Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Nasema hivii.
Wampeleke Kabendera mahakamani tujue mbivu na mbichi.
Kikwete kuwa au kutokuwa gaidi haina uhusiano wowote na habari za kitabu cha Kabendera. Logical non sequitur fallacy.
Tunatofautiana kwenye mambo mengine lakini hili nakuunga mkono!Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.
Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.
Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.
Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.
Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Yes. Wanataka ukimaliza kusoma uandike. "Jiwe alikuwa muuaji sana"🤣🤣
Na watu ndo wanataka tuamini huo upuuzi?
Labda anataka kuwa Bob Marley mkuu (rastafarian)😅😅View attachment 3190848
TF!!
Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.
With a look like that, his credibility is shot.
Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?
Loser in every way.
Say no more!picha inasadifu yaliyomo
Na hizo ndevu🤣??Labda anataka kuwa Bob Marley mkuu (rastafarian)😅😅
Hii si baada ya kutoka jela,View attachment 3190848
TF!!
Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.
With a look like that, his credibility is shot.
Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?
Loser in every way.
👍🏻👍🏻👍🏻Say no more!
Yeah unasahau kufahamu hii picha ilichukuliwa akiwa ametolewa wapiView attachment 3190848
TF!!
Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.
With a look like that, his credibility is shot.
Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?
Loser in every way.
Won't help at all!Mjitetee kiufundi/kitaaluma/kiuweledi na si vurugu mechi.View attachment 3190848
TF!!
Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.
With a look like that, his credibility is shot.
Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?
Loser in every way.
Unaendeshwa na hisia za kisukuma.View attachment 3190848
TF!!
Look at him. Unkempt. Looks musty. Confused. Unhinged.
With a look like that, his credibility is shot.
Look at his beard. Some of you find him sexy? Can’t buy a razor?
Loser in every way.