Kitabu kipya: Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania

Kitabu kipya: Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania

Shekh wangu @Mohaded Said

Hata kama unapenda kusoma na kuandika toka utoto wako, je ni sahihi kutumia upenzi huo kufitinisha jamii?

Kwa nini usiandike yale yanayotuunganisha zaidi?...ya nini kuandika yanayotujengea shimo kubwa kati yenu Waislamu, Wakristu na sie wa dini za asili?

Unafaidika na nini wajukuu zako wakwanza mafarakano na ndugu zao wa imani tofauti nao?
Anachokifanya mzee Mohamed Said ni kuuonyesha ukweli ambao kwa maslahi flani wapo watu wanauficha.

Hatuwezi kujua pa kwenda mpaka tujue tulipotoka
 
Mohamed Said,
Mbona prof. Njozi alishaandika kitabu kuhusu suala la EAMWS? Kwann unarudiarudia mambo yale yale kutoka vyanzo vile vile? Ndo kusema hapajawahi kuwa na udini baada ya Nyerere kufariki?

Vinginevyo wewe ni broker wa mtafaruku wa kidini. Zikitokea rabsha kama za Book haram(Mungu apishie mbali), basi utakuwa na ushawishi na mali nyingi sana.
Ndio kusema kikishaandikwa kitabu kimoja kuhusu historia ya chief Mkwawa haifai kuandika kitabu chengine??
 
Haya ndio matatizo ya kupeleka watoto madrasa wakija kuwa wakubwa wanatumia upuuzi waliofundishwa madrassa na maudtadhi wavaa njiwa a.k.a wachonga fitina.......

Sio kila mtu anapashwa kusikilizwa maana wengine ajenda zao zimegubikwa na upweke wa fikra waliobebelea vichwani mwao.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini humo pia umeongelea udini mkubwa uliojitokeza ktk awamu ya 4 chini ya Jakaya Kikwete. La sivyo tuachane na masuala haya maana unafiki na kujipendelea ni kwingi sana.
Hiyo huwa hawajadili. Wao wanachojua ni kulalama tu utadhani wana ajanda ya maana...

Ni upuuzi tu umewajaa kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hata book cover ya kitabu chako mwenyewe hujali imetungwa na nani, basi there's a good chance maandishi yako mengi kama vitabu, articles etc ni ghost-written aka wewe siyo Mwandishi halali au original.

Iweje hata maswali ya msingi ya maandishi yako mwenyewe ushindwe kujibu? Kila ukiulizwa swali unang'ang'ania muulizaji asome kitabu. Seriously?
Nadhani kuna shida fulani mkuu Ndjabu Da Dude!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanren,
Nakuekeza kwa haki na ukweli.

Kitabu changu kimependwa kutokana na mimi kufungua Nyaraka za Sykes ambamo ndani yake zimewaleta watu katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambao hakuna aliyewajua.

Wewe ulikuwa unamjua Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo na nduguye Iddi Tosiri, Bi. Tatu bint Mzee, Plantan Brothers, Erika Fiah, Sheikh Hassan bin Ameir kwa kuwataja wachache.

Sasa kwa kuunganisha historia za wazalendo hawa na Mwalimu Nyerere ndiko kulikowashangaza wengi na kukifanya kitabu changu kipendwe.
Me nadhani wewe ndie wale watu ambao wanatafuta uhalali na huku kichwani wamefilisika sera.

Dini ni miongoni mwa hoja dhaifu sana katika kujadili swala la maendeleo. Najua hauwezi kuelewa kwasababu tayari kichwa chako kimezongwa na maisha ya misingi ya udini na sio imani.

Wewe kama unataka kufanya kazi ya MUNGU basi nenda huko msikitini kahubiri maagizo yake mazuri maana uovu umetamalaki katika jamii kwa sasa. Ila ukija na upuuzi wa kutuingizia historia amabazo hata tukizijua hazitakuwa na msaada ila zitaanza kuamsha marumbano yasio na mbele wala nyuma, then wewe hauna faida na sisi.

Kama kuishi maisha ya dini ni muhimu basi nenda kwenye mataifa ambayo wanautambua mfumo wa dini moja kwa moja kama Saudia huko au Iran, nenda kakae na wabaguzi wenzako, tuache sisi tunaoishi kwa kuweka utanzania mbele kwanza kabla ya imani zetu.

Watu kama nyinyi mnajifanya mnamalengo mazuri ila ndio wazandiki na wanafiki ambao hamlitakii mema taifa letu. Huo ni uhaini na ufisadi dhidi ya uzalendo kwa inchi yetu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichuguu,
Baada ya uhuru mwaka wa 1961 mwaka wa 1962 palifanyika Muslim Congress iliyokusanya taasisi za Kiislam Tanganyika nzima na agenda ya mkusanyiko huu ilikuwa elimu.

Azimio kuu la mkutano huu ilikuwa kujenga shule na chuo kikuu ili kujikwamua na udhalili wa Waislam katika elimu uliosababishwa na ukoloni.

Kitabu kinaeleza yale yaliyotokea baada ya azimio hilo na kusababisha farka kubwa ndani ya jamii ya Kiislam iliyoishia kwa kupigwa marufuku East African Muslim Welfare Society (EAMWS) na kuundwa BAKWATA mwaka wa 1968.

Ndani ya kitabu hiki msomaji atasoma historia nzima ya nyakati zile na ataweza kuelewa kwa nini hali iko hivi hii leo.
Aaaah bwana weeee hebu tupishe zako bwana. Aaaaakh.

Mambo gani unatuletea hapa ya kipuuzi. Hao wanaodhurumiwa wanadhurumiwaje, mimi nina marafiki kibao wapo kwenye maisha mazuri na ni waislam kama wewe....

Wewe ndio wale waliokuwa wanatoroka shule kushinda madrasa maisha yamekuwa magumu unaanza kuongea upuuzi wa miaka kenda na wajua haina faida..... Cha zaidi ni hauna jipya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohamed Said, Ukiona watu baada ya kutatua matatizo,kisayansi,wanaanza kuleta sababu,na kuhusisha dini,kabila na matatizo yaliyopo,basi ujue balaa limefika,

Kuna kipindi miaka hiyooo,Serikali baada ya kuona watoto kutoka shule za kagera wanafaulu sana kwenye mitiani,na kuchukua nafasi nyingi katika shule za serikali,iliamuliwa viwango vya kufaulu kwa mkoa was kagera vipandishwe!! Ili kudhibiti wingi wao!wala haikusaidia,wasomi nchi hii bado wanatoka kwa wingi mikoa ya Kagera,Mbeya,Kilimanjaro.

Sasa kama unatafuta kwanini mikoa ya Lindi na Mtwara,haina ufaulu wa kutosha,sabsbu sio ufaulu wa Kagera na mikoa mingine.

Nyerere hayupo tena,kuna mabaya alifsnya,je Mwinyi,Kikwete walishindwa kurekebisha!
Maana tukisema unajua sisi wa afrika,ni maskini,kwa sababu utumwa,ukoloni,na ukoloni mamboleo,umetuumiza sana,ndio maana hatuendeli kama wazungu,tutaendelea tu pale watakapo tuomba msamaha! What!!

Sasa kama ndio hivyo,Bakhresa,Mo,Dangote,Diamond,Ben Carson,Obama,walitoka wapi! Mbona wao ni wenzetu na wameendelea,?

There is no future in the past! Westage of time
Hamna kitu huyu mwandishi wa kitabu anavuta na bange kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe huzijui dhuluma zilizoratibiwa kitaasisi zilizokuwa zinafanywa dhidi ya wakristo wakati wa JK, basi unapoteza mamlaka ya kuzungumzia malalamiko dhidi ya waislamu.

Shida yetu kuu ni ushabiki, kufumba macho na kupenda chako hata kama kina ukakasi. Ndo maana hatuwezi kufanikiwa ktk suala hili la upendeleo wa kidini. Kuna wapuuzi wanadhan ni sawa kumng'oa jicho mwenzio kwa sababu na yeye alikung'oa. #NiZamuYetu

Ushauri wangu ni kwamba jikite kwenye kutafuta suluhisho, haitoshi tu kulalamika. Wewe umwsimuliwa, sisi wengine tumejionea na kudhulumiwa miaka michache tu iliyopita wakati wa JK. Tusonge mbele.
Hana jipya huyu ndio wale waliofirisika sera...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shekh wangu @Mohaded Said

Hata kama unapenda kusoma na kuandika toka utoto wako, je ni sahihi kutumia upenzi huo kufitinisha jamii?

Kwa nini usiandike yale yanayotuunganisha zaidi?...ya nini kuandika yanayotujengea shimo kubwa kati yenu Waislamu, Wakristu na sie wa dini za asili?

Unafaidika na nini wajukuu zako wakwanza mafarakano na ndugu zao wa imani tofauti nao?
Huyu anaweza kuwa gaidi katumwa na alishabaabu kuja kutelea mambo yao ya kichoko hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee ni tapeli na mhalifu wa kidini! Amejaa laghai, hila udini na chuki!
Waelimishe waislamu wafanyeje ili kujikwamua hapa sasa hivi walipo, sio kuwajaza chuki kwa mambo yaliyopita ambayo hayarekebishiki, wewe ni mchochezi mkubwa wa chuki, kwa iyo unataka waislamu wabebe mapanga wawakate waliowadhulumu, kuwa na busara hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohamed Said,
Mbona prof. Njozi alishaandika kitabu kuhusu suala la EAMWS? Kwann unarudiarudia mambo yale yale kutoka vyanzo vile vile? Ndo kusema hapajawahi kuwa na udini baada ya Nyerere kufariki?

Vinginevyo wewe ni broker wa mtafaruku wa kidini. Zikitokea rabsha kama za Book haram(Mungu apishie mbali), basi utakuwa na ushawishi na mali nyingi sana.
Unajua hii jamii tunayoishi kuna ma' Sociopath wenhi sana..... Huyu mwandishi ni mojawapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubinafsi tu na uchochezi..... Hakuna jpya...... Tangu nimezaliwa had nakua sijawahi sikia Wakristo wakipgania ukristo..... Kulikon ndugu zetu Waislam...?!!...... Ifke mahal muwe nA ajenda za msingi wenye tija kwa taifa na dunia kwa ujumla...
Fikra dhaifu huzaa watu dhaifu. Imagine huyu mzee ndio anakabidhiwa watoto awafundishe imani..... Pumba anazowajaza sasa humo kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongoni mwa Muslim mtachukua mda kuelimika. Pamoja na mtoa post. Yani mnaacha kuandika kwamba tutajikomboa vipi katika dimbi la umasikini, siasa za chuki na kufika katika taifa bora . Always inatakiwa kukumbuka mazuri yatakayotuvusha kutoka hatua moja kwenda nyingine. Takibil
Shida ni kitu kimoja, Dini haijawahi kuwa productive means ya kucreate wealth hata siku moja. Na jamii yoyote ina survive kupitia wealth creation.

Sasa ukitazama Dini zetu zinatutaka kukaa nyumba za ibada masaa 24 tuiomba na kuabudu. Usipojua kuseparate Maisha ya dini na maisha ya imani utashindwa kuelewa mfumo wa maisha.

Kwa kifupi huyu mleta uzi amefeli kwenye hilo, anaishi kidini zaidi na sio kiimani. Maana imani unaibeba popote uendapo huku maisha yako yakiendelea katika shughuli za kimaendeleo.

Sasa yeye yupo busy na dini masaa 24 halafu anataka awe na maisha sawa na wenzake wanaotafuta hizo si bange za mchana kweupe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sajosojo,
Soma kitabu ujue yaliyo ndani ya kitabu kisha utoe fikra zako.

Hili la Mzalendo kwanza nimelieleza kwa kirefu katika kitabu changu, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' (1998).

Ninajua vitu vingi tunaweza tukaelezana mengi sana kuhusu nchi yetu.
Nakusihi kuwa makini na tubadilishane fikra kwa adabu na kuheshimiana.

Kwahiyo unataka kutuambia mapambano ya uhuru wa tanganyika yalikuwa ni mapambano ya dini dhidi ya wakoloni?!

Kwa akili yako ina maana kwa miaka ile sisi jamii ya kiafrika tulikuwa na organization ngapi au zipi za kisasa ambazo zingeweza kutetea haki za mtu mweusi?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli huyu mzee ni mhalifu kabisa anayejificha ktk kivuli cha dini!!

Eti historia iliyofichwaa!! Yaleyaleee! Dini B inasema eti dini A imefuta maneno kwenye kitabu chake(Dini A) ili kuuficha ukweli wa dini B !! Maajabu ya dunia!!
Kupindua ukweli uwe uongo, uongo uonekane ukweli! Hii ni hulka ya Ibilisi!
Me nashangaa wanahangaika na akina kabendera wakati kuna watu wakuwadinya wapo huku jf

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nadhani wewe ndie wale watu ambao wanatafuta uhalali na huku kichwani wamefilisika sera.

Dini ni miongoni mwa hoja dhaifu sana katika kujadili swala la maendeleo. Najua hauwezi kuelewa kwasababu tayari kichwa chako kimezongwa na maisha ya misingi ya udini na sio imani.

Wewe kama unataka kufanya kazi ya MUNGU basi nenda huko msikitini kahubiri maagizo yake mazuri maana uovu umetamalaki katika jamii kwa sasa. Ila ukija na upuuzi wa kutuingizia historia amabazo hata tukizijua hazitakuwa na msaada ila zitaanza kuamsha marumbano yasio na mbele wala nyuma, then wewe hauna faida na sisi.

Kama kuishi maisha ya dini ni muhimu basi nenda kwenye mataifa ambayo wanautambua mfumo wa dini moja kwa moja kama Saudia huko au Iran, nenda kakae na wabaguzi wenzako, tuache sisi tunaoishi kwa kuweka utanzania mbele kwanza kabla ya imani zetu.

Watu kama nyinyi mnajifanya mnamalengo mazuri ila ndio wazandiki na wanafiki ambao hamlitakii mema taifa letu. Huo ni uhaini na ufisadi dhidi ya uzalendo kwa inchi yetu.




Sent using Jamii Forums mobile app
Samcezar,
Unapotosha maudhui ya kitabu changu.

Mimi nimeandika kile kinachoitwa, "corrective history," yaani nimesahihisha historia rasmi iliyoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni ambayo ilipotosha mambo mengi.

Bahati mbaya unakuja na hoja nje ya maudhui ya kitabu huku umeghadhibika ukiandika kwa jeuri iliyojaa kejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom