Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Vyamavingi,
Hapa tunazungumzia kitabu cha Prof. Ibrahim Noor hatuko kwenye
somo la jihad.
Ikiwa unataka kuzungumzia mada hiyo fungua uzi mpya kwenye
jukwaa husika.
Ahahaha Faiza dadangu unakuwa kama sii wa mujini? mimi nimeweka Mesopotamia ili kujibu hoja yako ya Hezaj na Nejd ya kwamba naweza Google nikapata habari yote. Ndio maana nikasema utakubali au utakataa? Kwa maana ya kwamba sio shida kuijua nchi gani iko wapi siku hizi Google ina karibu kila kitu, mchezo huo sifanyi tuzungumze tunayoyajua juu ya Tanganyika!
Swali lako kuhusu nani alomkuta nani, sasa hapa unachotaka kujua hata sikuelewi maana kufikia karne hizo tayari wakazi wengi walikuwa mchanganyiko kuna waarabu wahindi, waafrika walozaliana maadam biashara baina ya watu hawa ilianza toka BC lakini kila mtu alikuwa na kwao. Sasa unaponiuliza miye walikuta watu gani ni sawa na kuniuliza Wajarumani walipokuja Tanganyika walikuta watu gani?
Ila nachoelewa mgeni anapofika mahala hutafuta mwenyeji wake ama mtu anayeijua lugha yake kisha humtembeza na pengine kumwambia shida ilomleta pale hawakuzunguka na memo kuandika walowakuta. Kifupi Waafrika walikuwepo kona zote na na ndio maana wakaiita nchi ya weusi! sio wazungu ni waarabu waloipa jina hilo. Huyu mwandishi amezungumzia Tanganyika hivyo kuwepo kwa waarabu na wahindi Afrika haiwapi miliki ya ardhi ya Wabantu. Haya ndio walosema hata Makaburu juu ya weusi wa South ya kwamba walipokwenda pale waafrika hawakuwepo wao ndio watu wa kwanza kuishi South waafrika wakahamia baadaye. Haya ni matusi ya nguoni kwetu.
Faiza Huyo Mwarabu Mwenyeji wa Africa Mashariki Unayemzungumzia wewe ni Mwarabu yupi? ( Mwarabu Mweusi? au Mwarabu wa mweupe kama wa Oman) maana kwa tafsiri yako Mwarabu ni mtu yeyote anayezungumza kiarabu, hata akiwa mbantu ie. mzaramo, akijifuza kiarabu au akizaa mtoto uarabuni akajua kiarabu basi huyo moja kwa moja ni mwarabu haijalishi rangi yake or asili yake
Asante Mkangara, waliotoa jina Zanzibar/Zenjibar ni hao hao Waarabu, wakamanisha nchi ya watu weusi; vilevile waliotoa jina la Sudan, walimaanisha weusi. Sasa wanaokuja na hoja kuwa Waarabu nao ni wenyeji zaidi Afrika Mashariki kabla ya Wabantu sijui wanajinasibuje kuwa ni Wasomi.
Vv
Ahahaha Faiza dadangu unakuwa kama sii wa mujini? mimi nimeweka Mesopotamia ili kujibu hoja yako ya Hezaj na Nejd ya kwamba naweza Google nikapata habari yote. Ndio maana nikasema utakubali au utakataa? Kwa maana ya kwamba sio shida kuijua nchi gani iko wapi siku hizi Google ina karibu kila kitu, mchezo huo sifanyi tuzungumze tunayoyajua juu ya Tanganyika!
Swali lako kuhusu nani alomkuta nani, sasa hapa unachotaka kujua hata sikuelewi maana kufikia karne hizo tayari wakazi wengi walikuwa mchanganyiko kuna waarabu wahindi, waafrika walozaliana maadam biashara baina ya watu hawa ilianza toka BC lakini kila mtu alikuwa na kwao. Sasa unaponiuliza miye walikuta watu gani ni sawa na kuniuliza Wajarumani walipokuja Tanganyika walikuta watu gani?
Ila nachoelewa mgeni anapofika mahala hutafuta mwenyeji wake ama mtu anayeijua lugha yake kisha humtembeza na pengine kumwambia shida ilomleta pale hawakuzunguka na memo kuandika walowakuta. Kifupi Waafrika walikuwepo kona zote na na ndio maana wakaiita nchi ya weusi! sio wazungu ni waarabu waloipa jina hilo. Huyu mwandishi amezungumzia Tanganyika hivyo kuwepo kwa waarabu na wahindi Afrika haiwapi miliki ya ardhi ya Wabantu. Haya ndio walosema hata Makaburu juu ya weusi wa South ya kwamba walipokwenda pale waafrika hawakuwepo wao ndio watu wa kwanza kuishi South waafrika wakahamia baadaye. Haya ni matusi ya nguoni kwetu.
Mzee, nimejibu upotoshaji wa Faiza kuhusu maana za maneno husika.
Vv
Faiza nimekuuliza swali asili ya watu hao, haya ya kutokea South au North haijibu kitu maana wabantu ni mjumuiko wa makabila mengi sana yanaweza fika 1000, na mengine hawaelewani kabisa katika lugha. Sasa unaponipa vitu nisome ina maana wewe mwenyewe hujui.
Utotole,
Simjibii Maalim Faiza lakini nitapenda kueleza uzoefu wangu hapa Majlis.........
Sasa tuje katika ile elimu ya chuoni ambayo baadhi yetu tumepata tukiwa na
miaka 5/6 ambayo Maalim Faiza amejaribu sana kuieleza hapa barazani ni kuwa
sisi chuoni tukiwa wadogo tukifunzwa kwanza "adab" yaani tabia njema.....
Sisi hili tumefunzwa toka tuko wadogo kabisa kuwa kutukana ni kosa kubwa sana.
Ndipo hapo Maalim Faiza anakuwa anauliza huko chuoni nyinyi mmefunzwa kitu
gani?
Mengine namwachia mwenyewe Maalim Faiza.
Hivi wewe hauamini katika jihad? Jihad ni kufanya jitihada katika chochote ukifanyacho.
Hivi huna jitihada yoyote uifanyao katika maisha yako? au umeaminishwa kuwa jihad ni nini?
Tupatie elimu bibie, Jihad ni nini? Najua utafafanua kwa tafsiri ya sasa kama vile Wakristo wanavyoifafanua Crusade nyakati hizi.
Kumbuka, kila jina lina asili yake lkn kwa kuwa lugha inakua, sio ajabu tafsiri nayo ikabadilika kufuatana na hali ya sasa.
Ukweli niujuao, vita vya Jihad ni sawa na vita vya Crusade, Crusade ilianzishwa kuikabili Jihad. Na Jihad ni vita ya kiimani.
Vv
Vyamavingi,
Hapa tunazungumzia kitabu cha Prof. Ibrahim Noor hatuko kwenye
somo la jihad.
Ikiwa unataka kuzungumzia mada hiyo fungua uzi mpya kwenye
jukwaa husika.
Mzee, nimejibu upotoshaji wa Faiza kuhusu maana za maneno husika.
Vv
Yamo humu kwenye huu uzi hayo maneno? ni post yangu ipi uliyoijibu yenye huo "upotoshaji"? naomba niwekee au niambie tu ni post namba ngapi, tafadhali. Tusiandikie mate na wino upo.
Kwa kuangalia comments na aina ya watu wanaokipigia debe hiki kitabu, inatosha kusema ni cha kupuuzia kama stori za kariakoo Gerezani za mzee mmoja humu
Duh, maajabu hayatakoma humu JF! Yaani hizo adabu unazaodai kufundishwa Madras mnafundishwa kuwaheshimu watu wa dini yenu tu?
Kama mwafundishwa adab kwa ajili ya wote basi huyo Faiza unayemsifia kuwa na adab humfahamu na umepotoka sana, Faiza anakuwa na adab anapomjibu Muislam mwenzake, hilo nimegundua leo alipokuwa anajibizana na Mkangara; ukitaka kujua hilo fuatilia majibu ya Faiza kwa wengine ambao sio Waislamu wenzake. Pole Mzee kwa kutomfahamu Faiza.
Vv
Huu mjadala ungenoga sana kama sio element za majigambo na kebehi.
Umahiri wa wengi una fichika.
Wenzenu hapa tunatafuta kujua.
Hiki kitabu kinapatikana online?
Swadakta.
Kwa hiyo unapingana na hoja ya wasomi na historia wanayoifundisha hapo Makerere, niliyokubandikia hapo juu? maana kitabu hujakisoma, au na hiyo pia hujaisoma? kama umeisoma hebu nioneshe Msafwa na Mnyakyusa uliowataja wapo katika hiyo historia ya Wabantu au hawapo?
Ukimaliza hilo, sasa soma wanasayansi wa vinasaba wanasema nini:
New DNA evidence suggests "African Eve", the 150,000-year-old female ancestor of every person on Earth, may have lived in Tanzania or Ethiopia.
A genetic study has shown that the oldest known human DNA lineages are those of East Africans. The most ancient populations include the Sandawe, Burunge, Gorowaa and Datog people who live in Tanzania.
Researchers found a very high amount of genetic variation, or diversity, between the mitochondrial DNA of different individuals in these populations.
Chanzo na soma zaidi: BBC NEWS | Science/Nature | Tanzania, Ethiopia origin for humans
Cha kushangaza, hakuna Mbantu katika hayo makabila.
Ndiyo maana huwa nnauliza, jee mnaijuwa historia ya wa Iraqw wa Tanzania? Wengi hawajibu, wachache wanaojibu husema asili ya wa Iraqw ni Waarabu wa Iraq, lakini sayansi ya vinasaba kama ilivyoripotiwa na BBC na niliyokuwekea hapo juu, inasema hao ndiyo katika binaadam wa mwanzo duniani na asili yao ni Tanzania ya leo na huko kwengine kote walikwenda tu.
Sijui hicho kinakufundisha nini?
Cushtic language ni lugha za watu weusi, Cush maana yake ni weusi, haina maana zaidi ya kutenganisha asili ya watu bali lugha za weusi na wageni. Lugha ni lugha inaweza kuongelewa na watu wasokuwa waarabu, na sio kweli kuwa asili ya Waarabu wote wanaongea kiarabu toka kina Ismail,
Nitafanyia utafiti madai yako juu ya waIraqw
Duh, maajabu hayatakoma humu JF! Yaani hizo adabu unazaodai kufundishwa Madras mnafundishwa kuwaheshimu watu wa dini yenu tu?
Kama mwafundishwa adab kwa ajili ya wote basi huyo Faiza unayemsifia kuwa na adab humfahamu na umepotoka sana, Faiza anakuwa na adab anapomjibu Muislam mwenzake, hilo nimegundua leo alipokuwa anajibizana na Mkangara; ukitaka kujua hilo fuatilia majibu ya Faiza kwa wengine ambao sio Waislamu wenzake. Pole Mzee kwa kutomfahamu Faiza.
Vv
Kapwila...
Haikuwa rahisi kukipuuza kitabu changu.
Kimeingia katika Cambridge Journal of African History.
Ikiwa unaijua Cambridge University utaelewa.
Kinasomeshwa Northwestern University, Chicago Illinois, mabingwa
wa African History.
Na mwandishi akaalikwa Northwestern kufanya mhadhara.
Vipo vitabu vya kupuuza na viko vitabu havipuuziki.
Kitabu nakala ya Kiswahili tunakwenda toleo la nne na la Kiingereza
toleo la tatu.
Kapwila...
Vipo vitabu vya kupuuza na viko vitabu havipuuziki.
Kitabu hiki kimenifikisha mbali sana.
Angalia hapa Majlis jinsi kinavyochangamsha jamvi.
Stori za Gerezani na Kariakoo wakati wa kudai uhuru ungezisikia
wapi kama si kitabu hiki?
Ungelimjuaje Dossa "The Bank" aliyetoa gari yake kuipa TANU?
Ungelimjuaje Abdul "The Sweet" aliyemleta Earl Seaton, Japhet
Kirilo, Sheikh Hassan bin Amir na Julius Nyerere New Street?
Unajua michango ya hawa watu walipofika New Street nini walifanya
kwa Tanganyika?
Vipo vitabu vya kupuuza na viko vitabu havipuuziki.