Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Mkuu ni Kweli kabisa Serikali ikipige marufuku kitabu hiki kisionekane mtaani hata kama it is too late! Habari imeshajulikana kwa wananchi huenda hata nje ya nchi.
 
Mkuu ni Kweli kabisa Serikali ikipige marufuku kitabu hiki kisionekane mtaani hata kama it is too late! Habari imeshajulikana kwa wananchi huenda hata nje ya nchi.
Wewe ndiyo unajua leo? Hiyo inajulikana hata kupigwa risasi Lissu ulikuwa mpango wake.
Watu walikaa kimya kwasababu kuna genge la kijani wasiojulikana wanakuchukua muda wowote.
Kijana wa watu kachoma picha tu wamemteka Wanafikiri wao wataishi milele
 
Hicho kitabu kingekuwa kinaituhumu serikali ya sasa kutokana na kifo cha mzee Kibao au kupotezwa kwa kina Soka na wenzake, mwandishi ndiyo angechukuliwa hatua ila kwasasa hilo haliwezi kutokea. Kila mmoja atumie tu utimamu wake kuona ukweli au uongo wa mwandishi.
 
Amesema chanzo ni kutoka kwa top government officials na opposition leaders, nadhani anaweza kuthibitisha hilo kwa vyombo husika. Serikali ikimnyamazia basi Wananchi tutajua imemtuma achapishe hicho kitabu.
Ninyi ndio wapumbavu mnapofusha watu. Hamtaki kukubali kama Taifa tulipata kuwa Rais muuaji. Itabidi mkubaliane na hilo japo mlikuwa brainwashed na propaganda zake za kidikteta. Uyasikiayo na uyatendayo hata ukienda Rwanda utayasikia na Kagame anawafuasi kama ulivyo wewe kwa Magufuli.

Usitumie nadharia ya Magufuli kafa hawezi kujitetea, hebu ona kina Makonda wametajwa live, na laiti hasingelihusika na msala wa Tundu Lisu, kwa haiba ya wanasiasa saa hii tungesikia kesi kubwa ya defamation mahakamani. Lakini Makonda hachagui kwenda mahamani a najua, kwenda huko ni kwenda kujihaibisha kabisa.
 
Huyu mwandishi amezindua kitabu chake Leo na amechapisha Tuhuma nzito dhidi ya Marehemu Rais Magufuli kuwa yeye Binafsi alimuita Ben Saa nane ikulu na kumpiga Risasi ya kichwa Kisha mwili wake kutupwa katika mto rufiji.

Hizi ni Tuhuma nzito sana ambazo hazina ushahidi wowote dhidi ya aliyekua mkuu wa nchi. Zikiachwa kusambaa bila mwandishi huyu kuthibitisha zitasomwa na itaaminika ni kweli.

Soma Pia: Erick Kabendera kupitia Kitabu chake; Ben Saanane aliuawa na Rais Magufuli na maiti yake ikatupwa Mto Rufiji

Nashauri mambo mawili ya kufanya

1. Kitabu alichozindua leo kizuiwe kusambazwa na kipigwe marufuku ndani na nje ya nchi.

2. Huyu mwandishi aitwe na kuhojiwa na vyombo vya usalama kuhusu Nia yake ya kuchapisha Tuhuma nzito hizi bila ushahidi otherwise Atoe ushahidi kuwa Magufuli alimpiga Risasi Ben Saa nane.
View attachment 3190238View attachment 3190239
Cool down Amigo
Nani anauwezo wa kuzuia nje ya nchi?
Wazungu wanasema closing the gate after the horses have escaped, kitabu kikiishafika mitandaoni hakifutiki ng'o labda kwenye computer yako (kama unayo)
 
Duh!

Jamaa kaandika kwamba Magufuli mwenyewe ndiye aliyempiga risasi ya kichwa Ben Saanane?

Hayo ni madai makubwa sana yanayohitaji ushahidi madhubuti.

Familia ya Magufuli ikiyaachia haya madai bila kufungua kesi na kumshitaki huyo mwandishi, itakuwa ni uzembe wa hali ya juu sana au hayo madai yatakuwa na ukweli.

Kumtuhumu Rais wa nchi kumuua mtu kwa kumpiga risasi ya kichwa si jambo dogo.
Wewe ndiye uliyemsaidia kumpiga risasi Ben Saanane? Unabisha kama ulikuwepo? Au wewe ndiye uliyempiga risasi ya kichwani? Kuna asiyejua Magufuli ni muuaji? Wewe acha upumbavu wako wewe nyani, Au wewe ndiye wale mnaojiita wasiojulikana? Mna shida sana ninyi wauaji wa Samia.
 
Kaandika upuuzi sana. Hivi kweli rais amuite mtu ikulu halafu ampigie Risasi na kumuua hata kama alikua anataka kumuua Rais ana vyombo vingi hizi Tuhuma ni nzito lazima azithibitishe. Nitashangaa sana kama serikali italifumbia macho suala hili
Kuzithibitisha atakwambia mlete Magufuli tumhoji, utaweza kumleta? Kama kweli hilo halikutokea basi serikali ikanushe kwa kutoa reasons ambazo ni reasonable hata mjinga akizisikia done zinafanana na ukweli. Ikinyamaza itakuwa ime endorse hizo allegations.
 
Back
Top Bottom