Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kitabu cha Erick Kabendera: Ni vema atoe ushahidi wa tuhuma alizochapisha kuhusu Magufuli kuhusika kifo cha Ben Saanane

Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.

Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.

Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.

Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.

Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.

Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.

Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.

Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.

Ni hivi Kabendera kaandika ukweli, hayo mengine utajua ww.
 
Basi sawa mkuu maana kwa ufahamu wangu wa form 4C nikajua kwamba considering the fact hapo kuna past tenses mbili separated by "and", mwalimu wangu alinifundisha kwamba ilipaswa kuwa "the tension continued amd reach".. sio reached.

Anyways, sio muhimu sana, nilimkumbuka tu mwalimu wangu wa olevel😂
Kama umeamua kuongelea past, kila kitu kwenye paragraph hiyo inatakiwa kuwa kwenye past tenses. Ukiona kuna mchanganyiko jua Mwandishi sio mzoefu wa lugha.
 
Too funny!

Kuna mwingine kadai kwamba eti Ben Saanane alimezwa na chatu wa Magufuli 🤣.

Yaani Samia alikuwa peke yake huko alikokuwa…..walinzi hawakuwepo….ndugu na jamaa wa Samia hawakuwepo….wafanyakazi hawakuwepo….

So what happened? Samia alimzidi nguvu Magufuli ndo maana hakufanikiwa?

Who believes this crap? Seriously….
Je kama alimuita ofisini kwake na Samia kuingia kamkuta jamaa ndani ya Pajama?

Nafikiri njia sahihi ni kuhitaji ufafanuzi zaidi wa suala hili kwa kusoma hicho kitabu zaidi.
 
Shida ni kutokufanyia uchunguzi matukio ya kinyama yaliyotokea ktk utawala wa Jpm.

Uchunguzi ungefanyika UKWELI ungejulikana, na taifa lisingeingia katika tuhuma ambazo hazijathibitishwa.
Point kubwa sana.

Ukimya wa serikali kwenye hili suala ndii umetufikisha hapa , Ben uzi wake wa mwisho ulikuwa ni kutishiwa kuuwawa na namba iliyomtisha aliiweka hapa hapa je kuna hatua serikali ilichukua?

Jibu ni hakuna, kama serikali haikuchukua hatua basi watu wanaweza kusaka taarifa katika vyanzo wanavyojua wao kama tujuavyo awamu ile sio wote walikuwa wakipenda yaliyokuwa yakiendelea ndio maana ile account ya Kigogo2014 ilikuwa inatoa taarifa kadhaa ambazo zilikuwa ni za chini ya kapeti sana.


Mfano ni taarifa ya kwanza ya Magufuli kuumwa na kulazwa Nairobi wiki ya mwanzoni mwa March 2021 hadi leo serikali haikuwahi kutoa taarifa rasmi katika vyombo vyake ila wapo watu waliokuwa na taarifa hizo na waliujulisha umma hata pale aliporudishwa Tanzania , hata taarifa ya kifo cha Magufuli siku kimetokea kilitolewa huko huko Twitter/ X huku serikali ikiwa inapiga sarakasi kwa kumtumia Majaliwa kuwa rais yuko imara na anachapa kazi ilhali alishafariki na umma unawekwa katika hadaa tu.

Hivyo bado ninaamini Kabendera hajakurupuka pia nitafurahi sana hii issue ikipelekwa mbele zaidi pengine tutajua mengi zaidi toka kwa wahanga wengine na matukio ambayo hatukuwahi kuyafahamu kabisa.
 
Kabendera kapitia changamoto nyingi sana. Kukamatwa kwake, kukaa ndani na mateso kadhaa. Mpaka kufiwa na mama yake.

Kama binadamu lazima uelewe yupo katika hali gani anapotajiwa jina la Magufuli. Hawezi mpenda na hata wewe usingeweza mpenda.

Nimesoma kile kifungu anachosema Ben Saanane aliuawa na Magufuli mwenyewe kwa kupigwa risasi ya kichwa. Kaandika kiwepesi sana, kirahisi sana. Ile issue yenyewe tu ilipaswa kuandikiwa kitabu kizima.

Kwa maelezo yake yale hamna kitu kabisa. Yaani kaandika habari kubwa kama hiyo kama vile kaambiwa, kasikia kijiweni then yeye kaiweka kwenye kitabu. Hapo ni wazi Kabendera aither Elimu yake ni ya mgogoro au aliendeshwa sana na hisia.

Kile kitabu alipaswa aandike bila chuki, angeandika vizuri sana bila mihemko. Hisia si jambo baya ikiwa zinakuwa controlled na mtu ambaye atakuwa unbiased. Kabendera kaandika nadhani alipaswa awapatie watu wenye akili wapitie na wamshauri. Tukio la Rais kumpiga mtu risasi linahitaji maelezo mengi sana ya kitaalamu/kisheria ili kuleta uhalisia wenyewe. Na hii haiwi nimeambiwa.

Huwezi andika kitabu kama hicho bila uchunguzi wa kina bila kuchimba zaidi na zaidi kupata ukweli.

Nadhani Kabendera ashauriwe mapema kabla hajaki print aelekezwe aandike vipi hilo jambo zito. Si kwa maneno mepesi vile kama vile si kitu kikubwa.

Then mambo mengine yaendelee uhalisia wake ubainishwe.
Pita huko kenge mkubwa wewe. Kama una hoja na wewe andika kitabu kusema Magufuli hakumuua Ben Saanane, uweke na ushahidi.
 
Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.

Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Wamshitaki Kabendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Duu, hii noma ndio naisikia
 
Mshitakini aende mahakamani tupate ushahidi wa kimahakama.

Kabendera kasema Magufuli alimzukia Samia na pajama akitaka kumbaka, mpaka Samia akataka kujiuzulu u Makamu wa Rais.

Wamshitaki Kabendera mahakamani amuite Samia kutoa ushahidi.
Siwezi kushangaa Magu kutaka kumbaka makamu. Maana tayari alikuwa anatembea na mawaziri kadhaaa na wengine kawazalisha kama Angela Kairuki
 
Back
Top Bottom