Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Endelea kujidanganya,hiyo ndoto inakuhusu wewe kuwa hautofika ukiwa hai 2025, take it from me 100%✓
Muonja asali analalamika kwa kutaka mtoto wake ndio awe yeye wakati huyo mwanae hata uwezo hana pamoja na huyu mwenzake muuza ngada wote hawana uwezo baba zao ndio wanalazimisha watoto wao lazima wawe vinara tupende tusipende
 
Mleta mada aliokota kijikaratasi au note book yaliyoandikwa Mambo ya zamani yanayohusu watu wa zamani akaja kuturingishia hapa.
Haya ni Mambo ya zamani yaliyopitwa na wakati na watu wake.
Kinachowapa watu matumaini ni hiyo tafsiri ya katiba mpya na zamani wakati yalitamkwa maneno haya kabla ya katiba ya Jaji Warioba.
 
Jambo moja la dhahiri ni kwamba idara za usalama ziko very powerful kuliko sponser wao na hii ipo hivyo pote duniani kama sponsor ukionyesha kuzingua idara hizi zina idara ya ndani ambayo ndio ALFA NA OMEGA hawa ndio wanao mnyamazisha sponser milele akionyesha kukiuka misingi ya taifa. CORE STATE VALUES. fanya ufanyavyo ukiwa sponsor kuna mstari huwezi kuvuka utakuwa muted tu ikibidi forever. Mifano michache ni john kenedy Yitzhak rabin hata yule mzee wa zanzibar aliepigwa detention kigamboni. Japo walimbakizia oksjen yake. Kwahiyo madaraka ya usponser ni matamu lakini yana watu wanaomu oversee sponsor akizingua wanakula kichwa bila taharuki ya uma nyie mtaambiwa ni presha kumbe ni IDARA NDANI YA IDARA. Michael sata wa zambia nae alikuwa muted baada ya kugundulika ni mtanzania piwa. IDARA NI NYOKO hao watu hawana urafiki na kima wao wanaangalia continuity na safety ya STATE NATION NA COUNTY .
Usponsor umejaa uncertainties timing za Kutosha sasa ukijikuta uko Circled na Ndugu zangu wachunga Ngombe lazima tu kichwa kisepe, Ila pia ushawishi kwenye izo entities ni Muhimu sana mimi nimegoma kuamini Rais ambaye ni Full Civilian anaweza kutawala kwa Ubabe hio Haipo.
 
Bado kuwa ni Mifumo ya Check and Balance ni Muhimu sana ili linapokuja swala la nani wa Kumfunga paka Kengele, Liwezekane
 
The clinic mkapa aliandika kwenye Kitabu chake kwamba ni pale msasani kwa mwalimu.

Kama hiyo ni sahihi basi ngoja niweke makisio yangu.

Stronghold ndio ngome?

Aliyenyoosha mikono sio Imran kweli?

Mkubwa kwa kukaimu hawezi kuwa Mahiga?

Huyo aliyerudishwa akawa namba mbili halafu tena akawa mkubwa bila nafasi ya juu sio Kiwelu? Nakumbuka huyu alirudi bila kutegemewa miaka ile na kuwa CoS.

Kama hii ndio basi ni taasisi ndani ya taasisi.
Kama ndio wenyewe hao uliowataja basi naweza nikahisi hao wanaojiita the state.
 
Huo mfumo ndio unaanza kujengwa na namna bora ya Muungano.
Muungano wa kweli ni serikali moja. Ilitakiwa wote tuwe kitu kimoja, yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake. Mwananchi wa kawaida anahitaji uhakika wa kushiriki katika kujenga uchumi wake na wa taifa katika hali ya utulivu na amani. Haya masuala ya serikali zaidi ya moja ni uchu wa vyeo kwa watawala.
 
Usponsor umejaa uncertainties timing za Kutosha sasa ukijikuta uko Circled na Ndugu zangu wachunga Ngombe lazima tu kichwa kisepe, Ila pia ushawishi kwenye izo entities ni Muhimu sana mimi nimegoma kuamini Rais ambaye ni Full Civilian anaweza kutawala kwa Ubabe hio Haipo.
Kwahiyo the late nae hakuwa full civilian na ubabe ule?
 
The clinic mkapa aliandika kwenye Kitabu chake kwamba ni pale msasani kwa mwalimu.

Kama hiyo ni sahihi basi ngoja niweke makisio yangu.

Stronghold ndio ngome?

Aliyenyoosha mikono sio Imran kweli?

Mkubwa kwa kukaimu hawezi kuwa Mahiga?

Huyo aliyerudishwa akawa namba mbili halafu tena akawa mkubwa bila nafasi ya juu sio Kiwelu? Nakumbuka huyu alirudi bila kutegemewa miaka ile na kuwa CoS.

Kama hii ndio basi ni taasisi ndani ya taasisi.
Unaweza ukawa sahihi hasa ulipomuongelea Chief of Station Kiwelu
 
Hii imenifanya nijione uwezo wangu upo chini sana, bila bila yaani!😇
 
Muungano wa kweli ni serikali moja. Ilitakiwa wote tuwe kitu kimoja, yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake. Mwananchi wa kawaida anahitaji uhakika wa kushiriki katika kujenga uchumi wake na wa taifa katika hali ya utulivu na amani. Haya masuala ya serikali zaidi ya moja ni uchu wa vyeo kwa watawala.
yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake.
Kwani ilikuwa ruhusa au makubaliano? au kulikuwa na bwana na mtwana wakati wa kuungana?
 
yalifanyika makosa kuruhusu Zanzibar kubaki na utambilisho wake.
Kwani ilikuwa ruhusa au makubaliano? au kulikuwa na bwana na mtwana wakati wa kuungana?
Kitabu kinasema zibaki mbili kama zilivyo Sasa maana ya katiba sijui itakuwaje!!changamoto zitakuwa zile zile!!
 
Back
Top Bottom