Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Kitabu gani ambacho kimewahi kubadilisha maisha yako na unatamani wengine tukisome?

Profile of The Perfect Person is my current read, sijafika mwisho but this book is the Eishhh!!!!
Unlike books about how to get rich, this teaches you how to control your desires....

516iHKKnztL._SX322_BO1,204,203,200_.jpg
 
QUR AN

QUR-AN ni kitabu chenye sifa ambazo vitabu vingine vyote duniani havina.
ni ktabu kidogo chenye maandishi machache na chenye maana pana kuliko kitabu chochote ulimwenguni.
yeyote atakaye jifunza QUR-AN na akaifuata ataishi vizuri hapa duniani na kesho akhera
SIFA ZA QUR-AN
1. Ni kitabu peke ambacho hakibadilishwi wala hakibadilishiki
2. Ni kitabu pekee ambacho kinasomeka kwa lugha moja tu.
3. Ni kitabu pekee ambacho kinahifadhiwa kichwani na watu.
4. Ni kitabu kepee ambacho kimefafanua kwa ufasaha maisha yaliyopita na ya sasa na yajayo.
5. Ni kitabu pekee chenye sura inayomzungumzia maisha ya mwanamke anavyotakiwa kuishi.
Yapo mengi tosheka na hayo

1. Nimejifunza kupitia QUR-AN kwamba chimbuko la Sayansi ni QUR-AN.
QUR-AN imezungumzia uumbwaji wa dunia karne ya saba, katafute kwenye vitabu vyako vyote ma prophesa waligundua sayansi mwaka gani? utapata jibu.
2. Nime jifunza kupitia QUR-AN kwamba sisi wanaadamu ndio viongozi wa hii dunia, uwezo tuliokuanao wanaadabu majinni hawaufikii hata robo.
Tosheka na hayo ukitaka kujua zaidi kuhusu QUR-AN tafuta waalimu wakufundishe.







Naomba niwasiliane nawewe..., ww ni ndg angu ktk iiman.
f/b, twter na insta..napatkana kwa jina la Kareem Lungu au
e-mail Kareemlungu@gmail.com. Naomba tuwasiliane
 
The Magic of Thinking BIG-David J. Schwartz
Kitabu hiki kimebadili maisha yangu kuanzia mtazamo na utendaji wangu kazi. Kama kinavyoitwa The Magic of thinking BIG kinasihi kujiwekea malengo makubwa na kujiongeza kwa yote yaliyo mazuri, na kufanya mambo kwa UKUBWA na si tu ukubwa bali weledi pia(excellence)
 
1. The Spiritual Man (Watchman Nee)
2. Normal Christian Life (Watchman Nee)
3. He Came to Set the Captives Free (Rebecca Brown MD)

For everyone that desires to experience God and the Spirit world I strongly recommend these books.
 
Seeds of conflicts
KBG
Lengo la kuunbwa
Deep Thinking- author harun yahya
For man of understanding - author harun yahya
Qabasat - kamal rizk
Islam the misunderstood religion by maudud
 
Back
Top Bottom