Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Kaburi lako ulikwisha liandaa?
 
wapi alisema yeye supreme conciuos being anaitwa mwenyezi Mungu
 
kwahiyo unataka kusema hata hiyo supreme conciuos being kwa kuwa ina nidhamu mana ke ina mtengenezaji wake?
 
w
api alisema yeye aitwe au anaitwa mungu
 
Kitabu chako ni objective au subjective?
 
Stop using expired weeds bro🤪🤪🤪
 
Unaandika na kuongea halafu unasema hujasoma hivyo una uhuru wa kuropoka na kujiandikia utakavyo bila kufuata kanuni ya uandishi?

Una tatizo bwashee, kumbuka wasomaji na wasikilizaji ni watu wenye uelewa mkubwa kuliko wewe, so ukishindwa kufuata kanuni za kisomi nenda karopoke chumbani kwa kwako kwa ajili yako peke yako na ujiaandikie mwenyewe.
 
komenti bora kabisa,uzi ufungwe
 
We ndio unamuongezea nguvu kwenye hoja ya mtoa mada kuonesha jinsi gani Mungu hawezi kuwepo
 
Kitabu chako ni objective au subjective?
Kitabu hiki ni moja ya vitabu bora kuwahi kutokea katika kuchalenji imani

Naweza kusema ni objective maana kinatoa facts na siyo kutumia hisia.

Zimekuwepo arguments nyingi za uwepo au kutokuwepo kwa hicho kitu kinachoitwa ulimwengu wa roho na hii ni completely new new materials ambazo hazikuwepo.

Tegemea kushikwa na butwaa
 
We ndio unamuongezea nguvu kwenye hoja ya mtoa mada kuonesha jinsi gani Mungu hawezi kuwepo


Mungu yupo na kuna sababu nyingi za kutibitisha uwepo wake na moja ni hiyo.
 
Mungu yupo na kuna sababu nyingi za kutibitisha uwepo wake na moja ni hiyo.
Labda hizo zingine ambazo hujaziweka pengine zinaweza zikawa na nafuu ila sio kwa hoja hiyo uliyoiweka
 
Hapa hatuandiki kiarabu bali Kiswahili
 
OK sawa basi kwa mtazamo huo hatuwezi kuwa na mjadala kati yetu
 
Lakini amesema hajasomea utaalamu wa lugha, au mimi sijamuelewa?
 
OK sawa basi kwa mtazamo huo hatuwezi kuwa na mjadala kati yetu
😳😳😳 kiongozi unataka kutunyima uhondo wa 'nondo' kwasababu tu ya unayebishana nae kutokuwa mtaalamu wa lugha?!!!!! Yaani masuala sijui ya 'capital and small letters, question marks, colon, semi colon, apostrophe' n.k ndiyo yakufungishe mjadala?!!!!

Nakusihi jikite kwenye kueleweka au kutokueleweka kwake kwenye anachoongea; usitunyime uhondo sisi wengine tunaojifunza kuzungumza kimantiki!
 
Hivyo vitu ndio vinatengeneza maana kusudiwa na ndio maana hata wewe umevitumia ..Alama moja ndogo sana inaweza kubadili kila kitu..
Angalia umuhimu wa hizo alama kwenye maandishi kwa kusoma mfano huu.. Huyu jamaa alinusurika kifo kisa tu matumizi ya alama ya mkato

Hakimu kwenye hukumu yake alihitimisha kwa kuandika
Hang him not, let him go!
Kumbe alitaka kumaanisha
Hang him, not let him go!

Tunafeli katika maisha kwa kudharau vitu vidogo vidogo kama hivi kumbe ndio vinatengeneza tafsiri kusudiwa.. Kama mtu si mtaalam wa lugha imanaanisha basi huyo hajaelimika ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…