Kitabu ni njia ya kutakatisha fedha chafu

Kitabu ni njia ya kutakatisha fedha chafu

Naskia Kabendera alihamia England, right...🤔
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Kweli wewe hamnazo
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Upo wapi uhusiano kati ya fedha chafu na mauzo ya kitabu?.

Wote wanaouza vitabu huwa vinanunuliwa na pesa zenye kutaka kutakatishwa?.

Fafanua kidogo ueleweke.
 
Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi.
Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini.
Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili.
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
kumbe jina jingalao linamaana kubwa sana. nilikuwa sijui.
 
Soma mauaji mengine ya Magufuli hapa chini.

UCHAGUZI WA UBUNGE JIMBO LA BIHARAMULO

👉Mnamo Mwaka 1985 Mwalimu wa Kemia shule ya sekondari Sengerema John Pombe Magufuli aligombea ubunge wa jimbo la Biharamulo akichuana na Mkulima Phares Kabuye. Kabuye alishinda na kutangazwa Mbunge, na Mwalimu Magufuli akarudi Sengerema kufundisha.

👉Mwaka 1990 Mwalimu Magufuli alichuana tena na Mkulima Kabuye kwa mara ya pili. Kabuye alimshinda tena Magufuli na kutetea kiti chake.

👉Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, jimbo la Biharamulo liligawanywa na kupatikana majimbo mawili (Biharamulo Magharibi na Mashariki). Kabuye aligombea Magharibi akashinda. Magufuli nae akagombea Mashariki na kushinda kwa mara ya kwanza baada ya mpinzani wake wa muda mrefu kwenda magharibi.
Baadae jimbo la Biharamulo Mashariki lilibadilishwa na kuitwa Chato..
Miaka kadhaa baadaye Phares Kabuye alifariki kwa ajali Morogoro.
RIP Phares kabuye

"Bila kuigawa Biharamulo mara mbili nazani sasa hivi John pombe magufuli angekuwa mwalimu mstaafu"

Anayemtetea Magufuli ni mshenzi tu.
matusi na kebehi haziondoi ushujaa wa JPM
 
Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
Nimejitahidi kutumia open sources za. Taarifa juu ya who are behind this saga bila mafanikio! Mkuu kama tumezipata ziweke hapa ili ukweli wanaoutaka uwe wazi!
 
Nimejitahidi kutumia open sources za. Taarifa juu ya who are behind this saga bila mafanikio! Mkuu kama tumezipata ziweke hapa ili ukweli wanaoutaka uwe wazi!
Keep fetching lakini weledi wanazo na watazifanyia kazi
 
Back
Top Bottom