Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

kutokana na hulka yake na tabia zake alizokuwa nazo, ni ngumu sana kumtetea magufuli kwenye shutuma hizi.
 
Nendeni mahakamani mkavuliwe nguo , hakuna mwenye uthubutu Tanzania hii wa kupeleka kesi mahakamani.....Huko serikalini wanachekecha namna ya kumteka
Hizi kesi nyingi huisha isivyojulikana. Ngumu kutoa ushahidi sababu unasema umeambiwa, aliyekuambia ndio hutamuona. Nakumbuka kuhusu ujangili wa kinana, wengi tuliaminishwa kinana ni jangili wa meno ya tembo, msigwa akashikilia kuwa ana ushahidi. Kinana alipoenda mahakamani akitaka msigwa athibitishe, msigwa akaishia kuomba radhi.
 
Hii ya Magufuli kuua mtu Ikulu inajulikana hata hapa JF ikitoka kwa waandishi waandamizi wetu.
Search JF mtaikuta.

Kuna versions mbili za kuuawa kwa Ben. Moja kulishwa chatu na hii ya kupigwa pistol na Magufuli Ikulu.
 
Hii ya Magufuli kuua mtu Ikulu inajulikana hata hapa JF ikitoka kwa waandishi waandamizi wetu.
Search JF mtaikuta.

Kuna versions mbili za kuuawa kwa Ben. Moja kulishwa chatu na hii ya kupigwa pistol na Magufuli Ikulu.
It’s getting funnier by the second!

So Ben alimezwa na chatu wa Magufuli?

🤣🤣.

At this point sioni hata haja ya kumshitaki huyo Kabendera.
 
Taratibu maovu ya Magufuli yanaanza kufunguka. Iko siku yatajulikana mengi.
 
Magu nae so akamzukia moja sifuri mbili akiwa na pajama, akataka mzigo.
Nataka nisiamini lakini Magu hana akili nzuri yule nashindwa hata kujua nini cha kuamini.

Ndiyo maana nasema wamshitaki Kabendera tu tupate cross examination ya Samia, tujue mbivu na mbichi.

Huenda Samia naye anataka kushitaki ila kashindwa tu namna 😂😂
 
Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka,
Mkuu sijaelewa embu iweke vizuri hii;

Sasa alimzukia na panjama wakati huo huo Kuna mabodigadi wanamsindikiza au jamaa alikuwa peke yake? Na huyo aliyekuwa anataka kubakwa alikuwa hana walinzi muda huo? Na alivyomkosa ikawaje?

Yaani pisi zote zile atake kumbaka kizimkazi kweli?
 
Ndo ngeli yenyewe mkuu
Basi sawa mkuu maana kwa ufahamu wangu wa form 4C nikajua kwamba considering the fact hapo kuna past tenses mbili separated by "and", mwalimu wangu alinifundisha kwamba ilipaswa kuwa "the tension continued amd reach".. sio reached.

Anyways, sio muhimu sana, nilimkumbuka tu mwalimu wangu wa olevel😂
 
Mkuu,

Kubaka mara nyingine si suala la uzuri, ni suala la power. Kwa hivyo mtu anaweza kutaka kumdinya mwanamke ili awe kama kam conquer tu, si kwa sababu ni mzuri sana.

Kuhusu walinzi, walinzi wanaamrishwa tu wale.

Ila nasisitiza Kabendera ashitakiwe mahakamani tujue mbivu na mbichi. Ikiwezekana Samia aitwe mahakamani kutoa ushahidi.
 
Too funny!

Kuna mwingine kadai kwamba eti Ben Saanane alimezwa na chatu wa Magufuli 🤣.

Yaani Samia alikuwa peke yake huko alikokuwa…..walinzi hawakuwepo….ndugu na jamaa wa Samia hawakuwepo….wafanyakazi hawakuwepo….

So what happened? Samia alimzidi nguvu Magufuli ndo maana hakufanikiwa?

Who believes this crap? Seriously….
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…