Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Hayo ni maneno ya Erick Kabendera ambaye anasema aliongea na watu walioshuhudia tukio hilo. Mambo hayo aliyasema wakati akitoa "teaser" ya kitabu chake "IN THE NAME OF THE PRESIDENT" ambacho kinaelezea madhila ya utawala wa awamu ya tano

Kwa uhondo zaidi wa habari hii, nenda kanunue kitabu.

Lakini aliyasema wapi, ni katika ukurasa wa YouTube wa Ghassan, pita huko fasta.
Screenshot_20250103-031633.jpg
 
Kila mtu siku hizi anajifanya mtu wa system na anajua kila kinachoendelea nyuma ya pazia. Sio kweli na hakuna mtu anayejua kila kitu, hata awe nani.
Ndio maana kuna wakati tuliona Rais akilia alipoona jeneza la waziri mkuu wake. Hakujua nini kilitokea. Kuna wakatipia tuliona Rais akitaka kuzidiwa kete na waziri mkuu mstaafu ili amtoe uenyeketi kwa hoja ya kumpunguzia madaraka.
Kiufupi, tuache kupiga story za kutunga na kutuaminisha ni za kweli
Hii sio story ya kutunga ni ukweli kabisa. Hakuna chochote kilixhobadirika kati ya aliyosema Kabendera na niliyoyasikia mimi pia almost 5 years ago. So huu sio uongo ni ukweli kabisa!
 
Eeh, hii sawa..

Hee hee🤔🤔🤔🤔, hii mbona kali na mpya zaidi..!!

Honestly, nimecheka utadhani ni mazuri na mpaka usingizi umekata...

By the way hadi inatokea walikuwa wapi kwani? Na VP na Rais huwa wanaishi nyumba moja kwani? Au walikuwa hotelini Madagascar kufuata dawa ya corona..?

Hii kashfa ni kali sana, inahitaji iandikiwe kitabu...

Eeh, hii pia ni sawa👍🏻👍🏻👍🏻

Kina Stroke, Tlaatlaah , Lucas Mwashambwa wanajipanga kuja kushambulia, kaa mkao wa kula matusi
Gentleman,
nilitegemea upotoshaji mwisho ilikua 2024, naona kama umevuka na hadi2025, si utapata tabu sana?


halafu si naskia team ya mdomo na matusi iko retreat ubeligiji?


mwaka huu tufanye siasi, uchambuzi na ufafanuzi bila matusi tafadhali sana ndrugo zangu.

na ni vizuri mdau akilikoroga pekeyake basi alinywe mwenyewe pia na itapendeza zaidi 🐒
 
Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.

Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.

Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.

Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.

Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.

Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.

Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.

Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
kabendera alipitia wakati mgumu sana lakini ni kutokana na unadishi huu wa mihemko usiokuwa na vipimo ndio uliomingiza kwenye 19 za magufuli. Kuna makala moja aliiandika kwenye Jarida fulani, nadhani Newsweek au Economist a kutumia laughs kuwa "the stupid decision of the president" halafu editor wa jarida hilo akaitoa vivyo hivyo bila kuifanyia editing na ndiyo iliyomuweka matatani. Hakuwa na haja ya yeye kujifanya ni smart kuliko president na eti president ni stupid, Angetumia maneno kama ill advised decision, questionable decision, au dicey decision, lakini siyo kusema studid decision. Poor choice of words imeharibu maisha yake yote hata baada ya Magufuli kutangulia.
 
Hii ni kanuni duniani kote Kwa sababu akitembea na " bastola hai" maana yake Usalama wake uko mashakani Kwa yeye mwenyewe kuweza kujizuru

Watawala wa kijeshi hutembea na Silaha kwa sababu Wao huwa Juu ya Katiba za nchi zao

Sidhani kama Retired ataelewa maana ana kaubongo ka mbege

Mlale unono😀
Pamoja na kwamba simkubali JPM lakini siamini kama anaweza kumpiga risasi mtu isipokuwa kutuma polisi wale wavuta bangi wafanye hilo tukio
 
Hii ni kanuni duniani kote Kwa sababu akitembea na " bastola hai" maana yake Usalama wake uko mashakani Kwa yeye mwenyewe kuweza kujizuru

Watawala wa kijeshi hutembea na Silaha kwa sababu Wao huwa Juu ya Katiba za nchi zao

Sidhani kama Retired ataelewa maana ana kaubongo ka mbege

Mlale unono😀
Tofautisha kati ya "kutembea nayo" na "kuwa nayo" kwa muda tajwa mwagito.
 
Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.

Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.

Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.

Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.

Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.

Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.

Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.

Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Mimi sijakisoma, umekisoma chote? Wakati mwingine watu wanaweza kuchukua mstari mmoja na kuufanya kuwa kitabu chote. Lakini pia kama ana justification ya claim yake, shida Iko wapi? Kama mwandishi wa habari za kiuchunguzi (investigative journalist), na ambaye most probably ame'consult' watu kadhaa, including lawyers, na wakampa go ahead ya maudhui ya kitabu. Let's give him the benefit of the doubt. Kuna kanuni moja nimejifunza katika moral philosophy kwamba "when in doubt/uncertain about something suspend judgement". Sisi tuna tendency ya kutoa hukumu hata kama hatujui undani wa jambo fulani, maana tunafikiri tukisubiri mpaka tujue ukweli wake tutakuwa tumechelewa. Hivyo, tuna huu utamaduni wa kuwahukumu watu unfairly bila kujua undani wa jambo wanalolizungumzia, na hili ni tatizo kubwa kwetu.
 
Nina swali moja dogo kwako, Ben Saanane amepotea kweli au uongo?.

Unajua kilimtokea nini?.
EK ni mwandishi wa IJ, amefanya IJ yake akaandika kitabu, unless kama unakijua kilichompata Ben Saanane, huna moral authority kumkosoa EK!. Erick Kabendera: Will I be safe or I may end in the prison tomorrow?

P
Ni kweli amepotea, ushahidi kuwa ameuwawa anao huyo mwandishi sidhani kama Kuna mtu mwingine anajua Ben alipo zaidi ya Kabendera. Kwa sababu kuuwa mtu ni kosa basi nadhani Kabendera Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimuua saa nane kwa kumpiga Risasi ya kichwa ikulu ili Haki iweze kutendeka. Familia ya Ben inasuburi mpaka Leo kujua kijana wao Yuko wapi hukumu itatolewa hata kama muuaji ameshakufa atahukumiwa.
 
Back
Top Bottom