Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Anachokifanya mzee Mohamed Said ni kuuonyesha ukweli ambao kwa maslahi flani wapo watu wanauficha.Shekh wangu @Mohaded Said
Hata kama unapenda kusoma na kuandika toka utoto wako, je ni sahihi kutumia upenzi huo kufitinisha jamii?
Kwa nini usiandike yale yanayotuunganisha zaidi?...ya nini kuandika yanayotujengea shimo kubwa kati yenu Waislamu, Wakristu na sie wa dini za asili?
Unafaidika na nini wajukuu zako wakwanza mafarakano na ndugu zao wa imani tofauti nao?
Ndio kusema kikishaandikwa kitabu kimoja kuhusu historia ya chief Mkwawa haifai kuandika kitabu chengine??Mohamed Said,
Mbona prof. Njozi alishaandika kitabu kuhusu suala la EAMWS? Kwann unarudiarudia mambo yale yale kutoka vyanzo vile vile? Ndo kusema hapajawahi kuwa na udini baada ya Nyerere kufariki?
Vinginevyo wewe ni broker wa mtafaruku wa kidini. Zikitokea rabsha kama za Book haram(Mungu apishie mbali), basi utakuwa na ushawishi na mali nyingi sana.
Relief,Ndio kusema kikishaandikwa kitabu kimoja kuhusu historia ya chief Mkwawa haifai kuandika kitabu chengine??
Hiyo huwa hawajadili. Wao wanachojua ni kulalama tu utadhani wana ajanda ya maana...Natumaini humo pia umeongelea udini mkubwa uliojitokeza ktk awamu ya 4 chini ya Jakaya Kikwete. La sivyo tuachane na masuala haya maana unafiki na kujipendelea ni kwingi sana.
Nadhani kuna shida fulani mkuu Ndjabu Da Dude!Kama hata book cover ya kitabu chako mwenyewe hujali imetungwa na nani, basi there's a good chance maandishi yako mengi kama vitabu, articles etc ni ghost-written aka wewe siyo Mwandishi halali au original.
Iweje hata maswali ya msingi ya maandishi yako mwenyewe ushindwe kujibu? Kila ukiulizwa swali unang'ang'ania muulizaji asome kitabu. Seriously?
Me nadhani wewe ndie wale watu ambao wanatafuta uhalali na huku kichwani wamefilisika sera.Nanren,
Nakuekeza kwa haki na ukweli.
Kitabu changu kimependwa kutokana na mimi kufungua Nyaraka za Sykes ambamo ndani yake zimewaleta watu katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ambao hakuna aliyewajua.
Wewe ulikuwa unamjua Ali Mwinyi Tambwe, Iddi Faiz Mafungo na nduguye Iddi Tosiri, Bi. Tatu bint Mzee, Plantan Brothers, Erika Fiah, Sheikh Hassan bin Ameir kwa kuwataja wachache.
Sasa kwa kuunganisha historia za wazalendo hawa na Mwalimu Nyerere ndiko kulikowashangaza wengi na kukifanya kitabu changu kipendwe.
Aaaah bwana weeee hebu tupishe zako bwana. Aaaaakh.Kichuguu,
Baada ya uhuru mwaka wa 1961 mwaka wa 1962 palifanyika Muslim Congress iliyokusanya taasisi za Kiislam Tanganyika nzima na agenda ya mkusanyiko huu ilikuwa elimu.
Azimio kuu la mkutano huu ilikuwa kujenga shule na chuo kikuu ili kujikwamua na udhalili wa Waislam katika elimu uliosababishwa na ukoloni.
Kitabu kinaeleza yale yaliyotokea baada ya azimio hilo na kusababisha farka kubwa ndani ya jamii ya Kiislam iliyoishia kwa kupigwa marufuku East African Muslim Welfare Society (EAMWS) na kuundwa BAKWATA mwaka wa 1968.
Ndani ya kitabu hiki msomaji atasoma historia nzima ya nyakati zile na ataweza kuelewa kwa nini hali iko hivi hii leo.
Hamna kitu huyu mwandishi wa kitabu anavuta na bange kidogoMohamed Said, Ukiona watu baada ya kutatua matatizo,kisayansi,wanaanza kuleta sababu,na kuhusisha dini,kabila na matatizo yaliyopo,basi ujue balaa limefika,
Kuna kipindi miaka hiyooo,Serikali baada ya kuona watoto kutoka shule za kagera wanafaulu sana kwenye mitiani,na kuchukua nafasi nyingi katika shule za serikali,iliamuliwa viwango vya kufaulu kwa mkoa was kagera vipandishwe!! Ili kudhibiti wingi wao!wala haikusaidia,wasomi nchi hii bado wanatoka kwa wingi mikoa ya Kagera,Mbeya,Kilimanjaro.
Sasa kama unatafuta kwanini mikoa ya Lindi na Mtwara,haina ufaulu wa kutosha,sabsbu sio ufaulu wa Kagera na mikoa mingine.
Nyerere hayupo tena,kuna mabaya alifsnya,je Mwinyi,Kikwete walishindwa kurekebisha!
Maana tukisema unajua sisi wa afrika,ni maskini,kwa sababu utumwa,ukoloni,na ukoloni mamboleo,umetuumiza sana,ndio maana hatuendeli kama wazungu,tutaendelea tu pale watakapo tuomba msamaha! What!!
Sasa kama ndio hivyo,Bakhresa,Mo,Dangote,Diamond,Ben Carson,Obama,walitoka wapi! Mbona wao ni wenzetu na wameendelea,?
There is no future in the past! Westage of time
Hana jipya huyu ndio wale waliofirisika sera...Kama wewe huzijui dhuluma zilizoratibiwa kitaasisi zilizokuwa zinafanywa dhidi ya wakristo wakati wa JK, basi unapoteza mamlaka ya kuzungumzia malalamiko dhidi ya waislamu.
Shida yetu kuu ni ushabiki, kufumba macho na kupenda chako hata kama kina ukakasi. Ndo maana hatuwezi kufanikiwa ktk suala hili la upendeleo wa kidini. Kuna wapuuzi wanadhan ni sawa kumng'oa jicho mwenzio kwa sababu na yeye alikung'oa. #NiZamuYetu
Ushauri wangu ni kwamba jikite kwenye kutafuta suluhisho, haitoshi tu kulalamika. Wewe umwsimuliwa, sisi wengine tumejionea na kudhulumiwa miaka michache tu iliyopita wakati wa JK. Tusonge mbele.
Huyu anaweza kuwa gaidi katumwa na alishabaabu kuja kutelea mambo yao ya kichoko hapaShekh wangu @Mohaded Said
Hata kama unapenda kusoma na kuandika toka utoto wako, je ni sahihi kutumia upenzi huo kufitinisha jamii?
Kwa nini usiandike yale yanayotuunganisha zaidi?...ya nini kuandika yanayotujengea shimo kubwa kati yenu Waislamu, Wakristu na sie wa dini za asili?
Unafaidika na nini wajukuu zako wakwanza mafarakano na ndugu zao wa imani tofauti nao?
Waelimishe waislamu wafanyeje ili kujikwamua hapa sasa hivi walipo, sio kuwajaza chuki kwa mambo yaliyopita ambayo hayarekebishiki, wewe ni mchochezi mkubwa wa chuki, kwa iyo unataka waislamu wabebe mapanga wawakate waliowadhulumu, kuwa na busara hata kidogo
Unajua hii jamii tunayoishi kuna ma' Sociopath wenhi sana..... Huyu mwandishi ni mojawapoMohamed Said,
Mbona prof. Njozi alishaandika kitabu kuhusu suala la EAMWS? Kwann unarudiarudia mambo yale yale kutoka vyanzo vile vile? Ndo kusema hapajawahi kuwa na udini baada ya Nyerere kufariki?
Vinginevyo wewe ni broker wa mtafaruku wa kidini. Zikitokea rabsha kama za Book haram(Mungu apishie mbali), basi utakuwa na ushawishi na mali nyingi sana.
Me nashangaa wanahangaika na akina kabendera wakati kuna watu wakuwadinya wapo huku jfEwe raisi wetu mtukufu kuna babu yupo huku anatumiwa,tuma vijana wako wadeal naye.Kutumiwa si lazima utumiwe na mabeberu huyu anatumiwa na wauza mafuta
Fikra dhaifu huzaa watu dhaifu. Imagine huyu mzee ndio anakabidhiwa watoto awafundishe imani..... Pumba anazowajaza sasa humo kichwaniUbinafsi tu na uchochezi..... Hakuna jpya...... Tangu nimezaliwa had nakua sijawahi sikia Wakristo wakipgania ukristo..... Kulikon ndugu zetu Waislam...?!!...... Ifke mahal muwe nA ajenda za msingi wenye tija kwa taifa na dunia kwa ujumla...
Ahsante kwa kuweka sawa mzee
Shida ni kitu kimoja, Dini haijawahi kuwa productive means ya kucreate wealth hata siku moja. Na jamii yoyote ina survive kupitia wealth creation.Miongoni mwa Muslim mtachukua mda kuelimika. Pamoja na mtoa post. Yani mnaacha kuandika kwamba tutajikomboa vipi katika dimbi la umasikini, siasa za chuki na kufika katika taifa bora . Always inatakiwa kukumbuka mazuri yatakayotuvusha kutoka hatua moja kwenda nyingine. Takibil
Kwahiyo unataka kutuambia mapambano ya uhuru wa tanganyika yalikuwa ni mapambano ya dini dhidi ya wakoloni?!Sajosojo,
Soma kitabu ujue yaliyo ndani ya kitabu kisha utoe fikra zako.
Hili la Mzalendo kwanza nimelieleza kwa kirefu katika kitabu changu, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) the Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' (1998).
Ninajua vitu vingi tunaweza tukaelezana mengi sana kuhusu nchi yetu.
Nakusihi kuwa makini na tubadilishane fikra kwa adabu na kuheshimiana.
Me nashangaa wanahangaika na akina kabendera wakati kuna watu wakuwadinya wapo huku jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Samcezar,Me nadhani wewe ndie wale watu ambao wanatafuta uhalali na huku kichwani wamefilisika sera.
Dini ni miongoni mwa hoja dhaifu sana katika kujadili swala la maendeleo. Najua hauwezi kuelewa kwasababu tayari kichwa chako kimezongwa na maisha ya misingi ya udini na sio imani.
Wewe kama unataka kufanya kazi ya MUNGU basi nenda huko msikitini kahubiri maagizo yake mazuri maana uovu umetamalaki katika jamii kwa sasa. Ila ukija na upuuzi wa kutuingizia historia amabazo hata tukizijua hazitakuwa na msaada ila zitaanza kuamsha marumbano yasio na mbele wala nyuma, then wewe hauna faida na sisi.
Kama kuishi maisha ya dini ni muhimu basi nenda kwenye mataifa ambayo wanautambua mfumo wa dini moja kwa moja kama Saudia huko au Iran, nenda kakae na wabaguzi wenzako, tuache sisi tunaoishi kwa kuweka utanzania mbele kwanza kabla ya imani zetu.
Watu kama nyinyi mnajifanya mnamalengo mazuri ila ndio wazandiki na wanafiki ambao hamlitakii mema taifa letu. Huo ni uhaini na ufisadi dhidi ya uzalendo kwa inchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app