Chuma MG14
Member
- May 12, 2018
- 72
- 79
Tunaona mwaka 2020. Aliwah kuandika tena neno NEXT STAGE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Hatari sana.Aliwah kusema kuwa mama ni mpitaji tu yupo atakae kuja kuishika vema nchi.
Ni mwaka 2020 tena may kbla ya uchaguzi kabla ya kifo cha CHUMA kabla ya mpango kuwa namba 2. Kabla ya kila kitu alijua haya
View attachment 3094165
Unaamin hivyo mkuu..?? Wacha muda utupe mudaHamna kitu hapo ...alishapotezwa kwenye system na maza
Kwani yeye ni kwa kiasi gani hahusiki na utekaji?“code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."
Original plan ilikua FDR na hesabu ya miaka 12 kujirudia kwetu. Mtu mpole, smart, intelligent na mwenye uwezo.
Next stage is on, lbd kupata sababu za kumpt mwingine au aliyekusudiwa hivyo kuanza kuratibu mipango huwenda kumgombanisha na wapiga kura au lbd ndio haya ya kutekana na kuuwana ili raia wasimsikilize kbsa au maandamano yanayopangwa kufanyik ili kuweka pressure sn.
Desert mission, jangwa ni sehem yenye mchanga isiyo na miti. Lbd ndio hasa ya kukata miti(kuteka na kuua) ili kuleta pressure ya raia kureact against gavo.. ili wapate mwanya wa kukamilisha original plan..??
Hatahivyo it’s above my paycheck
Kwani yeye ni kwa kiasi gani hahusiki na utekaji?
Kama hahusiki na utekaji na mauaji je ni kwa kiasi gani ameonyesha kukerwa nao?
Je wateule wake amewawajibisha kwa kiasi gani?
Je ametoa hotuba yoyote ya kukemea au wenye kufanya huu unyama?
Kama sivyo basi atakuwa hatengenezewi mazingira na mtu ila ni yeye mwenyewe anajitengenezea mazingira ya kujichafua imagine yake ndani na nje ya nchi.
Aiseee hatari, I ila hizi kete nahisi zinaumiza upande ambao kwa wachezaji wa kete hawaumii, Iaiti kete zingekuwa zinahusika na kwa kampuni ya Green nao kutekwa tungeona kuna watu wako serious hasa na kumaliza mechi...Kuna kete ngumu sana zinasogezwa yeye mwenyewe kwa kujua na kuna kete ngumu zaidi zinasogezwa bila kujua nani anasogeza.
Baada ya watoto pendwa kutenguliwa mwezi uliopita wiki moja baadae makamu wake kichama akajivua wadhifa, from there ni mipango after mipango na kete zinasogezwa pole pole tu, nani atamuwahi mwenzake?? Nani atawahi kufika kingi??
Yale yote aliyoyapinga aliposhika hatamu, ndio yale yote aliyoyakataza late CEO na ndio anayafanya yeye pia sasa hivi. Yeyote atakayempinga ama zake ama za mpingaji. Tengua tengua hizi ni maandalizi ya kukabiliana na 2025,
Alikuwa chini ya uongozi inayoongoza nchi nje ya kitabu, kama binadamu wengine uvumilivu ukifika mwisho hakuna wa kuzuia shari ya mtu huyu kirahisi hasa akiwa na mamlaka makubwa au mwenye pesa nyingi.
Wale wafugaji walioandamana masikuu huko nyuma (Kete Ngumu)
Utekaji wa watu mashuuri na vifo vyao (Kete Ngumu)
Changamoto za SGR (Kete Ngumu)
Waropokoji kuhusu hali ya october, 2022, ukianza na Pena kabla ya kutenguliwa kuhusu namna chaguzi zinavyofanyika (Kete Ngumu), mkuu wa wilaya yule wanapotoka wafugaji (Kete Ngumu)
Ni mambo yanatokea kwa mfumo wa bahati mbaya ila behind the scene hakuna bahati mbaya.
Ukitazama matukio haya hajitokezi hadhari kuzungumzia, Kwa nini?? Alijifunza kwa late CEO, haina haja ya kunufaisha maadui hata kama wanakuumiza dawa na kulilia chumbani, ili wasione kama wamekugusa.
Kete zinasogezwa kwa pande zote mbili, NANI ATAWAHI KUINGIA KINGI”,.
Aiseee hatari, I ila hizi kete nahisi zinaumiza upande ambao kwa wachezaji wa kete hawaumii, Iaiti kete zingekuwa zinahusika na kwa kampuni ya Green nao kutekwa tungeona kuna watu wako serious hasa na kumaliza mechi...
Aiseee,Kwenye mchakato hakuna anayeumia baina ya pande mbili hizi kwa ngazi za juu, ila baada ya mchakato kuna maumivu makali sana kwa upande utakaoshindwa.
Umewahi kukutana aliyewahi kumiliki mali nyingi akafilisika hali yake iko vipi? Hivi ndivyo atakayechelewa kuingia kingi ataumia.
Kwenye mchakato wasioelewa hali ndio wataumia, baada ya mchakato kwisha wakuu wa juu ndio wakati wao.
Ukiona Huelewi kabisa Ujue wewe sio Mhusika wa Mafumbo hayoHivi kila mtu akiandika mifumbo humu tutaelewana why mtu uandike mifumbo
tukianza kuvuta bangi kule inapowakia mbona kila mtu atakuwa anatililika mafumbo kama mweka mada tu!.Hivi kila mtu akiandika mifumbo humu tutaelewana why mtu uandike mifumbo
Lini??Katiba mpya iliyoanza kuandikwa 2014 kumaliziwa.
Summary.