chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Hayo ni maneno ya Erick Kabendera ambaye anasema aliongea na watu walioshuhudia tukio hilo. Mambo hayo aliyasema wakati akitoa "teaser" ya kitabu chake "IN THE NAME OF THE PRESIDENT" ambacho kinaelezea madhila ya utawala wa awamu ya tano
Kwa uhondo zaidi wa habari hii, nenda kanunue kitabu.
Lakini aliyasema wapi, ni katika ukurasa wa YouTube wa Ghassan, pita huko fasta.
Kwa uhondo zaidi wa habari hii, nenda kanunue kitabu.
Lakini aliyasema wapi, ni katika ukurasa wa YouTube wa Ghassan, pita huko fasta.