Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

alikuwa moja ya watu katili sana kuwahi kutokea duniani, na aliufahamu ukatili. kibaya zaidi alizungukwa na watu wasio na akili, kina bashite, sabaya, mnyeti na wengine, ambao wote ni wakatili kama yeye alivyokuwa. watubu wamrudie MUNGU au la, historia itawahukumu.
 
Mahakama zipi au hizi hizi zizazo laumiwa kila siku?
Nasema hivii.

Wampeleke Kabendera mahakamani tujue mbivu na mbichi.

Kikwete kuwa au kutokuwa gaidi haina uhusiano wowote na habari za kitabu cha Kabendera. Logical non sequitur fallacy.
 
Tunatofautiana kwenye mambo mengine lakini hili nakuunga mkono!
 


TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot from the jump.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Hii si baada ya kutoka jela,

Kaguswa mungu wenu wa chato naona mmechachamaa wasukuma
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Yeah unasahau kufahamu hii picha ilichukuliwa akiwa ametolewa wapi

Better ask first kabla huja mpaka mtu tope
 
View attachment 3190848

TF!!

Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.

With a look like that, his credibility is shot.

Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?

Loser in every way.
Won't help at all!Mjitetee kiufundi/kitaaluma/kiuweledi na si vurugu mechi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…