Kitabu cha Munga Tehanani - Uchawi

Kitabu cha Munga Tehanani - Uchawi

Sasa mbona kuna watu wanapinga kuwa hakuna uchawi ikiwa haijulikani uchawi ni nini?

Wewe unasema kuwa hayo yenye kudaiwa kuwa ni uchawi yaweza kuwa si uchawi bali ni mambo mengine tu tusiyoyajua, hapo ndipo umuhimu wa uchunguzi unapohitajika maana kama kuna mambo ambayo hatuyajui na kweli yapo na yanahusu hadi maradhi na tiba basi huoni kuwa tunahitaji kuyafanyia uchunguzi kuliko kuacha kufanya uchunguzi kisa definition?
Sijasema haijulikani uchawi ni nini.

Nimetaka definition ya uchawi kutoka kwenu.

Uchawi ni nini?

Utawezaje kufanya uchunguzi kujua kama mtu anaumwa kwa uchawi au anaumwa kwa sababu ya virusi tu, si uchawi, bila hata ku define uchawi ni nini?

Hatua ya kwanza katika uchunguzi wa kutenganisha uchawi na vitu vingine visivyo uchawi ni ku define uchawi.

Uchawi ni nini?

Hamjajibu swali hili.
 
Sijasema haijulikani uchawi ni nini.

Nimetaka definition ya uchawi kutoka kwenu.

Uchawi ni nini?

Utawezaje kufanya uchunguzi kujua kama mtu anaumwa kwa uchawi au anaumwa kwa sababu ya virusi tu, si uchawi, bila hata ku define uchawi ni nini?

Hatua ya kwanza katika uchunguzi wa kutenganisha uchawi na vitu vingine visivyo uchawi ni ku define uchawi.

Uchawi ni nini?

Hamjajibu swali hili.
Hayo yote unayouliza yatajulikana kwenye uchunguzi maana ndio tutafahamu vp tunaweza kujua tatizo fulani au maradhi fulani kuwa chanzo ni uchawi,majini au kitu chengine tu.

Sasa sijajua wewe hapa unataka maelezo gani ambayo yatatenganisha uchawi na vitu vyengine kimaelezo tu, maana nijuavyo mimi uchawi ni chanzo cha tatizo na si kwamba ndio tatizo lenyewe kwa maana uchawi unaweza kusababisha stroke, ugumba au hata matatizo ya akili, sasa hapa siwezi kutoa maelezo tu ya kutenganisha matatizo hayo kuonyesha utofauti wake kati ya uchawi na mengine.
 
Hayo yote unayouliza yatajulikana kwenye uchunguzi maana ndio tutafahamu vp tunaweza kujua tatizo fulani au maradhi fulani kuwa chanzo ni uchawi,majini au kitu chengine tu.

Sasa sijajua wewe hapa unataka maelezo gani ambayo yatatenganisha uchawi na vitu vyengine kimaelezo tu, maana nijuavyo mimi uchawi ni chanzo cha tatizo na si kwamba ndio tatizo lenyewe kwa maana uchawi unaweza kusababisha stroke, ugumba au hata matatizo ya akili, sasa hapa siwezi kutoa maelezo tu ya kutenganisha matatizo hayo kuonyesha utofauti wake kati ya uchawi na mengine.
Nyie mnaamini uchawi upo, lakini hamuwezi hata ku define uchawi ni nini?
 
Nyie mnaamini uchawi upo, lakini hamuwezi hata ku define uchawi ni nini?
Kama nilivyosema kwamba yawezekana tukashindwa kueleza uchawi ni nini hasa, lakini hilo halifanyi kwamba hicho tunachoita kuwa ni uchawi hakipo kisa tu tumeshindwa kuelezea huo uchawi wenyewe ni nini? ambao kuna watu kama nyie mnapinga uwepo wake na kusema hakuna huo uchawi. Vipo vingi tu kwenye maisha yetu ambavyo hatuwezi ku define ila vipo.



Sasa sijaelewa wenye kupinga uchawi ni kwa sababu hakuna definition ya uchawi au hakuna hayo yenye kuitwa ni uchawi? Bado najiuliza kwanini hakuna uchunguzi hadi leo kwa mambo ambayo uhusishwa na uchawi maana uchawi umekuwepo kwa karne nyingi tu.
 
Kama nilivyosema kwamba yawezekana tukashindwa kueleza uchawi ni nini hasa, lakini hilo halifanyi kwamba hicho tunachoita kuwa ni uchawi hakipo kisa tu tumeshindwa kuelezea huo uchawi wenyewe ni nini? ambao kuna watu kama nyie mnapinga uwepo wake na kusema hakuna huo uchawi. Vipo vingi tu kwenye maisha yetu ambavyo hatuwezi ku define ila vipo.



Sasa sijaelewa wenye kupinga uchawi ni kwa sababu hakuna definition ya uchawi au hakuna hayo yenye kuitwa ni uchawi? Bado najiuliza kwanini hakuna uchunguzi hadi leo kwa mambo ambayo uhusishwa na uchawi maana uchawi umekuwepo kwa karne nyingi tu.
Sasa kama huwezi hata ku u define uchawi, maana yake wewe mwenyewe huuelewi uchawi, utajuaje upo kweli na si hadithi za watu tu?
 
Sasa si ni jambo rahisi tu kuwa WEWE AMINI HAUPO. UNATAFUTA PA KUBISHANIA NA WATU?🤣
Kuamini ni jambo la mtu binafsi. Unaruhusiwa kuamini au kutoamini, kitu kiwe kweli au si kweli.

Lakini, ukishayaweka mambo JF, umeyaweka kwenye hadhara, umeyatoa kwenye faragha ya ubinafsi.

Hapo yatahitaji uchunguzi, uhakiki.

Ndicho kinachotokea hapa.

Kwani lini nilikukataza usiamini unachotaka kuamini?
 
Hapana Ndugu, sikumaliza kukisoma.
Lazima Kuna Mtu ktk Family Yangu amekiiba.
Kitabu hiki nilikificha pamoja na hati zangu za viwanja.
Hati zangu zote nimezikuta ila kitabu hiki sikukikuta aisee.
Jamaa alikuwa mtunzi mzuri sana sana. Halafu alikuwa mtu muungwana, mcheshi na mpole. Bado nakumbuka habari zake kwenye magazeti.
 
Sasa kama huwezi hata ku u define uchawi, maana yake wewe mwenyewe huuelewi uchawi, utajuaje upo kweli na si hadithi za watu tu?
Acha kuwachosha watu kama unataka kujua maana ya uchawi kuna vyuo hadi ngazi ya masters kasomee huko.

Sio kila kitu cha kutaka kubishana tu. Mara nyingi mnaoukataa ndio wachawi wenyewe sasa 😂😂
 
Kuamini ni jambo la mtu binafsi. Unaruhusiwa kuamini au kutoamini, kitu kiwe kweli au si kweli.

Lakini, ukishayaweka mambo JF, umeyaweka kwenye hadhara, umeyatoa kwenye faragha ya ubinafsi.

Hapo yatahitaji uchunguzi, uhakiki.

Ndicho kinachotokea hapa.

Kwani lini nilikukataza usiamini unachotaka kuamini?
Umeshachunguza mangapi kuhakiki?
 
Acha kuwachosha watu kama unataka kujua maana ya uchawi kuna vyuo hadi ngazi ya masters kasomee huko.

Sio kila kitu cha kutaka kubishana tu. Mara nyingi mnaoukataa ndio wachawi wenyewe sasa 😂😂
Sasa mbona wewe ndiye unawachosha watu kwa kuendeleza ubishi na mtu anayewachosha watu?

You can't censor me.

Hujui hata ku define uchawi ni nini. Unabumbabumba tu.
 
Jamaa alikuwa mtunzi mzuri sana sana. Halafu alikuwa mtu muungwana, mcheshi na mpole. Bado nakumbuka habari zake kwenye magazeti.
Yeah, nikweli kabisa.
Alafu Huyu Mkuu alikuwa na darasa pale Kimara Kona Jirani na Kibo.
Sijui wale wanafunzi walikuwa vilaza😄😄😄 Maana haiwezekani wote watoweke asiwepo hata 1 wakufanya alivyokuwa anafanya mwalimu wao.
 
Uchawi wa ccm 2025
IMG_0612.jpeg
 
***UCHAWI NI NINI

JIBU LAKE NI HILI:
Kwa mujibu wa Mwandishi kitabu MUNGA TEHENAN ( RIP )

=> Uchawi ni Nguvu.
Kwa vyovyote ambavyo Mtu atatoa tafsiri, ataishia Kusema UCHAWI NI NGUVU.

=> Kila Nguvu Ina Kanuni zake. Bila Kanuni, Kitu chochote kitasita kuendelea
Hata Kula Kuna Kanuni. Kwamfano, Unaweza vipi kuchukua Chakula na Kukishindilia kwenye Njia ya Haja Kubwa 😆 Kisha ukatoa tafsiri kwamba Umekula Chakula?
Hata ukiamini kwamba Umekula, Kama ndivyo Ulivyo fundishwa, kwamba Huko ndiko Kula, Bado Kula huko hakutazaa matunda kwasababu KANUNI ya Ulaji haikuzingatiwa.

=> UMEME PIA NI NGUVU.
Ili Umeme Uzalishwe inapaswa kuwa na vifaa Fulani sambamba na KANUNI ya kuzalisha Umeme na kuendelea kuwaka.
Zipo Kanuni za kukufanya Umeme Usiwe na MADHARA Kwa watumiaji.
Hata kama wewe ni Fundi Mbobezi Kwa mambo ya Umeme, Bado Hauwezi kutumia KAMBA za katani kama Nyaya kuzalisha Umeme.
Kanuni lazima izingatiwe kupata Umeme

=> Sasa, kama unataka kuutumia Umeme Kwa Matumizi Mabaya ya kumdhuru mwingine, hiyo inawezekana.
...... Pengine utauingiza kwenye Maji. . . Lakini, Yeye aliyetegwa atadhurika ikiwa atagusa ama kuingia kwenye Hayo maji.
....... Pengine utauunganisha na chuma Cha Mlangoni ama getini, Hali kadhalika Yeye aliyetegwa atadhurika ikiwa atagusa huo mlango/geti.
Nje ya hapo hawezi kudhurika.
Kwahiyo Nguvu zote zinakanuni.

=> Kujua kwamba Kuna Uchawi ama kuto kujua,haitoshi kumfanya Mtu aweze Kuloga au kulogwa.

=> Kuamini ktk Uchawi ama kutokuamini, , , , Haitoshi kumfanya Mtu Kudhuriwa na wachawi ama kutokudhuliwa nao.
 

Attachments

  • 17395100065847162554509929673813.jpg
    17395100065847162554509929673813.jpg
    211.1 KB · Views: 4
Umekipoteza ila cover lake bado unalo umepiga picha?
Kwenye google photo kuna picha na kurasa kadhaa za Kitabu hicho kwasababu niliwahi kuhojiana na Ndugu Yangu 1 Yupo Korogwe Tanga, Yeye alipendekeza kukisoma kitabu hicho Kwanjia ya WhatsApp.
Napiga Scan picture na kurasa 1,2,3 na kumtumia.
 
Back
Top Bottom