Muonja asali analalamika kwa kutaka mtoto wake ndio awe yeye wakati huyo mwanae hata uwezo hana pamoja na huyu mwenzake muuza ngada wote hawana uwezo baba zao ndio wanalazimisha watoto wao lazima wawe vinara tupende tusipendeEndelea kujidanganya,hiyo ndoto inakuhusu wewe kuwa hautofika ukiwa hai 2025, take it from me 100%✓
Membe, Waziri wa mambo ya njeFungua code zaidi Malcom, hapa Bado Kuna maeneo sijawaelewa Vizuri.. turtle bay? Recrato amehusishwa na stronghold, huyo wa Tosa hakuwepo stronghold.
Titre value zake ni kiboko...Huoni rangi ikija wala harufu😂Hakuna kitu kina kera kama "partial derivative" zenye "complex functions"!
====
Mleta mada kajipanga.
Usponsor umejaa uncertainties timing za Kutosha sasa ukijikuta uko Circled na Ndugu zangu wachunga Ngombe lazima tu kichwa kisepe, Ila pia ushawishi kwenye izo entities ni Muhimu sana mimi nimegoma kuamini Rais ambaye ni Full Civilian anaweza kutawala kwa Ubabe hio Haipo.Jambo moja la dhahiri ni kwamba idara za usalama ziko very powerful kuliko sponser wao na hii ipo hivyo pote duniani kama sponsor ukionyesha kuzingua idara hizi zina idara ya ndani ambayo ndio ALFA NA OMEGA hawa ndio wanao mnyamazisha sponser milele akionyesha kukiuka misingi ya taifa. CORE STATE VALUES. fanya ufanyavyo ukiwa sponsor kuna mstari huwezi kuvuka utakuwa muted tu ikibidi forever. Mifano michache ni john kenedy Yitzhak rabin hata yule mzee wa zanzibar aliepigwa detention kigamboni. Japo walimbakizia oksjen yake. Kwahiyo madaraka ya usponser ni matamu lakini yana watu wanaomu oversee sponsor akizingua wanakula kichwa bila taharuki ya uma nyie mtaambiwa ni presha kumbe ni IDARA NDANI YA IDARA. Michael sata wa zambia nae alikuwa muted baada ya kugundulika ni mtanzania piwa. IDARA NI NYOKO hao watu hawana urafiki na kima wao wanaangalia continuity na safety ya STATE NATION NA COUNTY .
Kama ndio wenyewe hao uliowataja basi naweza nikahisi hao wanaojiita the state.The clinic mkapa aliandika kwenye Kitabu chake kwamba ni pale msasani kwa mwalimu.
Kama hiyo ni sahihi basi ngoja niweke makisio yangu.
Stronghold ndio ngome?
Aliyenyoosha mikono sio Imran kweli?
Mkubwa kwa kukaimu hawezi kuwa Mahiga?
Huyo aliyerudishwa akawa namba mbili halafu tena akawa mkubwa bila nafasi ya juu sio Kiwelu? Nakumbuka huyu alirudi bila kutegemewa miaka ile na kuwa CoS.
Kama hii ndio basi ni taasisi ndani ya taasisi.
Inawezekana Mkuu.Kama ndio wenyewe hao uliowataja basi naweza nikahisi hao wanaojiita the state.
Huo mfumo ndio unaanza kujengwa na namna bora ya Muungano.Mimi kwangu sijali sana idadi ya serikali, napenda nchi iwe na mifumo imara, haki sawa kwa kila raia na kufuata sheria.
Muungano wa kweli ni serikali moja. Ilitakiwa wote tuwe kitu kimoja, yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake. Mwananchi wa kawaida anahitaji uhakika wa kushiriki katika kujenga uchumi wake na wa taifa katika hali ya utulivu na amani. Haya masuala ya serikali zaidi ya moja ni uchu wa vyeo kwa watawala.Huo mfumo ndio unaanza kujengwa na namna bora ya Muungano.
Kwahiyo the late nae hakuwa full civilian na ubabe ule?Usponsor umejaa uncertainties timing za Kutosha sasa ukijikuta uko Circled na Ndugu zangu wachunga Ngombe lazima tu kichwa kisepe, Ila pia ushawishi kwenye izo entities ni Muhimu sana mimi nimegoma kuamini Rais ambaye ni Full Civilian anaweza kutawala kwa Ubabe hio Haipo.
Unaweza ukawa sahihi hasa ulipomuongelea Chief of Station KiweluThe clinic mkapa aliandika kwenye Kitabu chake kwamba ni pale msasani kwa mwalimu.
Kama hiyo ni sahihi basi ngoja niweke makisio yangu.
Stronghold ndio ngome?
Aliyenyoosha mikono sio Imran kweli?
Mkubwa kwa kukaimu hawezi kuwa Mahiga?
Huyo aliyerudishwa akawa namba mbili halafu tena akawa mkubwa bila nafasi ya juu sio Kiwelu? Nakumbuka huyu alirudi bila kutegemewa miaka ile na kuwa CoS.
Kama hii ndio basi ni taasisi ndani ya taasisi.
Inawezekana ila ilikuwa ni chief of station au staff? nimeshasahau.Unaweza ukawa sahihi hasa ulipomuongelea Chief of Station Kiwelu
Pengine swali ni kwamba aliishia wapi na ubabe? Pia ninaamini hakuwahi kukaa na wazoefu wampe mbinu za kile kiti. Yeye alijiona anajua kila kitu na yuko juu ya kila mtu. Inataka akili iliyotulia sana kushikilia kile kiti na kubalance mambo.Kwahiyo the late nae hakuwa full civilian na ubabe ule?
Mkuu nisome Vizuri, The late was Full CivilianKwahiyo the late nae hakuwa full civilian na ubabe ule?
yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake.Muungano wa kweli ni serikali moja. Ilitakiwa wote tuwe kitu kimoja, yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake. Mwananchi wa kawaida anahitaji uhakika wa kushiriki katika kujenga uchumi wake na wa taifa katika hali ya utulivu na amani. Haya masuala ya serikali zaidi ya moja ni uchu wa vyeo kwa watawala.
Kitabu kinasema zibaki mbili kama zilivyo Sasa maana ya katiba sijui itakuwaje!!changamoto zitakuwa zile zile!!yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake.
Kwani ilikuwa ruhusa au makubaliano? au kulikuwa na bwana na mtwana wakati wa kuungana?