Hii sio story ya kutunga ni ukweli kabisa. Hakuna chochote kilixhobadirika kati ya aliyosema Kabendera na niliyoyasikia mimi pia almost 5 years ago. So huu sio uongo ni ukweli kabisa!Kila mtu siku hizi anajifanya mtu wa system na anajua kila kinachoendelea nyuma ya pazia. Sio kweli na hakuna mtu anayejua kila kitu, hata awe nani.
Ndio maana kuna wakati tuliona Rais akilia alipoona jeneza la waziri mkuu wake. Hakujua nini kilitokea. Kuna wakatipia tuliona Rais akitaka kuzidiwa kete na waziri mkuu mstaafu ili amtoe uenyeketi kwa hoja ya kumpunguzia madaraka.
Kiufupi, tuache kupiga story za kutunga na kutuaminisha ni za kweli
Mpeleke hata wewe uone kama utamshinda. Aliyosema Kabendera ndo ukweli wenyewe!Akipelekwa na akishindwa msianze kusema mahakama haikutenda hakiβ¦.
Gentleman,Eeh, hii sawa..
Hee heeπ€π€π€π€, hii mbona kali na mpya zaidi..!!
Honestly, nimecheka utadhani ni mazuri na mpaka usingizi umekata...
By the way hadi inatokea walikuwa wapi kwani? Na VP na Rais huwa wanaishi nyumba moja kwani? Au walikuwa hotelini Madagascar kufuata dawa ya corona..?
Hii kashfa ni kali sana, inahitaji iandikiwe kitabu...
Eeh, hii pia ni sawaππ»ππ»ππ»
Kina Stroke, Tlaatlaah , Lucas Mwashambwa wanajipanga kuja kushambulia, kaa mkao wa kula matusi
Huo ulikuwa ushahidi kwamba Tz hakuna vetting ya viongozi. JPM alikuwa mshamba aliyeshindwa kubadilika kabisa, hakuwa na international exposure. Kwa hiyo hakupaswa kubwa raisJamaa alikuwa mshamba sana
kabendera alipitia wakati mgumu sana lakini ni kutokana na unadishi huu wa mihemko usiokuwa na vipimo ndio uliomingiza kwenye 19 za magufuli. Kuna makala moja aliiandika kwenye Jarida fulani, nadhani Newsweek au Economist a kutumia laughs kuwa "the stupid decision of the president" halafu editor wa jarida hilo akaitoa vivyo hivyo bila kuifanyia editing na ndiyo iliyomuweka matatani. Hakuwa na haja ya yeye kujifanya ni smart kuliko president na eti president ni stupid, Angetumia maneno kama ill advised decision, questionable decision, au dicey decision, lakini siyo kusema studid decision. Poor choice of words imeharibu maisha yake yote hata baada ya Magufuli kutangulia.Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.
Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.
Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.
Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.
Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Sasa TISS si ni chombo cha Rais au upo nchi gani?kama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Pamoja na kwamba simkubali JPM lakini siamini kama anaweza kumpiga risasi mtu isipokuwa kutuma polisi wale wavuta bangi wafanye hilo tukioHii ni kanuni duniani kote Kwa sababu akitembea na " bastola hai" maana yake Usalama wake uko mashakani Kwa yeye mwenyewe kuweza kujizuru
Watawala wa kijeshi hutembea na Silaha kwa sababu Wao huwa Juu ya Katiba za nchi zao
Sidhani kama Retired ataelewa maana ana kaubongo ka mbege
Mlale unonoπ
DuYule mwendawazimu alikuwa na uwezo wa kunyang'anya hata bastola ya maafisa usalama wake na kuitumia kuua. Yule alikuwa kichaa kweli kweli.
Tofautisha kati ya "kutembea nayo" na "kuwa nayo" kwa muda tajwa mwagito.Hii ni kanuni duniani kote Kwa sababu akitembea na " bastola hai" maana yake Usalama wake uko mashakani Kwa yeye mwenyewe kuweza kujizuru
Watawala wa kijeshi hutembea na Silaha kwa sababu Wao huwa Juu ya Katiba za nchi zao
Sidhani kama Retired ataelewa maana ana kaubongo ka mbege
Mlale unonoπ
Nunua kitabu kisome. Acha uvivuHivi nje ya hii "kumpiga risasi" ndani ya hicho kitabu Kuna Nini kingine!?
Mimi sijakisoma, umekisoma chote? Wakati mwingine watu wanaweza kuchukua mstari mmoja na kuufanya kuwa kitabu chote. Lakini pia kama ana justification ya claim yake, shida Iko wapi? Kama mwandishi wa habari za kiuchunguzi (investigative journalist), na ambaye most probably ame'consult' watu kadhaa, including lawyers, na wakampa go ahead ya maudhui ya kitabu. Let's give him the benefit of the doubt. Kuna kanuni moja nimejifunza katika moral philosophy kwamba "when in doubt/uncertain about something suspend judgement". Sisi tuna tendency ya kutoa hukumu hata kama hatujui undani wa jambo fulani, maana tunafikiri tukisubiri mpaka tujue ukweli wake tutakuwa tumechelewa. Hivyo, tuna huu utamaduni wa kuwahukumu watu unfairly bila kujua undani wa jambo wanalolizungumzia, na hili ni tatizo kubwa kwetu.Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.
Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.
Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.
Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.
Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.
Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.
Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.
Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Ni kweli amepotea, ushahidi kuwa ameuwawa anao huyo mwandishi sidhani kama Kuna mtu mwingine anajua Ben alipo zaidi ya Kabendera. Kwa sababu kuuwa mtu ni kosa basi nadhani Kabendera Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimuua saa nane kwa kumpiga Risasi ya kichwa ikulu ili Haki iweze kutendeka. Familia ya Ben inasuburi mpaka Leo kujua kijana wao Yuko wapi hukumu itatolewa hata kama muuaji ameshakufa atahukumiwa.Nina swali moja dogo kwako, Ben Saanane amepotea kweli au uongo?.
Unajua kilimtokea nini?.
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?
P
Sasa unashangaa nini km ariwaamuru polisi kuwauwa waalifu hakuna kinachoshindikana.Pamoja na kwamba simkubali JPM lakini siamini kama anaweza kumpiga risasi mtu isipokuwa kutuma polisi wale wavuta bangi wafanye hilo tukio
Hapo Kilabu Cha Semtema Kihesa rafiki yangu Kitosi wa FFU na Katibu wa CCM Mkoa Mzee Mwamakafu walikuwa wanaziweka pistol zao mezani huku tunapasiana Kisado cha ulasi πππTofautisha kati ya "kutembea nayo" na "kuwa nayo" kwa muda tajwa mwagito.
Kwani Mimi ndio nimesema au mwandishi wa kitabu ndio amesema?Kwa hiyo Ushahidi wewe ndo unao kuwa hakuuawa na Magufuli??
Hatari sanakama rais wa nchi anafanya vituko km hvyo nakuna tiss.nini kazi ya tiss
Na ndiyo hivyo kwenye meza ikulu kulikuwa na bastola mezani.Ni mumo kwa pale.Hapo Kilabu Cha Semtema Kihesa rafiki yangu Kitosi wa FFU na Katibu wa CCM Mkoa Mzee Mwamakafu walikuwa wanaziweka pistol zao mezani huku tunapasiana Kisado cha ulasi πππ
Kuna kitabu kinaitwa PRESIDENTIAL PARADOX,kisome wameandika yote mpaka mfumo wa ulinzi wa Rais na mipaka yake ktk matumizi ya silahaSource ya uongo wako ni ipi ?