Kitabu cha Enock (Henoko)

Kitabu cha Enock (Henoko)

Uadui wetu na viumbe hivyo unasababishwa na nini?
Uadui Huo unasababishwa na kuambiwa kwamba Viumbe hao ni wabaya kwako na hakuna Kingine..
kwahyo Kwakuwa wao wanajua Binadamu anawachukia Ukibahatika Ukakutana nao na Ukagundua wako maeneo yale bhasi na wao wanakudhuru..

Ila wao hawana uadui na wewe Jiulize wanakuona mara ngapi na Wakati wewe Huwaoni? Kama wangeluwa wana uadui na wewe basi wangeshakudhuru hata kabla ya wewe Kuwaona...

Kwa mfano unajua Kuwa Majini na Mapepo (Kwa mujibu wa Wakristo) walikuwa malaika?
Kwa mujibu wa Dini zingine ni viumbe vyenye nguvu sana..

unajua Majini na Mapepo wanakasi sana na wanaweza kwenda Hapa na Sayari zingine kwa Kufumba na Kufumbua (Kwa mujibu wa Vitabu vya Dini).. sasa kama wangekuwa na uadui na Bindamu waneshindwa Nini kuwatekeza binadamu??
Tuna silaha ya kupambana navyo?
Silaha kubwa Ni kulinda Energy yako Binadamu mwenye High vibration na Nishati kubwa sana anaweza kuogopwa na Viumbe Vingine..

japo sasa Kuwa na Nishati kubwa sana Kunaweza kutengeneza Pia Vita kubwa Na viumbe Viovu kwa sababu kwao ni kama Tishio..

Vipi nikiungana navyo? Kuna madhara gani?
Unaweza kuungana nao Pia na Hakuna madhara ila tu usiingie mikataba nao maana Watakufanya uwe mtumwa wao Milele na milele mpaka vizazi vyako vitateseka kwa mikataba uliyoweka
 
Unafanya kazi nzuri Mtumishi..

Naomba sana Ndugu zangu wanaobeza Maandiko ya Manabii wengine kuita ni story za kufikirika na wengine kusema ni za mashetani wajitathimini sana..

SIRI AMBAYO WENGI HAWAJAWAHI KUIFAHAMU NI KUHUSU UNABII, MAANDIKO MATAKATIFU NA WAPI YAMEANZIA (ORIGIN)

Wengi wanaamini Biblia ya kwanza ni Hebrew Bible ila sio kweli, na hizi Bible za King James na Nyingine nazo sio za kwanza.. BIBLIA YA ETHIOPIA ndo BIBLIA KONGWE na imeandikwa kwa Lugha yao GE'EZ ina vitabu 81-88 na kitabu cha Nabii Enock kipo hakikutolewa..

SIRI AMBAYO WENGI WAMEFUNGWA HASA UFAHAMU ni kushindwa kukaa kutafakari hata kwa kupitia yaliyojili kwa Wana wa ISRAEL pale MISRI, WANA WA ISRAEL HAWAKUWA HAWA MNAOWATAJA (WAZUNGU)..

Kuna siri kubwa iliyofichwa ambayo inagusa KANISA LA ORTHODOX ambalo ni kongwe kabla ya Makanisa ya Roman Catholics, Lutheran na mengine yaliyoanzishwa na Falme zenye Nguvu na Wanaharakati wa kale kama Martin Luther nk.. Kanisa ya Orthodox pale Ethiopia bado linafundisha kwa Injili kwa kufuata miongozo na tamaduni za kale.

Kufanya story iwe fupi ni hivi.. Hao WAZUNGU (Waisrael wa sasa) HAWAJAWAHI KUWA WATUMWA CHINI YA PHARAO PALE MISRI.. Hata wakati Musa akionesha Ukuu wa Mungu mbele ya Pharao hadi anaweka mkono wake kwapani unatoka mkono ukiwa na weupe halafu anarudi hali ya kawaida hiyo isingotokea kwa Musa mzungu kama wa kwenye FILAMU zilizotengenezwa na Wazungu hadi za Nuhu, Yesu nk.. Haya yote yamefanikiwa baada ya Uvamizi wa Julius Ceaser hapa ndo walijua namna ya kuanzisha propaganda wakafanikiwa kututawala kupitia Explorer, Missionaries na MIFUMO waliyoiweka ambayo wamekuja kwa njia nyingine ya kisasa zaidi kututawala bila nguvu bali kwa akili kwa kuamini MAIGIZO YAO. ACHENI KUAMINISHWA KILA JAMBO!

KUMTAWALA MWAFRIKA IMETUMIKA AKILI KUBWA SANA HASA KUTUGOMBANISHA KWENYE DINI na lugha ndo imetumika kuleta tafsiri tofauti ili kutugawa na kuacha kufuata MUNGU WA KWELI WA MABABU ZETU tukaishia kufuata MIFUMO ya wanaotaka kututawala kupitia UDINI..

SIKU WAAFRIKA MKIACHA UDINI na KUFUATA IMANI kwa kumwamini MWENYEZI MUNGU PEKEE badala ya hizi vuta nikuvute za kutafuta Utajiri na Miujiza na kuamini Mataifa fulani ndo yamebarikiwa zaidi yako, ndo tutatoka kwenye kifungo au utumwa wa kifikra.. Fatilieni sana story ya Musa aliwapigania ndugu zake waliokuwa wanafanana nae na hata kwenye Pyramids zimechorwa picha watumwa walikuwa Waafrika pale misri ndo maana hata baada ya kuondoka pale Misri walienda umbali mrefu sana miaka 40 hawakuwa wamefika (inafikirisha sana).. Sasa Israel ya sasa kabla ya 1948 kupitishwa na Wamarekani na Waingereza tayari kulikuwa na nchi kama 7 kuchagua wapi waishi hata maeneo ya East Afrika yalikuwa kwenye list, Argentina pia ila Wazungu wakaona ili kutawala siasa za Middle East bora waingie eneo ambalo Wafilisti walivamia zamani wapewe hifadhi baadae wamewageuka Wafilisti wanasema ni eneo lao wakati wote wale eneo sio lao bali la Waafrika ambao walipewa na Mungu (fatilieni sitaki kuwaingiza kwenye siasa ila nawaonesha historia namna imepikwapikwa).

Kuonekana Primitive leo ni suala la mifumo iliyowekwa kwa WAAFRIKA MUISHIE KUUANA kwasababu ya UDINI, UBINAFSI na ELIMU YA KUKARIRISHANA wao wanazidi kutengeneza vizazi vyenye IQ kubwa.. Kuna watu wanaamini kuna Mwanadamu kapendelewa zaidi kapewa IQ zaidi ya wengine kama Mbarikiwa.. Hii toka napata kuelewa mifumo ya kidunia.. IQ inajengwa na mazingira na mambo unayofuata, ukifuata story za mafundisho ya kupandikizana chuki kamwe huwezi wafikia wazungu wala wachina.. Acheni kuwalisha sumu watoto wenu na vizazi vingine ndo mtaona BARAKA MMEPEWA NA MUNGU..

Story imeanzia kwenye Kitabu cha Enock, ninaamini Manabii walikuwa Waafrika na nitaendelea kuamini mwanadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu alikuwa Mwafrika ndo maana wale waliokwisha vuliwa hili Taji wanabaki kuwabagua Waafrika ngozi yao ili sasa wajisikie vibaya waende kutumia CHEMICAL ZAO wapate Kansa kama wao.. Mwafrika ameumbwa kwa udongo akapewa ngozi yenye kuhimili hali yoyote ila kufuata Tamaduni za nje ndo imepelekea WAAFRIKA HAWANA LENGO MOJA WALA SIO WAMOJA TENA BALI WANAWAZA KUDHURUMIANA na KUUANA.. ACHENI MAFUNDISHO YA CHUKI. FUATA IMANI YA KWELI INAYOANZA NA WEWE, SHIRIKI NA KILA MMOJA KATIKA KUSAIDIANA NA KULETA MAENDELEO KWENYE JAMII ZETU.

ROHO ZA KIBINAFSI NDO UBEPARI WENYEWE UMEWAFANYA WATU KUWA NA ROHO MBAYA.. NITAFUATA UJAMAA SIKU ZOTE MAANA HUKO NDO KUNA UPENDO WA KWELI, SIO HII CAPITALISM KWA KIVULI CHA ELIMU NA UDINI. HATUTAFIKA POPOTE!
Mambo yaliyofichwa yanazidi kuwekwa wazi
 
Samahani , Je Umetoa kwenye Kitabu Gani kwamba ......
Majini yanasafiri kutok sayari Moja kwenda nyingine
Uadui Huo unasababishwa na kuambiwa kwamba Viumbe hao ni wabaya kwako na hakuna Kingine..
kwahyo Kwakuwa wao wanajua Binadamu anawachukia Ukibahatika Ukakutana nao na Ukagundua wako maeneo yale bhasi na wao wanakudhuru..

Ila wao hawana uadui na wewe Jiulize wanakuona mara ngapi na Wakati wewe Huwaoni? Kama wangeluwa wana uadui na wewe basi wangeshakudhuru hata kabla ya wewe Kuwaona...

Kwa mfano unajua Kuwa Majini na Mapepo (Kwa mujibu wa Wakristo) walikuwa malaika?
Kwa mujibu wa Dini zingine ni viumbe vyenye nguvu sana..

unajua Majini na Mapepo wanakasi sana na wanaweza kwenda Hapa na Sayari zingine kwa Kufumba na Kufumbua (Kwa mujibu wa Vitabu vya Dini).. sasa kama wangekuwa na uadui na Bindamu waneshindwa Nini kuwatekeza binadamu??

Silaha kubwa Ni kulinda Energy yako Binadamu mwenye High vibration na Nishati kubwa sana anaweza kuogopwa na Viumbe Vingine..

japo sasa Kuwa na Nishati kubwa sana Kunaweza kutengeneza Pia Vita kubwa Na viumbe Viovu kwa sababu kwao ni kama Tishio..


Unaweza kuungana nao Pia na Hakuna madhara ila tu usiingie mikataba nao maana Watakufanya uwe mtumwa wao Milele na milele mpaka vizazi vyako vitateseka kwa mikataba uliyowekasa
 
Samahani , unaweza tofautisha kati ya " Majini " na " Mapepo "
 
Uadui Huo unasababishwa na kuambiwa kwamba Viumbe hao ni wabaya kwako na hakuna Kingine..
kwahyo Kwakuwa wao wanajua Binadamu anawachukia Ukibahatika Ukakutana nao na Ukagundua wako maeneo yale bhasi na wao wanakudhuru..

Ila wao hawana uadui na wewe Jiulize wanakuona mara ngapi na Wakati wewe Huwaoni? Kama wangeluwa wana uadui na wewe basi wangeshakudhuru hata kabla ya wewe Kuwaona...

Kwa mfano unajua Kuwa Majini na Mapepo (Kwa mujibu wa Wakristo) walikuwa malaika?
Kwa mujibu wa Dini zingine ni viumbe vyenye nguvu sana..

unajua Majini na Mapepo wanakasi sana na wanaweza kwenda Hapa na Sayari zingine kwa Kufumba na Kufumbua (Kwa mujibu wa Vitabu vya Dini).. sasa kama wangekuwa na uadui na Bindamu waneshindwa Nini kuwatekeza binadamu??

Silaha kubwa Ni kulinda Energy yako Binadamu mwenye High vibration na Nishati kubwa sana anaweza kuogopwa na Viumbe Vingine..

japo sasa Kuwa na Nishati kubwa sana Kunaweza kutengeneza Pia Vita kubwa Na viumbe Viovu kwa sababu kwao ni kama Tishio..


Unaweza kuungana nao Pia na Hakuna madhara ila tu usiingie mikataba nao maana Watakufanya uwe mtumwa wao Milele na milele mpaka vizazi vyako vitateseka kwa mikataba uliyoweka
Samahani , Unaweza Niambia Vyakula Vyenye Kukupa Nguvu hasi na Vile vinavyo kupa Nguvu Chanya ....
 
Samahani , Je Umetoa kwenye Kitabu Gani kwamba ......
Majini yanasafiri kutok sayari Moja kwenda nyingine
Umewahi Kusoma Kuhusu Demology na Angelology??
Kwanza Ningependa Kujua Unaamini katika Dini gani ili iwe Vyepesi Kukuelewesha kupitia Dini Yako maan Uislam unaimani yao Kuhusu Majini na Ukristo unaimani yao..

Ukinipa Dini yako Nitakuonyesha kwa Mujibu wa Dini yako..
 
Samahani , unaweza tofautisha kati ya " Majini " na " Mapepo "
Hii Majini na Mapepo inategemea na Dini Unayoamini..
Japo katika Ukristo hakuna Kitu kinaitwa Majini..
Wao wana Mapepo...Japo huwa wanatumia Neno majini na Mapepo Interchangebly..

Ila kwenye Uislamu napo Hakuna Neno Mapepo kuna Majini..

So Ningependa Kujua Swali lako lililenga Kipi
 
Umewahi Kusoma Kuhusu Demology na Angelology??
Kwanza Ningependa Kujua Unaamini katika Dini gani ili iwe Vyepesi Kukuelewesha kupitia Dini Yako maan Uislam unaimani yao Kuhusu Majini na Ukristo unaimani yao..

Ukinipa Dini yako Nitakuonyesha kwa Mujibu wa Dini yako..
Dermology na Angelology , Izi Vitabu vimetokana na Mawazo ya Mwanadamu ..
.... Je Unakubali hili ?

Kama unakubali , Maan yake Unatumia Mawazo ya Wanadamu Kuelezea Neno la Mungu (Bible ) ? .....je unakubali hili

Je wewe Unakubali (Kuamini ) Mawazo ya Mwanadamu yanaweza Kuelezea Neno la Mungu .....


Je unaamini Bible ni Neno la Mungu (Muumba Vitu Vyote ) ?
 
Je wewe ni Muumini wa Dini gani ?
Hii Majini na Mapepo inategemea na Dini Unayoamini..
Japo katika Ukristo hakuna Kitu kinaitwa Majini..
Wao wana Mapepo...Japo huwa wanatumia Neno majini na Mapepo Interchangebly..

Ila kwenye Uislamu napo Hakuna Neno Mapepo kuna Majini..

So Ningependa Kujua Swali lako lililenga Kipi
 
Dermology na Angelology , Izi Vitabu vimetokana na Mawazo ya Mwanadamu ..
.... Je Unakubali hili ?

Kama unakubali , Maan yake Unatumia Mawazo ya Wanadamu Kuelezea Neno la Mungu (Bible ) ? .....je unakubali hili

Je wewe Unakubali (Kuamini ) Mawazo ya Mwanadamu yanaweza Kuelezea Neno la Mungu .....


Je unaamini Bible ni Neno la Mungu (Muumba Vitu Vyote ) ?
Habari Ndugu yangu Sambost..
Vitu nilivyoandika Nilivisoma Nikiwa Nasoma Theology miaka iliyopita zamani kidogo...

Hakuna Mchungaji ambaye Hakufundishwa Kuhusu Elimu ya Malaika Na Elimu ya Kujua Mapepo...
Angelology inafundhisha kama Part ya Theology kwa enzi zetu sijui siku hizi...

Kwa Taarifa fupi Bible Pia Imeorganiziwa na Wanadamu ili Iweze kumfikia Mwanadamu..

Na ndo maana Walioandika Ni wanadamu wenyewe..
So Waliandika wanadamu wakiomgozwa na Mungu..
 
Je wewe ni Muumini wa Dini gani ?
Swali hili mimi nimeanza Kukuliza wewe...
Niliwa na maana Kubwa Sana kwa bahati mbaya ama Nzuri nilipata bahati Nusu ya Umri wangu kutembea na Kujifunza kwenye Dini mbali mbali..

Kwahyi nilikupa uhuru Kuchagua Dini yoyote ili Nikueleweshe kupitia Dini yako hata kama Ni Uyahudi
 
Sehemu ya tatu
Pia akaonyeshwa nyumba nyingine nzuri, ilikuwa ni ya kumeremeta kana kwamba ilijengwa kwa kutumia mafuta. Nyumba hii ilikuwa na maua mengi mazuri ambayo hata mengine hayapo hapa duniani.

Mbali na hilo, pia kulikuwa na malaika wakubwa waliokuwa wakiilinda nyumba hiyo.
Mimi kama Nyemo mnajiuliza: “Malaika hao wanailinda nyumba hiyo dhidi ya nani? Sijui”.
View attachment 3134568
Enoko anaendelea kusema kwamba malaika wale wawili wakamchukua na kumpeleka kwenye mbingu ya pili na huko akakutana na haya mambo.

Kwanza kulikuwa na giza kubwa, giza ambalo duniani hakuna lakini pia akawaona malaika wakiwa wamening’inizwa kwa staili ya kunyongwa, kufungwa na minyororo huku wakitazamwa na wengine waliokuwa wamesimama.

Hapa ngoja nikwambie kitu kimoja.

Hao malaika hawakuwa kama hawa tunaowasoma sehemu mbalimbali, hawa ni malaika ambao kwa kuwaangalia walionekana kuchoka sana, weusi, na muda wote walikuwa wakilia machozi meusi tii, na wanalia kila dakika.

Yaani pamoja na kunyongwa huko, hawakuwa wamekufa.

Baada ya hapo Enoko anasema baada ya kuyaona hayo yaliyokuwepo kwenye mbingu ya kwanza, sasa malaika hao wawili wakamchukua na kumpeleka kwenye mbingu ya pili.
Hapa ni kitu kimoja tuu, malaika wanaoteseka hapa ni weusi.!
Waafrika tunalaana sana.
 
Ukisoma kitabu cha Enoko, anasimulia kuanzia mwanzo mpaka mwisho, jinsi alivyotokewa na malaika wawili, na kama ilivyo kwa malaika wote wanapowatokea wanadamu huanza na neno “Usiogope”.

Kwa nini?

Ni kwa sababu malaika ana muonekano wa kutisha, kwa binadamu, huwezi kuwa kawaida tu unapomuona malaika ametokea mbele yako, ndiyo maana husema usiogope.

Aliambiwa Mariamu Magdalena pia.

Enoko alianza kuwaelezea malaika ambao walikwenda chumbani kwake wakati amelala.

Kwanza walikuwa wakubwa, wenye mbawa lakini sura zao zilikuwa na mng’ao mkubwa kama jua lakini macho yao yalikuwa yanawaka kama taa.

Katika maisha yake, anasema hakuwahi kuwaona viumbe wakubwa namna hiyo.

Lipsi zao zilikuwa na moto, mbawa zao zilikuwa na mchanganyiko wa rangi mbili, zambarau na dhahabu inayong’aa kupita kawaida, mikono yao ilikuwa ni meupe kama theluji.

Hebu fikiria unakutana na kiumbe kama hicho, hutoogopa? Ndiyo maana walimwambia kwanza, usiogope.

Anasema malaika hao walisimama pembeni ya kitanda chake na kumuita kwa jina lake, Enoko akainuka na kuwaangalia.

Enoko aliogopa, anasema uso wake ulitetemeka mno lakini malaika mmoja akamwambia: “Usiogope”.
Walimwambia walitumwa na Mungu kumchukua na kumpeleka mbinguni, kwa yote ambayo angekutana nayo huko basi angewaambia watoto wake, wajukuu na vizazi vyote mbeleni.

Anasema hakutaka kuwapinga, akatoka na kwenda kuonana na watoto wake, Mathusal, Regim na Gaidad, akawaambia kuhusu malaika hao na kile walichomwambia, baada ya hapo, wakamchukua na kuanza kupaa naye kwa kumbeba kwenye mbawa zao.
View attachment 3134566
Hiki kitabu nakipataje kikiwa katika lugha ya kiswahili
 
Back
Top Bottom