Kitabu cha Kabendera kina mkono wa viongozi ndani ya mfumo! Maiti inapigwa mateke bila kutetewa na waliopo hai

Kitabu cha Kabendera kina mkono wa viongozi ndani ya mfumo! Maiti inapigwa mateke bila kutetewa na waliopo hai

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Wapo viongozi ndani ya ccm wanaoamini kuwa kuchafua image ya jpm kupitia kitabu cha kabendera inaweza kuwapa sifa nzuri katika uongozi wao! Hadi sasa hakuna tamko lolote juu ya kitabu hicho kinachosambaa kwa kasi chenye maneno ya kuudhi ya kuchafua viongozi.
Nachojiuliza utekaji katika serikali umeanza leo? Nani abafahamu Dr.ulimboka yaliyomkuta haitoshi awamu hii ya sita je utekaji haupo?
Nachofahamu pamoja na kitabu hicho kutolewa na kabendera tayari alikuwa ana mgogoro na serikali ya awamu ya tano pamoja na migogoro hiyo msukumo wa kitabu chake wamo viongozi ndani ya serikali wametoa msukumo mkubwa wa kitabu hicho kisambae ionekane kuwa jpm hakuwa lolote katika nchi ! Chato maiti inalia yenyewe bila kutetewa.
 
Mamlaka imebariki ndio mana kimya ingeamua kuzima ingezima tarifa isisambae
 
Samia and co hawataki hata kusikia jina la huyo mtu likitajwa! Kwa jinsi alivyokuwa mbaya
 
Mamlaka imebariki ndio mana kimya ingeamua kuzima ingezima tarifa isisambae
Dunia ya leo ya information age unazimazimaje taarifa zisizambae?
Magufuli mwenyewe alishindwa kumzima kigogo, maria, mange ndo iwezekane leo...
 
Haaaa jamaa alikwenda na pajama kwa msaidizi number 2.
Marehemu alikiri hadharani ni kichaa kwa mdomo wake hivyo si ajabu hata kidogo kuwa alienda kwa msaidizi wake akitaka kumdo kinguvu.
 
Wapo viongozi ndani ya ccm wanaoamini kuwa kuchafua image ya jpm kupitia kitabu cha kabendera inaweza kuwapa sifa nzuri katika uongozi wao! Hadi sasa hakuna tamko lolote juu ya kitabu hicho kinachosambaa kwa kasi chenye maneno ya kuudhi ya kuchafua viongozi.
Nachojiuliza utekaji katika serikali umeanza leo? Nani abafahamu Dr.ulimboka yaliyomkuta haitoshi awamu hii ya sita je utekaji haupo?
Nachofahamu pamoja na kitabu hicho kutolewa na kabendera tayari alikuwa ana mgogoro na serikali ya awamu ya tano pamoja na migogoro hiyo msukumo wa kitabu chake wamo viongozi ndani ya serikali wametoa msukumo mkubwa wa kitabu hicho kisambae ionekane kuwa jpm hakuwa lolote katika nchi ! Chato maiti inalia yenyewe bila kutetewa.
Na bado classified ya Mwanakondoo ameshinda tumfuate
 
Hilo wala.sio la kuuliza. Ila ubaya ni bora usemwe ili.hawa.wanaojaribu kuimitate kuteka watu mara wanaombewa na.watumishi wamungu mbele ya.kamera waache .
 
Huenda kabendera ndiyo mtu maarufu zaidi kwasasa.
 
Wapo viongozi ndani ya ccm wanaoamini kuwa kuchafua image ya jpm kupitia kitabu cha kabendera inaweza kuwapa sifa nzuri katika uongozi wao! Hadi sasa hakuna tamko lolote juu ya kitabu hicho kinachosambaa kwa kasi chenye maneno ya kuudhi ya kuchafua viongozi.
Nachojiuliza utekaji katika serikali umeanza leo? Nani abafahamu Dr.ulimboka yaliyomkuta haitoshi awamu hii ya sita je utekaji haupo?
Nachofahamu pamoja na kitabu hicho kutolewa na kabendera tayari alikuwa ana mgogoro na serikali ya awamu ya tano pamoja na migogoro hiyo msukumo wa kitabu chake wamo viongozi ndani ya serikali wametoa msukumo mkubwa wa kitabu hicho kisambae ionekane kuwa jpm hakuwa lolote katika nchi ! Chato maiti inalia yenyewe bila kutetewa.
Umepiga penyewe
 
Back
Top Bottom