Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Kitabu cha mwanzo na sayansi kuhusu umbo la dunia

Ukipasoma na kupaelewa vizuri utaona akiongea kwamba hatoiangamiza dunia nzima tena kwa mafuriko...Mungu asisingiziwe tu hata ya uwongo.Muda huu tumwombe yamo mengi anaweza kutuletea wepesi
Ule Mwanzo Kifungu cha 9 mstari8------ utakutana na Msemo wa Mungu kuwa hataleta tena mafuriko hadi milele, kitu ambacho si kweli,mafuriko yanaendelea kuja kila mwaka na yanaua watu na kuharibu mali.
Au ule upinde wa mvua nao eti ni alama ya agano hilo, wakati ki sayansi upinde unatokana na refraction of light wakati wa mvua au mawingu.Lakini inasemwa eti ndio alama ya kumkumbusha Mungu asilete tena mafuriko,.
Mbona upinde unatoka na Mungu huyo hakumbuki ,mafuriko kila mwaka??
Kitabu hiki kinatia shaka sana 'Authenticity' yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi hakuna mass hallucinations kama ile ya babeli.. Iliwahi kutokea tu Sodoma na Gomora.. Na siku hizi hatufanyi mambo kwa imani moja kama ilivyokuwa Babeli

Jr[emoji769]
Kwahiyo mkuu unataka kusema secret societies zinazo run dunia illegal ni watu na uovu unaoendeelea duani kote ni watu wachache

Je mji wa Sodoma ulikuwa na watu wangapi mapenzi kinyume na maumbile siku hizi sio kitu cha kustua DUNIANI sembuse mji wa Sodoma
 
mwanzo 11 mastar wa 4
usitake kuniambien wajenz wa babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi ','lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament )wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.
~ turudi kwenye uduara project zinazo endelea dunian na NCHI ni tofauti tofauti kuhus mamb ya space ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza...,','
~KATIKA vitabu ambavo vinasifika kiwa na content ya maaana ni kitabu cha mwanzo
~study questions
Je tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
je wajenz wa babel walikuwa ni wajinga ivo? au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko'" kumbuka mungu ndie alie stopisha ile activity

Nakaribisha mchango wenu wan bodi
Umekuja na maswali mengi mkuu , iweke viuri iyo thread tuje kukupa majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusisubiri utafiti wa wazungu , namna hii tunaweza na sisi tukaja na utafiti wetu wakipekee juu ya huu ulimwengu
 
bible inasema dunia ni flat sayansi imesema ni duara ww unasemaje
vp babel nayo
Kwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.
Ila ukiwa nje ya dunia,utaiona duniani kama tufe na ukweli huu umeongezewa nyama kwenye Qur-an .
Hakuna ukizani kwa hilo na sayansi.
 
Hizi habari za kuwa Adam mtu wa kwanza umezipata wapi?
Nimezipata kutoka Kwa Muuba wa Ulimwengu ndani ya vitabu vya Qur-an Na Biblia pia imeweka taarifa hiyo. Aidha inapatikana hata katika vitabu vya Kihindu.

Je wewe una taarifa isyokuwa hiyo yenye ushahidi wa kitabu katika vitabu vya kale?
 
Kwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.
Ila ukiwa nje ya dunia,utaiona duniani kama tufe na ukweli huu umeongezewa nyama kwenye Qur-an .
Hakuna ukizani kwa hilo na sayansi.
Quraan inasema dunia ni tufe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanao sema baadhi ya maandiko kwenye bible muhandish hakuwa kaingiwa roho mtakatifu 😕😕 hasa kuhusu umbo la dunia lakini dini karibu zote maandiko huhusu umbo la dunia yanafanana na vitabu vingine vimechora na ile dome kabisa.(fuatilia)

Je dini zote hizi waandishi kuhusu umbo la dunia walikuwa hawana roho mtakatifu?

Sijawahi sikia mtumishi yeyote akisoma andiko ilo kwa waumini sasa jijui wanaruka au vipi lakini flat earther wanaspot nabii wa uongo kupitia apoo 😅😅 dunia hii

addition kwa mzee x

Ananiambia mtu akikaribia kukata roho atakacho kisema kishike sana maana pale ufahamu wake unalingana na malaika!!??
sasa katika pita pita kwenye bible maandiko yanasema mtu akifa mbinguni huwa kama malaika yaani (ancestors) hapo vipi
karibuni tena
 
h
Nimezipata kutoka Kwa Muuba wa Ulimwengu ndani ya vitabu vya Qur-an Na Biblia pia imeweka taarifa hiyo. Aidha inapatikana hata katika vitabu vya Kihindu.
Je wewe una taarifa isyokuwa hiyo yenye ushahidi wa kitabu katika vitabu vya kale?
haya mafuvu ya odipai vp au carbon 14 inayumba
 
Kwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.
Ila ukiwa nje ya dunia,utaiona duniani kama tufe na ukweli huu umeongezewa nyama kwenye Qur-an .
Hakuna ukizani kwa hilo na sayansi.
Unauwakika ? pilus of the earth zimo kwenye bible au nazomkwa ukiwa kwa nje zinakuwa tufee?😆😆
 
Back
Top Bottom