Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

mkuu hadi leo bado una hivyo vitabu?
 
Power of positive think ktb kzr sna pia kina audio yke iko youtube kuna principles nzur sna mojawapo iliongelewa sna ni kupractise daily silent na kuemptying ur mind kabla hujalala
 
Nilitaka kuweka kitabu kilichobadiri namna yangu ya kufikiri but nimepitia michango ya wenzangu wengi humu na kujifunza kitu hiki, "over 75% ya vitabu vilivyotajwa na wenzangu wengi ni vya kingereza na waandishi wake wengi kama sio wazungu basi ni watu wa nje ya nchi" point to learn, "Watanzania hatuandiki vitabu".

Kwa Wakristo, ni rahisi sana kuijua historia ya Renhad Bonnke, Morice Celulo, Papa John Paul nk but ni ngumu sana kuijua historia ya Zakaria Kakobe, Moses Kulola, Kadinary Pengo nk. Tuanzie hapo kubadirika, let us also write
 
bigup broo, ill find it
 
its point, but how can we change? i think its our nature and changes will remain as plans with no action. how can we change????
 
Maandiko matakatifu, yaani Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia

Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia

Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia
Biblia


Nimesoma mwenyewe na ninaendelea kusoma, na wengine nimewaona waliosoma na wanaendelea kusoma
 
Kitabu cha maajabu,chabadili mtizamo wako wa maisha milele.
Jaribu kutafuta na kusoma STEP TO CHRIST au Ka-goole kwa tightle ,waweza kukisom mtandaoni.
 
Tafuta : WHO MOVED MY CHEESE , Na ukisome na utaniambia kama utabaki kama ulivyokuwa, ni zaidi ya kitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…