Kitabu cha Enock (Henoko)

Kitabu cha Enock (Henoko)

Ukisoma kitabu cha Enoko, anasimulia kuanzia mwanzo mpaka mwisho, jinsi alivyotokewa na malaika wawili, na kama ilivyo kwa malaika wote wanapowatokea wanadamu huanza na neno “Usiogope”.

Kwa nini?

Ni kwa sababu malaika ana muonekano wa kutisha, kwa binadamu, huwezi kuwa kawaida tu unapomuona malaika ametokea mbele yako, ndiyo maana husema usiogope.

Aliambiwa Mariamu Magdalena pia.

Enoko alianza kuwaelezea malaika ambao walikwenda chumbani kwake wakati amelala.

Kwanza walikuwa wakubwa, wenye mbawa lakini sura zao zilikuwa na mng’ao mkubwa kama jua lakini macho yao yalikuwa yanawaka kama taa.

Katika maisha yake, anasema hakuwahi kuwaona viumbe wakubwa namna hiyo.

Lipsi zao zilikuwa na moto, mbawa zao zilikuwa na mchanganyiko wa rangi mbili, zambarau na dhahabu inayong’aa kupita kawaida, mikono yao ilikuwa ni meupe kama theluji.

Hebu fikiria unakutana na kiumbe kama hicho, hutoogopa? Ndiyo maana walimwambia kwanza, usiogope.

Anasema malaika hao walisimama pembeni ya kitanda chake na kumuita kwa jina lake, Enoko akainuka na kuwaangalia.

Enoko aliogopa, anasema uso wake ulitetemeka mno lakini malaika mmoja akamwambia: “Usiogope”.
Walimwambia walitumwa na Mungu kumchukua na kumpeleka mbinguni, kwa yote ambayo angekutana nayo huko basi angewaambia watoto wake, wajukuu na vizazi vyote mbeleni.

Anasema hakutaka kuwapinga, akatoka na kwenda kuonana na watoto wake, Mathusal, Regim na Gaidad, akawaambia kuhusu malaika hao na kile walichomwambia, baada ya hapo, wakamchukua na kuanza kupaa naye kwa kumbeba kwenye mbawa zao.
View attachment 3134566
Unafanya kazi nzuri Mtumishi..

Naomba sana Ndugu zangu wanaobeza Maandiko ya Manabii wengine kuita ni story za kufikirika na wengine kusema ni za mashetani wajitathimini sana..

SIRI AMBAYO WENGI HAWAJAWAHI KUIFAHAMU NI KUHUSU UNABII, MAANDIKO MATAKATIFU NA WAPI YAMEANZIA (ORIGIN)

Wengi wanaamini Biblia ya kwanza ni Hebrew Bible ila sio kweli, na hizi Bible za King James na Nyingine nazo sio za kwanza.. BIBLIA YA ETHIOPIA ndo BIBLIA KONGWE na imeandikwa kwa Lugha yao GE'EZ ina vitabu 81-88 na kitabu cha Nabii Enock kipo hakikutolewa..

SIRI AMBAYO WENGI WAMEFUNGWA HASA UFAHAMU ni kushindwa kukaa kutafakari hata kwa kupitia yaliyojili kwa Wana wa ISRAEL pale MISRI, WANA WA ISRAEL HAWAKUWA HAWA MNAOWATAJA (WAZUNGU)..

Kuna siri kubwa iliyofichwa ambayo inagusa KANISA LA ORTHODOX ambalo ni kongwe kabla ya Makanisa ya Roman Catholics, Lutheran na mengine yaliyoanzishwa na Falme zenye Nguvu na Wanaharakati wa kale kama Martin Luther nk.. Kanisa ya Orthodox pale Ethiopia bado linafundisha kwa Injili kwa kufuata miongozo na tamaduni za kale.

Kufanya story iwe fupi ni hivi.. Hao WAZUNGU (Waisrael wa sasa) HAWAJAWAHI KUWA WATUMWA CHINI YA PHARAO PALE MISRI.. Hata wakati Musa akionesha Ukuu wa Mungu mbele ya Pharao hadi anaweka mkono wake kwapani unatoka mkono ukiwa na weupe halafu anarudi hali ya kawaida hiyo isingotokea kwa Musa mzungu kama wa kwenye FILAMU zilizotengenezwa na Wazungu hadi za Nuhu, Yesu nk.. Haya yote yamefanikiwa baada ya Uvamizi wa Julius Ceaser hapa ndo walijua namna ya kuanzisha propaganda wakafanikiwa kututawala kupitia Explorer, Missionaries na MIFUMO waliyoiweka ambayo wamekuja kwa njia nyingine ya kisasa zaidi kututawala bila nguvu bali kwa akili kwa kuamini MAIGIZO YAO. ACHENI KUAMINISHWA KILA JAMBO!

KUMTAWALA MWAFRIKA IMETUMIKA AKILI KUBWA SANA HASA KUTUGOMBANISHA KWENYE DINI na lugha ndo imetumika kuleta tafsiri tofauti ili kutugawa na kuacha kufuata MUNGU WA KWELI WA MABABU ZETU tukaishia kufuata MIFUMO ya wanaotaka kututawala kupitia UDINI..

SIKU WAAFRIKA MKIACHA UDINI na KUFUATA IMANI kwa kumwamini MWENYEZI MUNGU PEKEE badala ya hizi vuta nikuvute za kutafuta Utajiri na Miujiza na kuamini Mataifa fulani ndo yamebarikiwa zaidi yako, ndo tutatoka kwenye kifungo au utumwa wa kifikra.. Fatilieni sana story ya Musa aliwapigania ndugu zake waliokuwa wanafanana nae na hata kwenye Pyramids zimechorwa picha watumwa walikuwa Waafrika pale misri ndo maana hata baada ya kuondoka pale Misri walienda umbali mrefu sana miaka 40 hawakuwa wamefika (inafikirisha sana).. Sasa Israel ya sasa kabla ya 1948 kupitishwa na Wamarekani na Waingereza tayari kulikuwa na nchi kama 7 kuchagua wapi waishi hata maeneo ya East Afrika yalikuwa kwenye list, Argentina pia ila Wazungu wakaona ili kutawala siasa za Middle East bora waingie eneo ambalo Wafilisti walivamia zamani wapewe hifadhi baadae wamewageuka Wafilisti wanasema ni eneo lao wakati wote wale eneo sio lao bali la Waafrika ambao walipewa na Mungu (fatilieni sitaki kuwaingiza kwenye siasa ila nawaonesha historia namna imepikwapikwa).

Kuonekana Primitive leo ni suala la mifumo iliyowekwa kwa WAAFRIKA MUISHIE KUUANA kwasababu ya UDINI, UBINAFSI na ELIMU YA KUKARIRISHANA wao wanazidi kutengeneza vizazi vyenye IQ kubwa.. Kuna watu wanaamini kuna Mwanadamu kapendelewa zaidi kapewa IQ zaidi ya wengine kama Mbarikiwa.. Hii toka napata kuelewa mifumo ya kidunia.. IQ inajengwa na mazingira na mambo unayofuata, ukifuata story za mafundisho ya kupandikizana chuki kamwe huwezi wafikia wazungu wala wachina.. Acheni kuwalisha sumu watoto wenu na vizazi vingine ndo mtaona BARAKA MMEPEWA NA MUNGU..

Story imeanzia kwenye Kitabu cha Enock, ninaamini Manabii walikuwa Waafrika na nitaendelea kuamini mwanadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu alikuwa Mwafrika ndo maana wale waliokwisha vuliwa hili Taji wanabaki kuwabagua Waafrika ngozi yao ili sasa wajisikie vibaya waende kutumia CHEMICAL ZAO wapate Kansa kama wao.. Mwafrika ameumbwa kwa udongo akapewa ngozi yenye kuhimili hali yoyote ila kufuata Tamaduni za nje ndo imepelekea WAAFRIKA HAWANA LENGO MOJA WALA SIO WAMOJA TENA BALI WANAWAZA KUDHURUMIANA na KUUANA.. ACHENI MAFUNDISHO YA CHUKI. FUATA IMANI YA KWELI INAYOANZA NA WEWE, SHIRIKI NA KILA MMOJA KATIKA KUSAIDIANA NA KULETA MAENDELEO KWENYE JAMII ZETU.

ROHO ZA KIBINAFSI NDO UBEPARI WENYEWE UMEWAFANYA WATU KUWA NA ROHO MBAYA.. NITAFUATA UJAMAA SIKU ZOTE MAANA HUKO NDO KUNA UPENDO WA KWELI, SIO HII CAPITALISM KWA KIVULI CHA ELIMU NA UDINI. HATUTAFIKA POPOTE!
 
Sehemu ya tatu

Hao malaika hawakuwa kama hawa tunaowasoma sehemu mbalimbali, hawa ni malaika ambao kwa kuwaangalia walionekana kuchoka sana, weusi, na muda wote walikuwa wakilia machozi meusi tii, na wanalia kila dakika.
Weusi, meusi tii......!

Hivi weusi ni ubaya? Nimefikiria tu na kujiuliza kwa nini hao ambao waliasi wakawa weusi ? Hata machozi yao ni meusi. Weusi huashiria nini ndugu wataalamu?
 
Aliwaona malaika wamening'inizwa kama wananyongwa lakini hawafi, wanapitia mateso makali wanalia kila dakika. Alivyouliza akajibiwa kwamba hawa ni wale wanaompinga Mungu!
Dah kumbe mambo ya utekaji yalianzia huko, kweli hakuna jipya duniani na pengine wana hoja za msingi tu maana hao ndo hukaa meza moja na sir God kwa hiyo lazima wanajua siri nyingi lakini ndo hivyo wakihoji wanatekwa
 
Sehemu ya tanoView attachment 3134570
Enoko anasema alipopelekwa huko, aliogopa kwa kuwa ilionekana kuwa sehemu iliyojaa mateso makubwa ambayo hakuwahi kuyaona. Mwanga pekee uliokuwa ukipatikana ni wa moto ambao ulikuwa unaunguza kila kilicho humo.

Pia kulikuwa na mto, huu haukuwa wa maji bali mto wa moto. Kulikuwa na moto kila kona. Ila mbali na moto huo, pia kulikuwa na barafu kila sehemu. Yaani kulikuwa na mateso ya aina mbili ambayo watu walikuwa wakiyapata. Ya kuunguzwa sana na moto lakini pia ya kupigwa na baridi kali kiasi cha kuganda kabisa.

Moto haukuwa ukiyeyusha barafu zile, watu walipigwa na vitu vyote hivyo viwili kwa wakati mmoja. Watu walikuwa wakilia kwa majuto lakini pia walilia kwa sababu ya kiu kali waliyokuwanayo.

Pia kulikuwa na malaika asiyekuwa na huruma hata kidogo, aliyeogopwa, mwenye hasira na alishika silaha kubwa kwa ajili ya kuwatesea watu.

Enoko akasema: “Hii sehemu imejaa mateso makubwa mno” na malaika akamwambia: “Hii ni sehemu ya watu waliotenda maovu duniani, watu ambao hawakumuheshimu Mungu sehemu ya wachawi, waovu, wabakaji, wala rushwa, matapeli na wengineo.”

Baada ya kuyaona hayo yote, malaika wale wakanichukua na kunipeleka mbingu ya nne.
Mwisho.
Credit: Paul Bonaventura Twitter X
Ngoja aone KILANGA !
 
Sehemu ya tanoView attachment 3134570
Enoko anasema alipopelekwa huko, aliogopa kwa kuwa ilionekana kuwa sehemu iliyojaa mateso makubwa ambayo hakuwahi kuyaona. Mwanga pekee uliokuwa ukipatikana ni wa moto ambao ulikuwa unaunguza kila kilicho humo.

Pia kulikuwa na mto, huu haukuwa wa maji bali mto wa moto. Kulikuwa na moto kila kona. Ila mbali na moto huo, pia kulikuwa na barafu kila sehemu. Yaani kulikuwa na mateso ya aina mbili ambayo watu walikuwa wakiyapata. Ya kuunguzwa sana na moto lakini pia ya kupigwa na baridi kali kiasi cha kuganda kabisa.

Moto haukuwa ukiyeyusha barafu zile, watu walipigwa na vitu vyote hivyo viwili kwa wakati mmoja. Watu walikuwa wakilia kwa majuto lakini pia walilia kwa sababu ya kiu kali waliyokuwanayo.

Pia kulikuwa na malaika asiyekuwa na huruma hata kidogo, aliyeogopwa, mwenye hasira na alishika silaha kubwa kwa ajili ya kuwatesea watu.

Enoko akasema: “Hii sehemu imejaa mateso makubwa mno” na malaika akamwambia: “Hii ni sehemu ya watu waliotenda maovu duniani, watu ambao hawakumuheshimu Mungu sehemu ya wachawi, waovu, wabakaji, wala rushwa, matapeli na wengineo.”

Baada ya kuyaona hayo yote, malaika wale wakanichukua na kunipeleka mbingu ya nne.
Mwisho.
Credit: Paul Bonaventura Twitter X
mhh!
hii sehemu ya tano ina mahusiano yoyote na hiyo picha?
 
Swali kwanini mungu awatese watu wake kiasi hicho..je mungu ananufaika nini na mateso yao ya milele?
logic and reasoning.
 
To me an angel is just a philosopher, who cant reveal his identity.

Tuelewe kwanza maana ya mungu kama neno, halafu pia tuondoe ile taswira ya otherworld, I mean mungu wa mbinguni,

Hawa malaika walikuwa na uwezo wa roho mtakatifu kama wanavyopenda kujinadi, usiku mwema
Nimerudia kusoma comment Yako mara 2 na Bado sijaelewa, ntarudi Tena kuisoma labda ntailewa baadaye.
 
Nakubaliana na Wewe Kabisa Huko ndiko Uongo ulikozaliwa!

Kwa kuficha Maovu na Kuweka watu kwenye Giza Na kuficha Au kuondoa Baadhi ha vitabu mabaraza mbalimbali yalianzishwa na yakapewa Jukumu hilo leo hii watu wengi wanakosa maarifa watu wengi wanadanganyika kuhusu maandiko na Tafsiri yake..

MAbaraza haya ya Kimaamuzi ya Kidini (Ecumenical Councils) pia Senhedrin (Kiyahudi) ndo yametufikisha Hapa Katika stages ya Madhehebu na Dini Kuwa Tofauti..

Kama Umesoma Churches History utakubaliana na Mimi kwamba Popte ambapo mabaraza yalipoanzishwa kulikuwa na Mgawanyiko au Mgongano wa Kimaandiko ama Wa Kifacts kuhusu Maandiko..

Na mabaraza hujigeuza Mungu Kuamua Kuhusu Hilo..

Tukianza Council of Jerusalem Balaza ambalo liliamua Ugomvi juu ya Petro na Paulo kwa Kuruhusu Mila ya Abrahamu kupuuzwa na Kruhusiwa Watu kubatizwa bila ya kutahiriwa na mila zingine zilizokuwa za Kiyahudu..

Sitaki kuingia sana huko ila Mabaraza ndiyo yametufikisha hapa Kuamini kwamba Kuna Nafsi moja Mbovu mbaya Inaitwa Lucifer au kuna mtu mmoja anaitwa Lucifer wakati huo Hakuna Jina kama hilo maana Lugha ya Kilatini Si lugha ya zamani kufikia Kuitwa Jina la malaika mwenye umri mkubwa kuliko Lugha hiyo..

I rest my Case
Kwahiyo jomba shetani hayupo ni nadharia tulizojiwekea sisi tu??
 
Ni kweli. Lakini Enok aliandikaje kitabu cha habari za mbingu wakati alipotwaliwa hakurudi duniani? Halafu wengi wanasema Enok alitwaliwa kwenda mbinguni. Yesu anasema Hakuna (binadamu) aliyepaa kwenda mbunguni ispokuwa yeye aliyeshuka ambaye ni mwana wa Adamu.
Wakati Enoch anaona aliyoyaona, hakua katika Mwili wa Kawaida, mambo mengi ya Mbinguni huwezi kuyaona ukiwa na Mwili huu wa Nyama...!

So ilibidi awe out of the body achukuliwe na kwenda huko Mbinguni...!

So baada ya Enoch kwenda Mbinguni alirudi kwenye Mwili wake na Maisha mengine yakendelea, angeweza kuchukuliwa wakati mwingine Tena na angerudi Tena Duniani...!

Ila Mungu alipomnyakua kwenda Mbinguni the last time, haikua kumuonyesha maono yoyote, ilikua kumbeba Mazima.
 
Uwezo wa Kiroho aliokuwa nao Enoch, Imani yake Kwa Mungu, na ile kutambua kwake chochote anaweza kufanya Duniani, Yani anaweza kusimamisha Jua akiamua, anaweza kusimamisha Mvua akitaka, na mambo mengine mengi...!

Na kumbuka kipindi hiko Nguvu ya jina la Yesu lilikua halijaanza kutumika, Damu ya Yesu haijaanza kutumika, lakini alikua na Imani na Mungu kiasi Cha kufanya Mambo ya Ajabu.

Kwa ule uwezo aliokuwa nao na vile aliamua kutembea na Mungu Kwa uaminifu...!


Mungu akaona Enoch anapoelekea Kuna siku anaweza kuamua tu Dunia iishe twende Mbinguni....!
Kwa namna alivyoishi Kwa Utakatifu, akaona amchukue tu asisababishe Majanga Duniani, ni kama Binadamu aliyekuja Siri nyingi za Mungu Kwa namna alivyomfanya kuwa rafiki.
Nimesikitika sana hivi huwa inawezekanaje mtu kuzungumza utumbo wa hivi halafu hadharani kabisa..... Walokole mna nn nyie, mbona Kila siku kuzidi kuithibitishia Dunia kuwa mmejaza ujinga kichwani
 
Kwahiyo jomba shetani hayupo ni nadharia tulizojiwekea sisi tu??
Ukienda Katika Uislamu Shetani wako pande Mbili Kuna Shetani wa Kijini Na shetani wa Kininadamu..

Tuje katika Asili yenyewe Neno Shetani limetokana na Neno la Kihebrania neno shetani (שָּׂטָן)..
Linamaanisha Adui (Adversary) au Mshitaki (accuser)..

Ntakupa Mafungu kadhaa Ambayo Neno shetani Limetajwa ila halikumaanisha Shetani kama Mtu/Jini au Malaika aliyeasi..

Hesabu 22:22

In Hebrew

וַיַּכְעַס אֱלֹהִים כִּי הוֹלֵךְ וַיַּעֲמֹד מַלְאַךְ יְהוָה בַּדֶּרֶךְ לְשָׂטָן וְהוּא רֹכֵב עַל-אֲתוֹנוֹ וְשְׁנֵי נְעָרָיו עִמָּדוֹ

inatamkwa..

Va'yik'chas Elohim ki holech, va'ya'amad malach Yahwe baderech le'shetan; ve'hu rochev al-atonoh, ve'shnei ne'arav immo."

Kwa Kiswahili

"Hasira ya Mungu ikawaka kwa sababu alikwenda; malaika wa Bwana akajiweka njiani, ili kumpinga. Basi alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye."
Twende Kitabu kingine

1 Samuel 29:4:
וַיִּקְרוּ אֱלֹהִים אֶל-עַבְדֵי אֲכִישׁ לֵאמֹר: שָׁבוּ אִישׁ אֶל-מְקֹמוֹ אֲשֶׁר-נָתַתָּ לוֹ וְאַל-יֵרֵד אִתָּנוּ לַמִּלְחָמָה, פֶּן-יִהְיֶה לָּנוּ לְשָׂטָן בַּמִּלְחָמָה; וּמַה-יָּבִיא אֶת-לֵב אֲכִישׁ אֲחִישׁ הַיָּדָוְ

Inatamkwa

"Va'yik'ru Elohim el-avadey Achish le'mor: Shavu ish el-mekomo asher-natata lo ve'al-ye'red itanu la'milchamah, pen-yih'yeh lanu
le'shetan ba'milchamah; u'mah-yavi lev Achish achish hayad."
kiswahili fungu Hilo..


"Lakini wakuu wa Wafilisti wakamkasirikia; nao wakuu wa Wafilisti wakamwambia, Mrudishe huyu, apate kurejea mahali pake ulipomwagiza, wala asiende pamoja nasi vitani, asije akawa adui wetu vitani; kwani mtu huyu angejipatanisha na bwana wake kwa njia gani? Je! Si kwa vichwa vya watu hawa?"

SO kama Ulivyouliza nitajibu Kuwa Shetani Haikuwahi kumaanisha Status ya Mtu mmoja au utambulisho wa Mtu fulani Hapo zaman..

Mpaka Kwenye Medieval Period au Tunaita Medidval thought of satan kuanzia Karne ya 4 C.E ambayo iliamza Kumsingularised Shetani kuwa ni mtu mmoja wakati haikuwa Mtu bali ilikuwa Ni sifa ..
Nadhani nimejibu swali lako labda kama una swali la nyongeza
 
Unafanya kazi nzuri Mtumishi..

Naomba sana Ndugu zangu wanaobeza Maandiko ya Manabii wengine kuita ni story za kufikirika na wengine kusema ni za mashetani wajitathimini sana..

SIRI AMBAYO WENGI HAWAJAWAHI KUIFAHAMU NI KUHUSU UNABII, MAANDIKO MATAKATIFU NA WAPI YAMEANZIA (ORIGIN)

Wengi wanaamini Biblia ya kwanza ni Hebrew Bible ila sio kweli, na hizi Bible za King James na Nyingine nazo sio za kwanza.. BIBLIA YA ETHIOPIA ndo BIBLIA KONGWE na imeandikwa kwa Lugha yao GE'EZ ina vitabu 81-88 na kitabu cha Nabii Enock kipo hakikutolewa..

SIRI AMBAYO WENGI WAMEFUNGWA HASA UFAHAMU ni kushindwa kukaa kutafakari hata kwa kupitia yaliyojili kwa Wana wa ISRAEL pale MISRI, WANA WA ISRAEL HAWAKUWA HAWA MNAOWATAJA (WAZUNGU)..

Kuna siri kubwa iliyofichwa ambayo inagusa KANISA LA ORTHODOX ambalo ni kongwe kabla ya Makanisa ya Roman Catholics, Lutheran na mengine yaliyoanzishwa na Falme zenye Nguvu na Wanaharakati wa kale kama Martin Luther nk.. Kanisa ya Orthodox pale Ethiopia bado linafundisha kwa Injili kwa kufuata miongozo na tamaduni za kale.

Kufanya story iwe fupi ni hivi.. Hao WAZUNGU (Waisrael wa sasa) HAWAJAWAHI KUWA WATUMWA CHINI YA PHARAO PALE MISRI.. Hata wakati Musa akionesha Ukuu wa Mungu mbele ya Pharao hadi anaweka mkono wake kwapani unatoka mkono ukiwa na weupe halafu anarudi hali ya kawaida hiyo isingotokea kwa Musa mzungu kama wa kwenye FILAMU zilizotengenezwa na Wazungu hadi za Nuhu, Yesu nk.. Haya yote yamefanikiwa baada ya Uvamizi wa Julius Ceaser hapa ndo walijua namna ya kuanzisha propaganda wakafanikiwa kututawala kupitia Explorer, Missionaries na MIFUMO waliyoiweka ambayo wamekuja kwa njia nyingine ya kisasa zaidi kututawala bila nguvu bali kwa akili kwa kuamini MAIGIZO YAO. ACHENI KUAMINISHWA KILA JAMBO!

KUMTAWALA MWAFRIKA IMETUMIKA AKILI KUBWA SANA HASA KUTUGOMBANISHA KWENYE DINI na lugha ndo imetumika kuleta tafsiri tofauti ili kutugawa na kuacha kufuata MUNGU WA KWELI WA MABABU ZETU tukaishia kufuata MIFUMO ya wanaotaka kututawala kupitia UDINI..

SIKU WAAFRIKA MKIACHA UDINI na KUFUATA IMANI kwa kumwamini MWENYEZI MUNGU PEKEE badala ya hizi vuta nikuvute za kutafuta Utajiri na Miujiza na kuamini Mataifa fulani ndo yamebarikiwa zaidi yako, ndo tutatoka kwenye kifungo au utumwa wa kifikra.. Fatilieni sana story ya Musa aliwapigania ndugu zake waliokuwa wanafanana nae na hata kwenye Pyramids zimechorwa picha watumwa walikuwa Waafrika pale misri ndo maana hata baada ya kuondoka pale Misri walienda umbali mrefu sana miaka 40 hawakuwa wamefika (inafikirisha sana).. Sasa Israel ya sasa kabla ya 1948 kupitishwa na Wamarekani na Waingereza tayari kulikuwa na nchi kama 7 kuchagua wapi waishi hata maeneo ya East Afrika yalikuwa kwenye list, Argentina pia ila Wazungu wakaona ili kutawala siasa za Middle East bora waingie eneo ambalo Wafilisti walivamia zamani wapewe hifadhi baadae wamewageuka Wafilisti wanasema ni eneo lao wakati wote wale eneo sio lao bali la Waafrika ambao walipewa na Mungu (fatilieni sitaki kuwaingiza kwenye siasa ila nawaonesha historia namna imepikwapikwa).

Kuonekana Primitive leo ni suala la mifumo iliyowekwa kwa WAAFRIKA MUISHIE KUUANA kwasababu ya UDINI, UBINAFSI na ELIMU YA KUKARIRISHANA wao wanazidi kutengeneza vizazi vyenye IQ kubwa.. Kuna watu wanaamini kuna Mwanadamu kapendelewa zaidi kapewa IQ zaidi ya wengine kama Mbarikiwa.. Hii toka napata kuelewa mifumo ya kidunia.. IQ inajengwa na mazingira na mambo unayofuata, ukifuata story za mafundisho ya kupandikizana chuki kamwe huwezi wafikia wazungu wala wachina.. Acheni kuwalisha sumu watoto wenu na vizazi vingine ndo mtaona BARAKA MMEPEWA NA MUNGU..

Story imeanzia kwenye Kitabu cha Enock, ninaamini Manabii walikuwa Waafrika na nitaendelea kuamini mwanadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu alikuwa Mwafrika ndo maana wale waliokwisha vuliwa hili Taji wanabaki kuwabagua Waafrika ngozi yao ili sasa wajisikie vibaya waende kutumia CHEMICAL ZAO wapate Kansa kama wao.. Mwafrika ameumbwa kwa udongo akapewa ngozi yenye kuhimili hali yoyote ila kufuata Tamaduni za nje ndo imepelekea WAAFRIKA HAWANA LENGO MOJA WALA SIO WAMOJA TENA BALI WANAWAZA KUDHURUMIANA na KUUANA.. ACHENI MAFUNDISHO YA CHUKI. FUATA IMANI YA KWELI INAYOANZA NA WEWE, SHIRIKI NA KILA MMOJA KATIKA KUSAIDIANA NA KULETA MAENDELEO KWENYE JAMII ZETU.

ROHO ZA KIBINAFSI NDO UBEPARI WENYEWE UMEWAFANYA WATU KUWA NA ROHO MBAYA.. NITAFUATA UJAMAA SIKU ZOTE MAANA HUKO NDO KUNA UPENDO WA KWELI, SIO HII CAPITALISM KWA KIVULI CHA ELIMU NA UDINI. HATUTAFIKA POPOTE!
KUMTAWALA MWAFRIKA IMETUMIKA AKILI KUBWA SANA HASA KUTUGOMBANISHA KWENYE DINI na lugha ndo imetumika kuleta tafsiri tofauti ili kutugawa na kuacha kufuata MUNGU WA KWELI WA MABABU ZETU tukaishia kufuata MIFUMO ya wanaotaka kututawala kupitia UDINI..
 
Hiyo picha ya raisi na watu wengine inahusikaje na maandiko ya biblia!
Nahusika na maandiko yangu sihusiki na tafsiri zako.. Kwani hiyo picha yuko pekeyake? Yakhe vp Maalim mbona kama ....
 
Swali kwanini mungu awatese watu wake kiasi hicho..je mungu ananufaika nini na mateso yao ya milele?
logic and reasoning.
Hili linahitaji mada kamili inayojitegemea.. Na kwa kuandaa ithibati za kutosha
 
Ukienda Katika Uislamu Shetani wako pande Mbili Kuna Shetani wa Kijini Na shetani wa Kininadamu..

Tuje katika Asili yenyewe Neno Shetani limetokana na Neno la Kihebrania neno shetani (שָּׂטָן)..
Linamaanisha Adui (Adversary) au Mshitaki (accuser)..

Ntakupa Mafungu kadhaa Ambayo Neno shetani Limetajwa ila halikumaanisha Shetani kama Mtu/Jini au Malaika aliyeasi..

Hesabu 22:22

In Hebrew

וַיַּכְעַס אֱלֹהִים כִּי הוֹלֵךְ וַיַּעֲמֹד מַלְאַךְ יְהוָה בַּדֶּרֶךְ לְשָׂטָן וְהוּא רֹכֵב עַל-אֲתוֹנוֹ וְשְׁנֵי נְעָרָיו עִמָּדוֹ

inatamkwa..

Va'yik'chas Elohim ki holech, va'ya'amad malach Yahwe baderech le'shetan; ve'hu rochev al-atonoh, ve'shnei ne'arav immo."

Kwa Kiswahili

"Hasira ya Mungu ikawaka kwa sababu alikwenda; malaika wa Bwana akajiweka njiani, ili kumpinga. Basi alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye."
Twende Kitabu kingine

1 Samuel 29:4:
וַיִּקְרוּ אֱלֹהִים אֶל-עַבְדֵי אֲכִישׁ לֵאמֹר: שָׁבוּ אִישׁ אֶל-מְקֹמוֹ אֲשֶׁר-נָתַתָּ לוֹ וְאַל-יֵרֵד אִתָּנוּ לַמִּלְחָמָה, פֶּן-יִהְיֶה לָּנוּ לְשָׂטָן בַּמִּלְחָמָה; וּמַה-יָּבִיא אֶת-לֵב אֲכִישׁ אֲחִישׁ הַיָּדָוְ

Inatamkwa

"Va'yik'ru Elohim el-avadey Achish le'mor: Shavu ish el-mekomo asher-natata lo ve'al-ye'red itanu la'milchamah, pen-yih'yeh lanu
le'shetan ba'milchamah; u'mah-yavi lev Achish achish hayad."
kiswahili fungu Hilo..


"Lakini wakuu wa Wafilisti wakamkasirikia; nao wakuu wa Wafilisti wakamwambia, Mrudishe huyu, apate kurejea mahali pake ulipomwagiza, wala asiende pamoja nasi vitani, asije akawa adui wetu vitani; kwani mtu huyu angejipatanisha na bwana wake kwa njia gani? Je! Si kwa vichwa vya watu hawa?"

SO kama Ulivyouliza nitajibu Kuwa Shetani Haikuwahi kumaanisha Status ya Mtu mmoja au utambulisho wa Mtu fulani Hapo zaman..

Mpaka Kwenye Medieval Period au Tunaita Medidval thought of satan kuanzia Karne ya 4 C.E ambayo iliamza Kumsingularised Shetani kuwa ni mtu mmoja wakati haikuwa Mtu bali ilikuwa Ni sifa ..
Nadhani nimejibu swali lako labda kama una swali la nyongeza
DR Mambo Jambo asante sana kwa ufafanuzi uliojaa weledi na Maarifa mengi 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 kuna vitu vipya nimejifunza hapa.. Barikiwa...!!!
 
Back
Top Bottom