Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Kitabu kilichoanza kuandikwa kisha kikaachwa kitamaliziwa katika hesabu hii

Tunaona mwaka 2020. Aliwah kuandika tena neno NEXT STAGE
IMG_3421.png
 
Ni bora sasa haya mambo yakawa tu kupanguana kisiasa isiwe tena vifo vya viongozi. Ni hatari sana kwa utulivu wa nchi kwasbb wanasiasa mara zote n waroho sana hawataona shida kutafuta upenyo kweny haya.

Vyovyote iwavyo TUMIA AKILI amekua km macho yetu ya kesho kwenye uongozi wa taifa letu. Sijui ni nani huyu mtu
 
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani." Ingawa haipo, itahakikisha kwamba hakuna atakayeharibu.

Ujumbe wa msingi hapa ni huu

"miaka miwili ijayo sitaendelea tena, mnatakiwa kusimamia ogani."

Inamaan 2025 ataachia wengine au ndio FDR atakuja na miaka 12. Au raisi ambaye hajawah kugombea umakamu na uraisi neema inamwangukia kuwa raisi..??

Je ni mwaka huu 2024? Kwasbb alisema miaka miwili ijayo sitaendelea au anaachia tu 2025..??
 
“code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Original plan ilikua FDR na hesabu ya miaka 12 kujirudia kwetu. Mtu mpole, smart, intelligent na mwenye uwezo.

Next stage is on, lbd kupata sababu za kumpt mwingine au aliyekusudiwa hivyo kuanza kuratibu mipango huwenda kumgombanisha na wapiga kura au lbd ndio haya ya kutekana na kuuwana ili raia wasimsikilize kbsa au maandamano yanayopangwa kufanyik ili kuweka pressure sn.

Desert mission, jangwa ni sehem yenye mchanga isiyo na miti. Lbd ndio hasa ya kukata miti(kuteka na kuua) ili kuleta pressure ya raia kureact against gavo.. ili wapate mwanya wa kukamilisha original plan..??

Hatahivyo it’s above my paycheck
Kwani yeye ni kwa kiasi gani hahusiki na utekaji?

Kama hahusiki na utekaji na mauaji je ni kwa kiasi gani ameonyesha kukerwa nao?

Je wateule wake amewawajibisha kwa kiasi gani?

Je ametoa hotuba yoyote ya kukemea au wenye kufanya huu unyama?

Kama sivyo basi atakuwa hatengenezewi mazingira na mtu ila ni yeye mwenyewe anajitengenezea mazingira ya kujichafua imagine yake ndani na nje ya nchi.
 
Kwani yeye ni kwa kiasi gani hahusiki na utekaji?

Kama hahusiki na utekaji na mauaji je ni kwa kiasi gani ameonyesha kukerwa nao?

Je wateule wake amewawajibisha kwa kiasi gani?

Je ametoa hotuba yoyote ya kukemea au wenye kufanya huu unyama?

Kama sivyo basi atakuwa hatengenezewi mazingira na mtu ila ni yeye mwenyewe anajitengenezea mazingira ya kujichafua imagine yake ndani na nje ya nchi.

Kuna kete ngumu sana zinasogezwa yeye mwenyewe kwa kujua na kuna kete ngumu zaidi zinasogezwa bila kujua nani anasogeza.

Baada ya watoto pendwa kutenguliwa mwezi uliopita wiki moja baadae makamu wake kichama akajivua wadhifa, from there ni mipango after mipango na kete zinasogezwa pole pole tu, nani atamuwahi mwenzake?? Nani atawahi kufika kingi??

Yale yote aliyoyapinga aliposhika hatamu, ndio yale yote aliyoyakataza late CEO na ndio anayafanya yeye pia sasa hivi. Yeyote atakayempinga ama zake ama za mpingaji. Tengua tengua hizi ni maandalizi ya kukabiliana na 2025,

Alikuwa chini ya uongozi inayoongoza nchi nje ya kitabu, kama binadamu wengine uvumilivu ukifika mwisho hakuna wa kuzuia shari ya mtu huyu kirahisi hasa akiwa na mamlaka makubwa au mwenye pesa nyingi.

Wale wafugaji walioandamana masikuu huko nyuma (Kete Ngumu)

Utekaji wa watu mashuuri na vifo vyao (Kete Ngumu)

Changamoto za SGR (Kete Ngumu)

Waropokoji kuhusu hali ya october, 2022, ukianza na Pena kabla ya kutenguliwa kuhusu namna chaguzi zinavyofanyika (Kete Ngumu), mkuu wa wilaya yule wanapotoka wafugaji (Kete Ngumu)

Ni mambo yanatokea kwa mfumo wa bahati mbaya ila behind the scene hakuna bahati mbaya.

Ukitazama matukio haya hajitokezi hadhari kuzungumzia, Kwa nini?? Alijifunza kwa late CEO, haina haja ya kunufaisha maadui hata kama wanakuumiza dawa na kulilia chumbani, ili wasione kama wamekugusa.

Kete zinasogezwa kwa pande zote mbili, NANI ATAWAHI KUINGIA KINGI”,.
 
Kuna kete ngumu sana zinasogezwa yeye mwenyewe kwa kujua na kuna kete ngumu zaidi zinasogezwa bila kujua nani anasogeza.

Baada ya watoto pendwa kutenguliwa mwezi uliopita wiki moja baadae makamu wake kichama akajivua wadhifa, from there ni mipango after mipango na kete zinasogezwa pole pole tu, nani atamuwahi mwenzake?? Nani atawahi kufika kingi??

Yale yote aliyoyapinga aliposhika hatamu, ndio yale yote aliyoyakataza late CEO na ndio anayafanya yeye pia sasa hivi. Yeyote atakayempinga ama zake ama za mpingaji. Tengua tengua hizi ni maandalizi ya kukabiliana na 2025,

Alikuwa chini ya uongozi inayoongoza nchi nje ya kitabu, kama binadamu wengine uvumilivu ukifika mwisho hakuna wa kuzuia shari ya mtu huyu kirahisi hasa akiwa na mamlaka makubwa au mwenye pesa nyingi.

Wale wafugaji walioandamana masikuu huko nyuma (Kete Ngumu)

Utekaji wa watu mashuuri na vifo vyao (Kete Ngumu)

Changamoto za SGR (Kete Ngumu)

Waropokoji kuhusu hali ya october, 2022, ukianza na Pena kabla ya kutenguliwa kuhusu namna chaguzi zinavyofanyika (Kete Ngumu), mkuu wa wilaya yule wanapotoka wafugaji (Kete Ngumu)

Ni mambo yanatokea kwa mfumo wa bahati mbaya ila behind the scene hakuna bahati mbaya.

Ukitazama matukio haya hajitokezi hadhari kuzungumzia, Kwa nini?? Alijifunza kwa late CEO, haina haja ya kunufaisha maadui hata kama wanakuumiza dawa na kulilia chumbani, ili wasione kama wamekugusa.

Kete zinasogezwa kwa pande zote mbili, NANI ATAWAHI KUINGIA KINGI”,.
Aiseee hatari, I ila hizi kete nahisi zinaumiza upande ambao kwa wachezaji wa kete hawaumii, Iaiti kete zingekuwa zinahusika na kwa kampuni ya Green nao kutekwa tungeona kuna watu wako serious hasa na kumaliza mechi...
 
Aiseee hatari, I ila hizi kete nahisi zinaumiza upande ambao kwa wachezaji wa kete hawaumii, Iaiti kete zingekuwa zinahusika na kwa kampuni ya Green nao kutekwa tungeona kuna watu wako serious hasa na kumaliza mechi...

Kwenye mchakato hakuna anayeumia baina ya pande mbili hizi kwa ngazi za juu, ila baada ya mchakato kuna maumivu makali sana kwa upande utakaoshindwa.

Umewahi kukutana aliyewahi kumiliki mali nyingi akafilisika hali yake iko vipi? Hivi ndivyo atakayechelewa kuingia kingi ataumia.

Kwenye mchakato wasioelewa hali ndio wataumia, baada ya mchakato kwisha wakuu wa juu ndio wakati wao.
 
Kwenye mchakato hakuna anayeumia baina ya pande mbili hizi kwa ngazi za juu, ila baada ya mchakato kuna maumivu makali sana kwa upande utakaoshindwa.

Umewahi kukutana aliyewahi kumiliki mali nyingi akafilisika hali yake iko vipi? Hivi ndivyo atakayechelewa kuingia kingi ataumia.

Kwenye mchakato wasioelewa hali ndio wataumia, baada ya mchakato kwisha wakuu wa juu ndio wakati wao.
Aiseee,
Mungu asaidie kuvuka na kubaki salama, Mungu asaidie kuangukia kwa Wazalendo, wapenda haki, atuepushe kubaki/kuangukia mikononi mwa wahuni.
 
Hivi kila mtu akiandika mifumbo humu tutaelewana why mtu uandike mifumbo
 
Back
Top Bottom