QUR AN
QUR-AN ni kitabu chenye sifa ambazo vitabu vingine vyote duniani havina.
ni ktabu kidogo chenye maandishi machache na chenye maana pana kuliko kitabu chochote ulimwenguni.
yeyote atakaye jifunza QUR-AN na akaifuata ataishi vizuri hapa duniani na kesho akhera
SIFA ZA QUR-AN
1. Ni kitabu peke ambacho hakibadilishwi wala hakibadilishiki
2. Ni kitabu pekee ambacho kinasomeka kwa lugha moja tu.
3. Ni kitabu pekee ambacho kinahifadhiwa kichwani na watu.
4. Ni kitabu kepee ambacho kimefafanua kwa ufasaha maisha yaliyopita na ya sasa na yajayo.
5. Ni kitabu pekee chenye sura inayomzungumzia maisha ya mwanamke anavyotakiwa kuishi.
Yapo mengi tosheka na hayo
1. Nimejifunza kupitia QUR-AN kwamba chimbuko la Sayansi ni QUR-AN.
QUR-AN imezungumzia uumbwaji wa dunia karne ya saba, katafute kwenye vitabu vyako vyote ma prophesa waligundua sayansi mwaka gani? utapata jibu.
2. Nime jifunza kupitia QUR-AN kwamba sisi wanaadamu ndio viongozi wa hii dunia, uwezo tuliokuanao wanaadabu majinni hawaufikii hata robo.
Tosheka na hayo ukitaka kujua zaidi kuhusu QUR-AN tafuta waalimu wakufundishe.