Hivi hii "Logic" ina jambo gani jipya ?
Logic imekusaidia kwa lipi kuujua Ukweli,maana naona mnalitumia sana hili neno "Logic".
Ahsante.
Ule Mwanzo Kifungu cha 9 mstari8------ utakutana na Msemo wa Mungu kuwa hataleta tena mafuriko hadi milele, kitu ambacho si kweli,mafuriko yanaendelea kuja kila mwaka na yanaua watu na kuharibu mali.
Au ule upinde wa mvua nao eti ni alama ya agano hilo, wakati ki sayansi upinde unatokana na refraction of light wakati wa mvua au mawingu.Lakini inasemwa eti ndio alama ya kumkumbusha Mungu asilete tena mafuriko,.
Mbona upinde unatoka na Mungu huyo hakumbuki ,mafuriko kila mwaka??
Kitabu hiki kinatia shaka sana 'Authenticity' yake
Bible inasema dunia ni flat sayansi imesema ni duara wewe unasemajeYaani mtu anahoji ukuu wa Mungu kwa msaada wa science.Ni jambo la ajabu na ufahamu mdogo.Maarifa ya science ni ya level ya chini mno.Imani ni level ilio zaidi ya science kwa hali zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mkuu unataka kusema secret societies zinazo run dunia illegal ni watu na uovu unaoendeelea duani kote ni watu wachacheSiku hizi hakuna mass hallucinations kama ile ya babeli.. Iliwahi kutokea tu Sodoma na Gomora.. Na siku hizi hatufanyi mambo kwa imani moja kama ilivyokuwa Babeli
Jr[emoji769]
Umekuja na maswali mengi mkuu , iweke viuri iyo thread tuje kukupa majibumwanzo 11 mastar wa 4
usitake kuniambien wajenz wa babel tower ni wajinga kiasi icho kwamba tujenge mnara ufike mbinguni ambapo ni juu sasa kama dunia ni duara sasa juu wapi ','lakin ukiniambia walitaka waifikie ile dome (filament )wavunje waingine mbinguni kitu kina tiki na kina sound sana.
~ turudi kwenye uduara project zinazo endelea dunian na NCHI ni tofauti tofauti kuhus mamb ya space ukisema wote ni wapotoshaji iyo ni ngumu kumeza...,','
~KATIKA vitabu ambavo vinasifika kiwa na content ya maaana ni kitabu cha mwanzo
~study questions
Je tuseme hatujui kutafsiri maandiko?
Je tuseme andiko hilo haliko sahii bali wanaspace ndio wako sahihi
je wajenz wa babel walikuwa ni wajinga ivo? au kuna kitu' au walikuwa wana mambo yao ambayo ni tofauti na andiko'" kumbuka mungu ndie alie stopisha ile activity
Nakaribisha mchango wenu wan bodi
pa kuanzia ndo hatunaa πππTusisubiri utafiti wa wazungu , namna hii tunaweza na sisi tukaja na utafiti wetu wakipekee juu ya huu ulimwengu
Umekuja na maswali mengi mkuu , iweke viuri iyo thread tuje kukupa majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap, bila ya chenga, mtuwa kwanza ni AdamKwa mujibu ya Quran mtu wa kwanza ni Adam
Je ww mpk karne hii unakubali mtu wa kwanza alikuwa ni Adam?
Wewe wasema, thibitisha kauli yako
Kwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.bible inasema dunia ni flat sayansi imesema ni duara ww unasemaje
vp babel nayo
Hizi habari za kuwa Adam mtu wa kwanza umezipata wapi?Yap, bila ya chenga, mtuwa kwanza ni Adam
Nimezipata kutoka Kwa Muuba wa Ulimwengu ndani ya vitabu vya Qur-an Na Biblia pia imeweka taarifa hiyo. Aidha inapatikana hata katika vitabu vya Kihindu.Hizi habari za kuwa Adam mtu wa kwanza umezipata wapi?
Quraan inasema dunia ni tufe?Kwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.
Ila ukiwa nje ya dunia,utaiona duniani kama tufe na ukweli huu umeongezewa nyama kwenye Qur-an .
Hakuna ukizani kwa hilo na sayansi.
haya mafuvu ya odipai vp au carbon 14 inayumbaNimezipata kutoka Kwa Muuba wa Ulimwengu ndani ya vitabu vya Qur-an Na Biblia pia imeweka taarifa hiyo. Aidha inapatikana hata katika vitabu vya Kihindu.
Je wewe una taarifa isyokuwa hiyo yenye ushahidi wa kitabu katika vitabu vya kale?
Na mauaji... Cain alimuua Abel, Mungu aliangamiza dunia kwa maji enzi za Noah na kwa Moto enzi za Sodom na Gomorrah
Unauwakika ? pilus of the earth zimo kwenye bible au nazomkwa ukiwa kwa nje zinakuwa tufee?ππKwa hapa Bibilia haikukosea,nikweli dunia ni tambarare kwa mtazamo wa pale ulipo,na pia kuna milima na mabonde pia.
Ila ukiwa nje ya dunia,utaiona duniani kama tufe na ukweli huu umeongezewa nyama kwenye Qur-an .
Hakuna ukizani kwa hilo na sayansi.