI HILI NA LIPIGANIENI KUANZIA CHEKEA HADI CHUO KIKUU KWA WANAOSOMA HII LUGHA MAANA LEO HII WATOTO WANAOHITIMU KIDATO CHA NNE NA KUENDELEA WANAANDIKA MADUDU KWENYE KISWAHILI, KIINGEREZA NDO USISEME.
 
Hehehe nimecheka maana kila amkosoae mwenzie nae anakosolewa.
 
Mie nafahamu ni Dharura na sio kama unavyo sema.
Hii hapa ni kamusi ya TUKI.

Asante SaaMbovu.

Bwa Allen Kilewella mimi ni mzaliwa wa pwani ambaye nimekulia pwani, kiswahili ni lugha yangu na sina nyengine kabisa, na nimesoma kiswahili na kupasi vizuri mpaka form six.

Sijawahi hata siku moja kusikia mswahili akiita dharula.
 
Tatizo hili naona limekuwa kubwa sana kwenye matumizi ya kawaida na wakati mwingine hadi kwenye matumizi Rasmi ya Lugha yetu ya Kiswahili. Inanonesha kwamba watu wengi labda kutokana na Lugha zao za asili wanashindwa kabisa kutofautisha matumizi ya her " L " na " R " wakati wanafanya uandishi wa maandiko yao.

Mtu badala ya kuandika "Jaribu" yeye ataandika "Jalibu", au wengi wetu hatuwezi kuandika "Dharula" badala yake tunaandika "Dharura" na mengine mengi yanayohusisha matumizi ya herufi hizo mbili.

Anza na prezdar wako...
 
Hehehehe Mr. Prezidaaaa tumsamehe tu maana ile ngoma ya sukumaland haiwezi kuchange.
 
Hehehehe Mr. Prezidaaaa tumsamehe tu maana ile ngoma ya sukumaland haiwezi kuchange.
Mr. Prezidaaaa = Rais
Sukumaland = Usukumani
Kuchange = Kubadilika

*Wasukuma wengi tu wameweza kubadilisha matamshi yao
 
Tupo kwenye jukwaa la lugha ya kiswahili au jukwaa la lugha???
'kiswanglish' pia lugha.

Basi lugha yoyote iandikwe kwa ufasaha

'Kiswanglish' sio lugha, kwa mfano ulivyoandika 'kuchange' badala ya 'kubadilika' ni kutaka kuwajulisha wengine kuwa umezoea kutumia lugha la Kiingereza kuliko Kiswahili, kitu ambacho kinaua lugha yetu ya Kiswahili
 
Asante SaaMbovu.

Bwa Allen Kilewella mimi ni mzaliwa wa pwani ambaye nimekulia pwani, kiswahili ni lugha yangu na sina nyengine kabisa, na nimesoma kiswahili na kupasi vizuri mpaka form six.

Sijawahi hata siku moja kusikia mswahili akiita dharula.

Nadhani ni 'nyingine' na sio 'nyengine'.
 
Basi lugha yoyote iandikwe kwa ufasaha

'Kiswanglish' sio lugha, kwa mfano ulivyoandika 'kuchange' badala ya 'kubadilika' ni kutaka kuwajulisha wengine kuwa umezoea kutumia lugha la Kiingereza kuliko Kiswahili, kitu ambacho kinaua lugha yetu ya Kiswahili


Basi tuseme 'swaggz'

Hapo vipi.
 
Asante SaaMbovu.

Bwa Allen Kilewella mimi ni mzaliwa wa pwani ambaye nimekulia pwani, kiswahili ni lugha yangu na sina nyengine kabisa, na nimesoma kiswahili na kupasi vizuri mpaka form six.

Sijawahi hata siku moja kusikia mswahili akiita dharula.
Mzaliwa wa Pwani acha kuandika 'kiswanglish'

Kupasi = Kufaulu

mpaka form six =mpaka kidato cha sita

mswahili akiita = mswahili akisema
 
Back
Top Bottom