Swali, Ikulu wanaishi Rais na makamu wake pamoja?
Hizi ni porojo kama za Yericko kwenye cover ya Jason Borne kwamba Ridhiwani Kikwete alikamatwa na drugs china ndege ya Rais ikaruka usiku kwenda kumaliza issue.
Kuwa makini sana na Watanzania siyo trustworthy society, waongowaongo, ndio maana hata Lisu naona niwalewale tu wapayukaji.
Kwani wapi amesema ilikuwa Ikulu?Swali, Ikulu wanaishi Rais na makamu wake pamoja?
Hizi ni porojo kama za Yericko kwenye cover ya Jason Borne kwamba Ridhiwani Kikwete alikamatwa na drugs china ndege ya Rais ikaruka usiku kwenda kumaliza issue.
Kuwa makini sana na Watanzania siyo trustworthy society, waongowaongo, ndio maana hata Lisu naona niwalewale tu wapayukaji.
Kama upo na hela kwa simu,Wapigie wazazi wako walipatia sana kukupeleka shule..Kwa jinsi huyo mama anavyopenda madaraka hiyo kujiuzulu ilikua danganya toto..!
Kabendera kapitia changamoto nyingi sana.kukamatwa kwake,kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda...
Ngoja akusikie chawa wake mwandamizi Lucas MwashambwaKwa jinsi huyo mama anavyopenda madaraka hiyo kujiuzulu ilikua danganya toto..!
Yeye ndo inatakiwa athibitishe kwamba Samia alitaka kubakwa maana yeye ndo katuhumuKwani wapi amesema ilikuwa Ikulu?
Mshitakini mahakamani afanyiwe cross examination, tujue mbivu na mbichi, aiymtwe na Samia kutoa ushahidi ahojiwe na yeye.
Akafie mbele...Kabendera kapitia changamoto nyingi sana.kukamatwa kwake,kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.
Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana.kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika hbr kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa,kasikia kijiweni...then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki.angeandika vizuri sana. Bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.
Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina.. bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.
Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.
Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Walioshutumiwa kama tuhuma ni za uongo wamshitaki mahakamani ili tupate ushahidi wa chini ya kiapo, akidanganya afungwe kwa kudanganya akiwa katika kiapo.Yeye ndo inatakiwa athibitishe kwamba Samia alitaka kubakwa maana yeye ndo katuhumu
Kwani nani kakuambia kaandika hapo tu? Huo ni utangulizi tu. Tafuta kitabu chote na ukisome.Kabendera kapitia changamoto nyingi sana.kukamatwa kwake,kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.
Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana.kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika hbr kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa,kasikia kijiweni...then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki.angeandika vizuri sana. Bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.
Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina.. bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.
Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.
Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Mtikila alishawahi sema Kikwete ni Gaidi. Akaambiwa atoe ushahidi akasema apelekwe Kikwete ndo shahidi wake namba moja. Ile kesi iliisha. Kikwete ni Gaidi? Patamu hapo.Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.
Wamshitaki Kibendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Nilijua tu na huko kuandika hivyo huyo lazima yuko kwenye asylum processView attachment 3190716
Kabendera ameshasepa, asingeachia hiko kitabu kama anaishi Tanzania.
Ni mkazi wa UK kwa sasa.
Mmmh, hii nayo kwenye kitabu?Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.
Wamshitaki Kibendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Nasema hivii.Mtikila alishawahi sema Kikwete ni Gaidi. Akaambiwa atoe ushahidi akasema apelekwe Kikwete ndo shahidi wake namba moja. Ile kesi iliisha. Kikwete ni Gaidi? Patamu hapo.
Kwenye kitabu.Mmmh, hii nayo kwenye kitabu?
Hee Kabendera amezua balaa,So Magu alitaka mzigo kumbe😂😂Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.
Wamshitaki Kibendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.