Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Kuna mtu anayepinga kuwa serikali iliyopita na hii ya sasa ni ya wauaji? Ebu wewe acha ujinga wako, Aliyepo sasa madarakani naye hana tofauti na aliyepita....both were trigger happy! Azory Gwanda alichukulia na Landcruiser nyeupe mpaka leo hakuonekana, Ben Saanane baada ya kuhoji uhalali wa Ph.D ya Magufuli akatekwa wakati akitoka kwake asubuhi kwenda kazini.......Magufuli ana Ph.D ya UDSM ambayo ni ya mchongo. Mtu mwenye Ph.D hata kuzungumza sentence ya English hakuweza, sasa hiyo Ph.D thesis au Dissertation yake ilikuwa kwa lugha ya Kiswahili au Kisukuma? Wewe acha kutetea uovu, Lissu amepigwa risasi za kutosha mbele ya eneo la wakubwa na walinzi wapo....alikamatwa mtu? Mohammed Dewji hakutekwa akapatikana karibia na ikulu, aliongea nini alipopatikana na hizo sarakasi zote? Vipi kuhusu Ali Kibao aliyeokotwa Ununio?acha upumbavu wako wewe mjinga. Hiki kitabu kitauzwa, labda mkizuie huko ndani, hamna ubavu wa kukizuia huko nje. Serikali ya sasa ya Tanzania na iliyopita ni ya wauaji. Nashangaa huyo Samia hafanyi lolote bali anaendelea kuteka na kupoteza watu. Watu tuna haki ya kuishi kama yeye anavyoishi na familia yake, mwenye haki ya kutoa uhai wa mtu ni Mwenyezi Mungu pekee siyo mama huyo dikteta wa Kizimkazi au mwendazake. Mungu ni Mwema.
 
kiingereza cha kabendera kiko na shida wakuu
Nyani Ngabu
Duh!

Jamaa kaandika kwamba Magufuli mwenyewe ndiye aliyempiga risasi ya kichwa Ben Saanane?

Hayo ni madai makubwa sana yanayohitaji ushahidi madhubuti.

Familia ya Magufuli ikiyaachia haya madai bila kufungua kesi na kumshitaki huyo mwandishi, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu sana au hayo madai yatakuwa na ukweli.

Kumtuhumu Rais wa nchi kumuua mtu kwa kumpiga risasi ya kichwa si jambo dogo.
 
Mimi sijakisoma hicho kitabu kipya cha Kabendera "In the name of President:Memoirs of Jailed Journalist😛ublished by Amazon sio publisher mdogo.

Sababu ipi nzito itakayomsukuma Raisi Magu ampige risasi Saanane?

Kwanza lazima iwepo motive,motive itayomfanya Magu to loose temper,to such an extent of pulling a gun and short mercifully Saanane in forehead!!!

Hapa napata ukakasi kwa mtu tena Raisi Magufuli,Raisi aliyezoeleka kufanya vizuri mambo mengi under extreme conditions
Harafu yeye mwenyewe amtwange risasi tena Ikulu kisa kuandika utata wa Doctorate degree ya Mjomba Magu?
Nadhani Kabendera amepotoshwa.

..kabendera amefanya utafiti.

..mnaompinga fanyeni utafiti mje na ushahidi kupinga madai ya kabendera.
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Alikua wp kukitoa Wakati yupo

Na Kwa nn akotoe Mwaka huu tunaenda kwny Uchaguz...
Mbona km ana confidence sana..
 
..kama madai kuwa Magufuli alimshoot Ben Saanane ni ya kweli, Magufuli hatokuwa Raisi wa kwanza dunia hii kuua mtu.

..Jambo la msingi ni UKWELI ujulikane ni nani amemuua Ben Saanane.

..Haiwezekani taifa zima tubebe mzigo wa dhambi ya mauaji yake.

..Nchi hii ni kubwa kuliko Magufuli, au yeyote yule.
Sawa Prof
 
..kama madai kuwa Magufuli alimshoot Ben Saanane ni ya kweli, Magufuli hatokuwa Raisi wa kwanza dunia hii kuua mtu.

..Jambo la msingi ni UKWELI ujulikane ni nani amemuua Ben Saanane.

..Haiwezekani taifa zima tubebe mzigo wa dhambi ya mauaji yake.

..Nchi hii ni kubwa kuliko Magufuli, au yeyote yule.
Sawa Pro
jpm alikuwa lucipher maana alikua muuaji ambae ni mtu wa kwanza tz kuua watu wengi
🤣
 
Ni uzushi ambao hawa wageni wanaleta toka huko kwao,
Chuki walianza huko hivi hivi wakauana sana miaka hiyo wakakimbilia hapa tukawapokea ndio mbegu hizi zinaendelea kuchonganisha Watz mapoyoyo yasiyojielewa.
Rais hana haja ya kujishughulisha na huyo mtoto,
Huyo ni kimbelembele kaingia anga za watu wakatembea nae huko mtaani.
Hakuwa hata na hadhi kupelekwa ikulu.
Zulma, kuropoka hovyo, ulevi,na kuna vyeo alikua navyo huko saccos na akaanza kumtishia hadi bosi wake.
So hatujui kilichofata.
 
Ni uzushi ambao hawa wageni wanaleta toka huko kwao,
Chuki walianza huko hivi hivi wakauana sana miaka hiyo wakakimbilia hapa tukawapokea ndio mbegu hizi zinaendelea kuchonganisha Watz mapoyoyo yasiyojielewa.
Rais hana haja ya kujishughulisha na huyo mtoto,
Huyo ni kimbelembele kaingia anga za watu wakatembea nae huko mtaani.
Hakuwa hata na hadhi kupelekwa ikulu.
Zulma, kuropoka hovyo, ulevi,na kuna vyeo alikua navyo huko saccos na akaanza kumtishia hadi bosi wake.
So hatujui kilichofata.
Hii ndio report ya polisi?
 
Hapa kama mimi ningekuwa mtoto wa yule mwendazake.............huyu kabendera angejua kwanini ni hatari kucheza na maisha ya mtu hata kama kafa................hiyo picha ingemghalimu sana.........fidia ambayo ningeitaka asingeweza kuilipa labda kama angekuwa na basha kama Elon musk
Ni mtoto gani unaona aliachwa mwenye akili ya kubeba hilo jambo? Labda yule Mkurugenzi.
 
Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
Yeye anaishi wapi?
Miaka hii unazuiaje kitabu
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Kukifungia itakuwa ni kukipa promo watu wakitafute dawa ni kumshtaki tu na alete ushahidi!
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Hii nchi ina siri nzito hayo alichoandika ni kidogo sana.
Juzi kijana kachoma picha ya raisi leo haonekani katekwa na watu wasiojulikana.
Uchuguzi umeisha watu wasiojulikana wakiwa na bunduki wamemteka mtoto wa watu stendi ya Magufuli mchana. Wamemrudisha akiwa hoi hakuna kesi wala nini.
Alichoandika nina uhakika 100% Magu alihusika kwasabau sheria, mahakama, magereza yapo kwa ajili ya watu wanaovunja sheria
Kama haujauwawa na magu tuombe Ben yupo wapi?
Ngoja na mimi nikikununue nisipitwe. Bado cha uzo wa Saa100 na magenge ya kijani yasiyojulikana
 
Back
Top Bottom