Kitabu cha "ushahidi kuwa Mungu hayupo na uchawi haupo" kiko njiani

Aisee!!!🙏🙏🙏
 
Karne ya 21 mtu anaandika upuuzi
 
katika watu wanaosoma kwa kukariri ni waislamu.haiitaji utafiti fungua katikati ya msahafu nenda madrasa mpe kijana atakusomea kama anakunywa maji mwambie sasa akwambie maana yake nini hajui
Watoto hao ndio hukaririshwa Qur-an,
wakikua hufunzwa tafsiri.
Ila kama wametoroka chuo ndio hubaki na Kuimba tuu .
 
Watoto hao ndio hukaririshwa Qur-an,
wakikua hufunzwa tafsiri.
Ila kama wametoroka chuo ndio hubaki na Kuimba tuu .
sio kweli leo hii isomwe quran msikitini halafu mlete njemba yoyote ya kislam mwambiue akutafsirie hajue lolote na anaswali kila siku na kila sura anasoma
 
ukimaliza kuandika tunakupiga juju alafu na dua tunakuombea mungu anakuponya

 
Mungu yupo. ila sio Mungu ambaye ambaye wakristo ,waislamu na dini za magharibi. Shetani yupo lakn sio kama ninavyo muelezea, Uchawi upo lakn. sio kama wanavyotelezea. Uchawi ni sana isiyotumia maarifa kisayansi. Mungu upendo, haki na usawa .Love,Rightness and Equlity( world balance and Equilibrium). Usirudie tena kusema Mungu Mungu hayupo. Naenda wanaabudu Jua,Mwezi , Nyota, Image(sanamu,wapo wanao Abdullah Ng'ombe,
sana wewe unaposema.Mungu hasupo unashsngaza.
 
Labda kama unaandika helanya za Abunuasi. Ukweli Mungu yupo na uchawi upo!
 
Baada ya kushiba,unaweka toothpick kinywani unachokoa meno mara paaap unapata wazo la kuandika kitabu.

Kitabu chenyewe sasa,,,,,

Yaaan wewe Mbupu kweli kweli,,,aya nenda kashibe makande tena.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Lakini amesema hajasomea utaalamu wa lugha, au mimi sijamuelewa?
Alielekea kusema hivyo baada ya kukosolewa kuhusu matumizi ya neno Mungu & mungu, maana aliandika mungu akimaanisha Mungu hivyo akajitangaza kuwa yeye ni kilaza tu hajui tofauti ya hayo majina, ndipo akajitetea kuwa yeye si mtaalam wa lugha 😂
 
OK sawa basi kwa mtazamo huo hatuwezi kuwa na mjadala kati yetu
umesema vyema kwa maana haya si mashindano ya lugha bali hoja.

nimejaribu kutafuta historia ya watu waliowahi kuleta mapinduzi ya kifikra katika ulimwengu wa sayansi na wengi hawakuwa watu waliokalili yale ya kufundishwa.

najiandaa kuishangaza dunia
 


Unajua hata watu wanaokula nyama za watu wanaishangaza dunia!!
 
Nimelitoa kutoka kwa mleta mada, hebu angalia kichwa chake cha ha

Kaburi lako ulikwisha liandaa?
Tatizo kubwa la imani ni kwamba zimejilinda kwa kutumia "blackmails"watu wanatishwa.

ukifuatilia tangu kale, ilikuwa ni ngumu kwa mtu yeyote kuzisema vibaya imani zao kwenye jamii. ukija kwenye imani za kisasa wanadamu wamejengewa utamaduni wa kusikiliza tu na si kuhoji katika imani. na ukiuliza maswali magumu kuhusu mungu utaambiwa unakufuru.


kama tunataka kujua ukweli juu ya imani, tunatakiwa kushinda woga kwanza.
 


Kutishwa na kupewa faraja ni vitendo vinavyomjenga mtu kihulka (morally) ili mtu aweze kumjua na kumtambua Mungu aliyempatia neema na rehema bila ya yeye mtu kuziomba, ubongo unaofikiri ni neema aliyokupa Mungu pasina wewe kumuomba, Mungu alimpatia mtu ubongo unaofanya kazi katika discipline maalumu aliyoipanga Mungu mwenyewe, mtu kinyume chake badala ya kumkumbuka Yule aliyempa huo ubongo yeye anamkanusha kwa kutumia akili itokayo katika huo ubongo ambao alipewa na huyo huyo Mungu, akili inayotoka kwenye ubongo uliokuwa disciplined na huyoasa lazima utambue mtu hamjui Mungu kwa vitisho tu hata kwa faraja mtu anaweza kumkumbuka na kumjua Mungu, mfano mwanao anapofanya kosa sio kila kosa unatakiwa umchape, laaa bali kuna makosa mengine unatakiwa umfariji tu ili asirudie tena.
 
Right View is very important. Kusema hakuna uchawi siyo Right View kuhusu uchawi.
Unachotakiwa kuamini ni kwamba uchawi labda upo au labda haupo.
Kwamba,kama hakuna uchawi,watu wanaofanya uchawi haupo ,watu wanaofanya uchawi wanapoteza muda wao. Kama upo uchawi watu waelewe wakimdhuru mtu kwa uchawi KWA SABABU YOYOTE,wataadhibiwa.
Lakini kabla hujasema hakuna uchawi ni bora utafute kufahamu kuhusu mantra, mudra na mandala.
Au labda usome vajrabhairava tantras.
Hapo nadhani I have misrepresented the Great Beings kuhusu maoni ya kuhusu Right View.
Right View Ina vipengele viwili.
1. Kwanza lazima uamini kuhusu karma. Kuamini kuhusu karma maana yake Ni kuamini kwamba uovu unaadhibiwa na wema unazawadiwa.
2
Kuamini kwamba ndumba zipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…