Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea wewe sheikh hata ukikaribia kufa utakacho kua unamsisitizia Mungu ahakikishe unapokelewa na hao mabikira, na sio kutubu, ili upokelewe peponi... 😌😌Kwa story za henoko naamini kabisa wale mabikira 72 lazima watakuwepo wala siyo uwongo
Nilikuwa bado natamani kumsoma Henock zaidi kuna kitu nimejifunza, ubarikiwe sana huwa napenda kufuatilia nyuzi zako make huwa nahisi kutoka hatua kwenda nyingine. Barikiwa sana.Dah.. Hiki cheo ni kikubwa sana kwangu mkuu 😀🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kwa Hiyo kila mtu anayechangia hapa ni Mlokole...!?Nimesikitika sana hivi huwa inawezekanaje mtu kuzungumza utumbo wa hivi halafu hadharani kabisa..... Walokole mna nn nyie, mbona Kila siku kuzidi kuithibitishia Dunia kuwa mmejaza ujinga kichwani
Ni miaka ya kiduniani, hii ya siku 365 mwaka mmoja.Hapo ndo inakuja ile theoelojia siku moja sawa na miaka elfu, na miaka elfu sawa na siku moja....
Sasa kuwa consistent kwa miaka mia tatu sio kipolepole....🤩.
Yeah, ndio kilichoandikwa kwenye Bibilia.Mwanzo 5:24
[24]Henoko akaenda pamoja na Mungu, naye akatoweka, maana Mungu alimtwaa.
And Enoch walked with God: and he was not; for God took him.
Mkuu hapa tunachanganyana watu wanaenda Sayari ya Mars na Mwezini hivi vyote viko mbali na uso wa dunia inamaana hapa jamaa wanapitaje kwenye hii firmament na hapo umesema wanasayansi hawajawahi kuivunjaNiliwaambia hii dunia imezungukwa na kioo kikubwa sana kinachoitwa firmament ambapo juu yake kuna maji mengi. Ukisoma kitabu cha Mwanzo, kinasema kipindi cha Nuhu milango ya mbinguni ikafunguliwa na maji kujaa duniani.
Na pale Yesu alipomwambia PetroUkienda Katika Uislamu Shetani wako pande Mbili Kuna Shetani wa Kijini Na shetani wa Kininadamu..
Tuje katika Asili yenyewe Neno Shetani limetokana na Neno la Kihebrania neno shetani (שָּׂטָן)..
Linamaanisha Adui (Adversary) au Mshitaki (accuser)..
Ntakupa Mafungu kadhaa Ambayo Neno shetani Limetajwa ila halikumaanisha Shetani kama Mtu/Jini au Malaika aliyeasi..
Hesabu 22:22
In Hebrew
וַיַּכְעַס אֱלֹהִים כִּי הוֹלֵךְ וַיַּעֲמֹד מַלְאַךְ יְהוָה בַּדֶּרֶךְ לְשָׂטָן וְהוּא רֹכֵב עַל-אֲתוֹנוֹ וְשְׁנֵי נְעָרָיו עִמָּדוֹ
inatamkwa..
Va'yik'chas Elohim ki holech, va'ya'amad malach Yahwe baderech le'shetan; ve'hu rochev al-atonoh, ve'shnei ne'arav immo."
Kwa Kiswahili
"Hasira ya Mungu ikawaka kwa sababu alikwenda; malaika wa Bwana akajiweka njiani, ili kumpinga. Basi alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye."
Twende Kitabu kingine
1 Samuel 29:4:
וַיִּקְרוּ אֱלֹהִים אֶל-עַבְדֵי אֲכִישׁ לֵאמֹר: שָׁבוּ אִישׁ אֶל-מְקֹמוֹ אֲשֶׁר-נָתַתָּ לוֹ וְאַל-יֵרֵד אִתָּנוּ לַמִּלְחָמָה, פֶּן-יִהְיֶה לָּנוּ לְשָׂטָן בַּמִּלְחָמָה; וּמַה-יָּבִיא אֶת-לֵב אֲכִישׁ אֲחִישׁ הַיָּדָוְ
Inatamkwa
"Va'yik'ru Elohim el-avadey Achish le'mor: Shavu ish el-mekomo asher-natata lo ve'al-ye'red itanu la'milchamah, pen-yih'yeh lanu le'shetan ba'milchamah; u'mah-yavi lev Achish achish hayad."
kiswahili fungu Hilo..
"Lakini wakuu wa Wafilisti wakamkasirikia; nao wakuu wa Wafilisti wakamwambia, Mrudishe huyu, apate kurejea mahali pake ulipomwagiza, wala asiende pamoja nasi vitani, asije akawa adui wetu vitani; kwani mtu huyu angejipatanisha na bwana wake kwa njia gani? Je! Si kwa vichwa vya watu hawa?"
SO kama Ulivyouliza nitajibu Kuwa Shetani Haikuwahi kumaanisha Status ya Mtu mmoja au utambulisho wa Mtu fulani Hapo zaman..
Mpaka Kwenye Medieval Period au Tunaita Medidval thought of satan kuanzia Karne ya 4 C.E ambayo iliamza Kumsingularised Shetani kuwa ni mtu mmoja wakati haikuwa Mtu bali ilikuwa Ni sifa ..
Nadhani nimejibu swali lako labda kama una swali la nyongeza
JIbu ni Lile lile Mkuu..( Japo Jibu litakuwa Refu ila ningependa Usome Nimejibu With Mindset ya Dini Kabisa)Na pale Yesu alipomwambia Petro
Lakini Yesu akageuka, akamwambia Math 16:23 Petro, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Mawazo yako si ya kimungu ila ni ya kibinadamu!”
Alimaanisha nini hasa?
Kwa mujibu wa tafiti zako kuna kiumbe au viumbe ambao ni adui wa binadamu kiroho??
Kwa Kuwa tumehamia Kiroho jibu ni kweli kabisa kuna Viumbe Vingi sana Ambavyo ni Adui (Satan) wa Binadamu kiroho Viumbe hivyo vinaweza kuwa Ni Visivyoonekana Na Vinavyoonekana..Kwa mujibu wa tafiti zako kuna kiumbe au viumbe ambao ni adui wa binadamu kiroho??
Hakuna Mtu aliyewahi Kwenda Sayari ya Mars Mkuu..Mkuu hapa tunachanganyana watu wanaenda Sayari ya Mars na Mwezini hivi vyote viko mbali na uso wa dunia inamaana hapa jamaa wanapitaje kwenye hii firmament na hapo umesema wanasayansi hawajawahi kuivunja
Duh🥺🤔🙇🏿♂Hakuna Mtu aliyewahi Kwenda Sayari ya Mars Mkuu..
Kama unaye Unaweza Kuprove hilo kwenye Jukwaa hapa na Ninakuahidi Kama Utaprove kuna Mtu kafika sayari ya Mars..
Basi Naweka Ahadi kwa Moderator Kuwa Nitakupa Kiasi cha Tsh 2Milion huku nikifuatiwa na Adhabu ya Kufungiwa kwa Miezi Zaidi ya 12
Unavyojibu maswali ndio unazalisha maswali zaidi..Kwa Kuwa tumehamia Kiroho jibu ni kweli kabisa kuna Viumbe Vingi sana Ambavyo ni Adui (Satan) wa Binadamu kiroho Viumbe hivyo vinaweza kuwa Ni Visivyoonekana Na Vinavyoonekana..
Vinavyoliwa na Visivyoliwa..
Kuna Viumbe au Vyakula Pia Usisahau tunavyokula Vinaweza kusababisha Vikwazo vyetu kiroho..
Natamani Kuingia Deep sana nikueleweshe ila Naogopa Kwenda Deep Sana Nitakuchanganya Sana..Unavyojibu maswali ndio unazalisha maswali zaidi..
Vyakula/viumbe gani ukila vina madhara kiroho?